Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Bila shaka nyumba yako umeziba madirisha ya jikoni! Ahahahahaha!!!Kiasili mwanamke ni wa kukaa ndani, kulea watoto na kumuhudumia mume wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka nyumba yako umeziba madirisha ya jikoni! Ahahahahaha!!!Kiasili mwanamke ni wa kukaa ndani, kulea watoto na kumuhudumia mume wake
Wanawake wana akili sana, ni vile tu mifumo tawala ya dunia iliwatenga toka zamani.Hivi ni kwanini jinsia hii ya kike inajiweka mbali sana na mambo yanayoumiza akili ?
Mfano hata fani mbalimbali zenye matumizi makubwa ya akili kuna asilimia ndogo sana ya wanawake katika maeneo hayo ukilinganisha na jinsia ya kiume.
Masuala ya kisiasa kama uchambuzi,ufuatiliaji kitaalam,uongozi n.k kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume unaweza kufuatilia hata hapa nchini kwetu.
Kujichanganya katika mada zenye kuchangamsha akili kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume.
Hata katika mitandao ya kijamii, mitandao ile inayojielewa na yenye mada za kutikisa ubongo wanawake ni wachache sana tofauti na wanaume ukilinganisha na mitandao ya kipuuzi wanawake wamejazana huko balaah.
Hivi shida ni nini ?
Hiyo ni gender role, wanawake waliumbwa wafuate maelekezo kutoka kwa wanaume na wanaume wakipewa maelekezo na Muumbaji yaani Mungu, ndio maana wanawake wanatakiwa wawe watiifu kwa wanaume na sisi tuwapende kama Mungu anavyotupenda sisi tunavyokuwa watiifu kwake, hivyo wanawake ni subordinate ya wanaume, hata ofisini maongezi ya maexecutive ni tofauti na ya subordinatesHivi ni kwanini jinsia hii ya kike inajiweka mbali sana na mambo yanayoumiza akili ?
Mfano hata fani mbalimbali zenye matumizi makubwa ya akili kuna asilimia ndogo sana ya wanawake katika maeneo hayo ukilinganisha na jinsia ya kiume.
Masuala ya kisiasa kama uchambuzi,ufuatiliaji kitaalam,uongozi n.k kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume unaweza kufuatilia hata hapa nchini kwetu.
Kujichanganya katika mada zenye kuchangamsha akili kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume.
Hata katika mitandao ya kijamii, mitandao ile inayojielewa na yenye mada za kutikisa ubongo wanawake ni wachache sana tofauti na wanaume ukilinganisha na mitandao ya kipuuzi wanawake wamejazana huko balaah.
Mfano mwengine mwepesi hata humu tu Jf wanawake kwenye majukwaa ya kutuliza akili ID zao kama hazipo ila kwenye majukwaa yenye stories za kipuuzi puuzi ID zao zipo active.
Hivi shida ni nini ?
Basi me nipo hukoNinao.
Kama Afghanistan tuBila shaka nyumba yako umeziba madirisha ya jikoni! Ahahahahaha!!!
Ahahahahaha!!!Kama Afghanistan tu
Wanawake ni wavivu sana.. Siyo watu wa mavitu magumu kama wanaume.Hivi ni kwanini jinsia hii ya kike inajiweka mbali sana na mambo yanayoumiza akili ?
Mfano hata fani mbalimbali zenye matumizi makubwa ya akili kuna asilimia ndogo sana ya wanawake katika maeneo hayo ukilinganisha na jinsia ya kiume.
Masuala ya kisiasa kama uchambuzi,ufuatiliaji kitaalam,uongozi n.k kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume unaweza kufuatilia hata hapa nchini kwetu.
Kujichanganya katika mada zenye kuchangamsha akili kuna kundi dogo sana la wanawake ukilinganisha na wanaume.
Hata katika mitandao ya kijamii, mitandao ile inayojielewa na yenye mada za kutikisa ubongo wanawake ni wachache sana tofauti na wanaume ukilinganisha na mitandao ya kipuuzi wanawake wamejazana huko balaah.
Mfano mwengine mwepesi hata humu tu Jf wanawake kwenye majukwaa ya kutuliza akili ID zao kama hazipo ila kwenye majukwaa yenye stories za kipuuzi puuzi ID zao zipo active.
Hivi shida ni nini ?