Kwanini wanawake wazuri hawaolewi

Kwanini wanawake wazuri hawaolewi

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.

Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.

Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.

Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.

Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.

Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
 
Hakuna lolote mnatuogopa tu
Mnahisi tuna deserve better
Ita depend na mwanaume, kuna wale low confidence, akijiona sura haijafika viwango vya anae mdate anaingiza hofu, hana pesa, hana maisha fulani so automatic na vile jamii ina waset attractive ladies basi anajiona hana bahati

Ila ladies wenye mvuto ni watu poa sana, ukiweza kufuta insecurity na confidence ikawa juu anakueheshim
 
Kuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.

Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.

Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.

Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.

Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.

Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
'Uzuri' wa mwanamke upo machoni pa mwanaume.

Ninayemuona mimi kuwa ni mzuri, wewe waweza kuona ni takataka.

Uzuri wa sifa ya jumla jumla ni ubaya ubwela.
 
Kuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.

Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.

Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.

Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.

Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.

Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
Hasa umkute ni mzuri halafu kichwani hamna kitu na hafungamani upande wowote wa imani... huwa wanakuaga viburi sana.
 
Kuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.

Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.

Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.

Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.

Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.

Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
Tangu nikiwa mdogo na sasa nazeeka bado sijajua hii kitu inasababishwa na nini...ni wazuri kweli kweli kwa umbo, sura na mavazi.

Ila Tabia sasa kama chooo.
 
Back
Top Bottom