Kwanini wanawake wengi hawajishughulishi sana na mambo yanayoumiza akili?

Kwanini wanawake wengi hawajishughulishi sana na mambo yanayoumiza akili?

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Hivi ni kwanini jinsia hii ya kike inajiweka mbali sana na mambo yanayoumiza akili ?

Mfano hata fani mbalimbali zenye matumizi makubwa ya akili kuna asilimia ndogo sana ya wanawake katika maeneo hayo ukilinganisha na jinsia ya kiume.

Masuala ya kisiasa kama uchambuzi,ufuatiliaji kitaalam,uongozi n.k kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume unaweza kufuatilia hata hapa nchini kwetu.

Kujichanganya katika mada zenye kuchangamsha akili kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume.

Hata katika mitandao ya kijamii, mitandao ile inayojielewa na yenye mada za kutikisa ubongo wanawake ni wachache sana tofauti na wanaume ukilinganisha na mitandao ya kipuuzi wanawake wamejazana huko balaah.

Mfano mwengine mwepesi hata humu tu Jf wanawake kwenye majukwaa ya kutuliza akili ID zao kama hazipo ila kwenye majukwaa yenye stories za kipuuzi puuzi ID zao zipo active.

Hivi shida ni nini ?
 
mwanamke hajaumbwa kuhimili pilikapilika za dunia mwanamke ni soft creature

mwanamke anatakiwa akae ndani azae awe mlezi ,apike ,aoge na awe safi muda wote.

sio unakuta mwanamke ni mchambuzi wa siasa za kimataifa,dereva lori,fundi umeme n.k
 
Wanawake wakibongo Ila Kama Quora kule wanawake wanashusha Sana Nondo
Hii ni kwa sehemu kubwa ya dunia sio Tanzania pekee hata hiyo Quora uzuri ninayo percent ya wanawake ni ndogo ukilinganisha na michango ya wanaume na wanatujukwaa twao huko Quora kama tu huku jf
 
mwanamke hajaumbwa kuhimili pilikapilika za dunia mwanamke ni soft creature

mwanamke anatakiwa akae ndani azae awe mlezi ,apike ,aoge na awe safi muda wote.

sio unakuta mwanamke ni mchambuzi wa siasa za kimataifa,dereva lori,fundi umeme n.k
Haya sawa
 
Sometimes, nadhani nature created women for reproduction, hence the continuance of life.
 
Wanaogopa mabadiliko baadhi Yao, japo wapo wenye uwezo mkubwa sema system inawabana wajitoe ufahamu na kuwakeep senseless wawe viumbe dhaifu kama vile dini zinazomkandamiza mwanamke, Mila potofu dhidi ya wanawake.

Tanzania nadhani kwa East Afrika tunaongoza kuwa na wanawake wengi vilaza wasiopenda kutumia akili ktk mambo magumu, ieleweke kwa Tz, ukifuatilia hata mijadala ya Kenya, Uganda, utagundua Kuna utofauti mkubwa wa wanawake wa kikenya na hawa wa Tz ktk suala la mindset na matumizi ya akili kiujumla ktk kuhoji/kuchallenge mambo magumu.

Wanawake wengi wa kiTanzania utawakuta ktk mada za kipuuzi, udaku, umbea, na mambo mepesi mepesi huku wakijifariji kuwa wao ni wanawake hivyo ni halali wao kutotumia akili.

Sababu kuu ya wanawake kuto-engage ktk mambo magumu ni hiyo misingi ya kitamaduni inayomkandamiza mwanamke, ndiomaana ktk baadhi ya mataifa hasa yanayohimiza haki kwa wanawake, utaona utofauti mkubwa Kati ya wanawake wa huko na hawa wetu kuanzia namna ya kuwasilisha jumbe kwa jamii, namna ya kuhoji mambo magumu na kutafuta suluhu la mambo tatanishi.

Tanzania na baadhi ya nchi za Asia mwanamke wanamchukulia kama chombo cha starehe huku wakiubeza uwezo wake, unadhani kwa namna hii wanawake wa ukanda huu wanaweza kuwa sawa kiakili?.

Afrika+Asia bado tunaishi ktk Ulimwengu unaokandamiza haki za mwanamke alafu tunalalamika.

Dini+ukosefu wa elimu Bora ndio chanzo cha ujinga kwa wanawake, wanawake wengi sana akilini ni weupe kabisa yaani hawajui mambo mengi, unaweza kukuta mwanamke msomi lkn bado Kuna vitu anavimiss kama msomi ambavyo ni basic knowledge ya msomi wa kawaida kuvijua.
 
Sometimes, nadhani nature created women for reproduction, hence the continuance of life.
Nature haijawai kuleta viumbe dhaifu, ni sisi watu ndio tunaharibu misingi ya uhalisia wa maisha kwa kuleta Sheria kandamizi na nyonyaji zinazowafuraisha wachache kwa maslahi yao
 
Ni vile walivyoumbwa, tena kwenye technical skills ndo majanga kabisa
 
Back
Top Bottom