Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
si ndo hapoMleta mada sijui ana umri gani? Baba kuwa na watoto kwa mwanamke yeyote sio shida kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si ndo hapoMleta mada sijui ana umri gani? Baba kuwa na watoto kwa mwanamke yeyote sio shida kabisa.
imefungwaVipi pm iko wazi?
wala sio shida si nimempenda mwenyeweUnakubali kuanza mechi 6-0?
Yani mama wa kambo wa watoto sita!
Ukamzaba kofii hahhaa nimeipenda hyoo umenena ukweli mtupu mkuuKwasababu wanawake ni rahisi kudanganyika na kusamehe, unaweza kumzaba mwanamke kofi ukamuomba msamaha akakusamehe baada ya dakika moja ukamzaba tena kofi ukaomba msamaha na akaendelea kusamehe ila siyo kwa mwanaume unaweza ukamzaba kofi moja urafiki ukaishia hapo
Njoo kwangu mie nina watoto wawiliKwani mtu kuwa na mtoto ni kosa? Yaani mimi hata awe nao sita 😂😂hata sio shida zangu nitampenda yeye na watoto wake.
😂😂😂😂we sitaki we muasheratiNjoo kwangu mie nina watoto wawili
Sasa nikikuwowa sii ndio natulia unakuwa wanisusia mbususu😂😂😂😂we sitaki we muasherati
😂😂😂hutatoshekaSasa nikikuwowa sii ndio natulia unakuwa wanisusia mbususu
Mpaka anakuacha anakua hajui kuwa umeshamzalisha? Wee endelea na michezo yako kwa mwanamke asie na maisha ila si vinginevyo.Ukiniacha wewe mwanamke mwenzako anakubali namuoa shida inakuja kwako sasa baada ya kuachana nikiwa nimekuzalisha watoto wawili
pamoja na kukataa, lkn wao tayari weshatemvea zaidi ya wanaume 100,Kwa nini mabinti wengi wadogo wanakubali kuingia kuolewa na wanaume wenye mtoto au watoto tayari(single fathers) na kuanza ndoa zao changa wakiwa mama wa kambo katika umri mdogo??
Umemaliza kila kitu!! Mwanamke akiwa tegemezi hadi michepuko ya mumewe ina ujasiri wa kumpigia simu ikamtukana!Labda huyo mwanamke awe anakutegemea kwa kila kitu ila kama anajiweza wewe zaa zaa tu nje uone unaachwa mchana kweupe.
sasa wanawake si wanaolewa, na jinsi wanavyopigana vikumbo anakataajeKwa nini mabinti wengi wadogo wanakubali kuingia kuolewa na wanaume wenye mtoto au watoto tayari(single fathers) na kuanza ndoa zao changa wakiwa mama wa kambo katika umri mdogo??
Lucha kwanini wanawake huwa wanadanganyika kiwepesi sana na ni wepesi kusamehe mtu?Kwasababu wanawake ni rahisi kudanganyika na kusamehe, unaweza kumzaba mwanamke kofi ukamuomba msamaha akakusamehe baada ya dakika moja ukamzaba tena kofi ukaomba msamaha na akaendelea kusamehe ila siyo kwa mwanaume unaweza ukamzaba kofi moja urafiki ukaishia hapo
Siyo mimi mi sifanyi huo mchezo ila usishangae mumeo akakufanyia huo mchezo na ukatulia, tena wale wanaojifanya na maisha ndo wakiachika wanaenda kuteswa upya na vibenten hakuna anaeenda kuoa mwanamke aliezalishwa kirahisi, ila Mwanaume ataoa kesho yake Asubuhi.Mpaka anakuacha anakua hajui kuwa umeshamzalisha? Wee endelea na michezo yako kwa mwanamke asie na maisha ila si vinginevyo.
Lucha kwanini wanawake huwa wanadanganyika kiwepesi sana na ni wepesi kusamehe mtu?