Kwanini wanawake wengi hukubali kirahisi kuolewa na wanaume wenye mtoto tayari

Kwanini wanawake wengi hukubali kirahisi kuolewa na wanaume wenye mtoto tayari

Lucha kwanini wanawake huwa wanadanganyika kiwepesi sana na ni wepesi kusamehe mtu?

Kumbe huwa mnaamini tunadanganyika, mnajidanganya hatudanganyiki tunajuaga ukweli ila tunawaigizia tu labda kama unakutana na wanawake wa low mind but ukikutana na smart girl huwa hadanganyiki ni vile kaamua kujifanya mpumbavu…. We did it for purpose [emoji13][emoji13]
 
Lucha kwanini wanawake huwa wanadanganyika kiwepesi sana na ni wepesi kusamehe mtu?
Hakuna sababu ila hivyo ndo walivyo, atazalishwa mara ya kwanza na kutelekezwa ila akionewa huruma na akaolewa akiwa kwenye hali hiyo ya usingo mama bado yule mwanaume wa awali aliemtelekeza na mtoto anaweza kurudi na kumrubuni upya na akaendelea kijipigia

Hivyo ndo walivyo.
 
Kwani mtu kuwa na mtoto ni kosa? Yaani mimi hata awe nao sita 😂😂hata sio shida zangu nitampenda yeye na watoto wake.
Sita mwanawane?!!
Niwe tu mkweli sitaweza hata awe tajiri ila kamoja au viwili nikijumlisha na changu kimoja hesabu zina balance.
 
S
Hakuna sababu ila hivyo ndo walivyo, atazalishwa mara ya kwanza na kutelekezwa ila akionewa huruma na akaolewa akiwa kwenye hali hiyo ya usingo mama bado yule mwanaume wa awali aliemtelekeza na mtoto anaweza kurudi na kumrubuni upya na akaendelea kijipigia

Hivyo ndo walivyo.
Sio wote!!!
 
Kwasababu hawatawajibika na gharama za kulea mtoto plus wanataka kupata sehemu ambapo watakuwa appreciated na Mwanaume.

Kulea mtoto ambaye si wake inampa points za ziada kwa mwanaume wake. Tofauti na sisi wanaume ukilea mtoto ambaye si wako mwanamke anakudharau sana anakungojea hadi muda mtoto au watoto wamekuwa wakubwa then anaanza kukuonyesha kuwa wewe ulikuwa ni kisindikizi tu katika maisha yake hakuhitaji na usishangae akaanza kuwahamasisha watoto kumtafuta baba yao.
 
Kwa nini mabinti wengi wadogo wanakubali kuingia kuolewa na wanaume wenye mtoto au watoto tayari(single fathers) na kuanza ndoa zao changa wakiwa mama wa kambo katika umri mdogo??


Wanaume wengi nao hawapendi kuoa wanawake wenye mtoto
 
Naendelea kusoma wanaume walivyo wabinafsi
Eti wao kuzaa kabla ya ndoa ni sawa,ila wanawake kuzaa kabla ya ndoa si sawa.

Kwani si mnazaa na wanawake haohao!
.....

Tukirudi kwenye mada
Wengi wanatafuta unafuu wa maisha,
Wenye kukubali Kwa upendo ni asilimia chache tu.
Wengine wanakubali ili tu naye aolewe,basi afanyaje...
Kiukweli,single father siyo first option Kwa mabinti wengi..inakujaga kuwa option inayofuata,baada ya ile ya kwanza kugonga Mwamba.
.....
All in all mara mia single father unayejua kabisa Toka mwanzo ana mtoto
Kuliko wale vichomi wa kukuletea mtoto kwenye ndoa.
Ni kawaida na asili kwa wanawake kuolewa kwa ajili ya unafuu wa maisha yake na wanae atakaowazaa, hili mwanamke yeyote hulitilia maanani, wanawake pia hawapendi sio kazi yao.

Ndo maana tukiwq na watoto wetu na tuna maisha wanawake hawaangalii hayo, kikubwa ni wao wataishije.
 
Kwa nini mabinti wengi wadogo wanakubali kuingia kuolewa na wanaume wenye mtoto au watoto tayari(single fathers) na kuanza ndoa zao changa wakiwa mama wa kambo katika umri mdogo??
Uhakika wa Maisha
 
Kwa nini mabinti wengi wadogo wanakubali kuingia kuolewa na wanaume wenye mtoto au watoto tayari(single fathers) na kuanza ndoa zao changa wakiwa mama wa kambo katika umri mdogo??
Wana uhakika wa mbegu froma males
 
Back
Top Bottom