Mwanamke hajipi hiyo starehe mwenyewe. Wote wana hitaji hilo, na pale wanapokutana wote wasio wawajibikaji na wasio na maadili, basi watoto nje ya ndoa hupatikana.Wanawake wanapenda starehe sana kwa gharama za wanaume wanaishia kupewa mimba, wengine wana maringo saana ujanani jua likianza kuchwa wanakimbilia kuzaa tu
Wazungu hawa zai kama waswahili kumkuta bint wa miaka 18 kazalishwa ningumu sanaaaaaaHV Kati ya Africa na ulaya na marekani wapi Kuna masingke mamaz wengi Zaid
Wanaopanuliwa mapaja unawaacha wapi? Wote ni hamnazo!Ujuaji mwingi sana ndio shida.
Mabinti wengi wa kizazi hiki ni wajuaji sana, wakati wakiwa na hamu wanasahau yote wanatanua mipaja na mimba chwa, wakizaa wanaendeleza ujuaji matokeo yake wanatelekezwa wanaishi kusema ooooh mwanaume suruali mali wanaume siku hizi hamna..... Punguzeni ujuaji na mdomo...
Ila jukumu linabaki kwa mama maana tamaa zimemponzaMwanamke hajipi hiyo starehe mwenyewe. Wote wana hitaji hilo, na pale wanapokutana wote wasio wawajibikaji na wasio na maadili, basi watoto nje ya ndoa hupatikana.
Wanatekeleza ilani ya chama cha kijani kwa vitendo.Sina data ambazo zinathibitisha kutoka mamlaka husika lakini kwa tathmini kutoka mitaani tunakoishi, maofisini tunakofanya kazi, makanisani na misikitini hali inaonekana dhahiri shahiri kuwa idadi ya single mothers inakua kwa kasi kubwa sana.
Turudi nyuma kidogo miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikuwa binti akizalia nyumbani akiwa anaishi na wazazi wake au kijana kumzalisha binti wakati kijana huyo akiwa anaishi kwa wazazi wake ilikuwa ni mwiko (taboo). Lakini kwa sasa kuna kitu hakipo sawa. Inaonekana ni jambo la kawaida sana na mpaka limepewa jina la kizungu “Single Mother”
Tujadili pamoja ongezeko hili tatizo ni mmomonyoko wa maadili au ni ukosefu wa wanaume wenye uthubutu wa kuoa? Ama wanaume ni wachache? Au ni fasheni na mfumo mpya wa maisha?
Tufahamu kuwa Familia ndio kiini na chimbuko la Taifa lolote, hofu yangu ni kwamba kama idadi ya familia za single mother zitaendelea kutakuwa na walakini katika Taifa katika miaka kadhaa ijayo, tunaweza kuona ni kitu cha kawaida tu lakini athari zake tutakuja kuziona miaka ijayo.
Karibuni kuchangia mada.
Na wewe ndo wale wale unajihami asa tukae kimya kwa mantiki ipi!?umeongea ukweli kuhusu future ya jamii zetu na ya taifa in generla. issue ya single mamas; bila kuhusisha data kama uliyo sema, kwa mtazamo wa kawaida tu ninaweza sema inaanzia katika jamii zetu wenyewe.
1. inaanzia katika malezi ya zama hizi tulizo nazo, how? Technically Single mama huwa wanaishi kwa kujihami "najilisha, najivalisha" mtoto anae lelewa na single mama hukuwa ktk imani hii na hata yeye atakuwa akiamini kuwa akishakuwa na access ya mbili tatu basi mwanaume sio issue tena kwake, anaweza zaa mtoto na kulea nk. hivyo stream ya single moms inazidi kuongezeka kwasababu hyo.
2. Wanaume nao wanaona vile single mamas wanavyo ishi, ikitokea akawa na mahusiano na mtto wa single mama basi always ataishi kwa tahadhali ya kudhalauliwa, hvyo ataishi akiamini mtoto huyo ana mindset kama ya mama ake, so ni suala la muda tu before hawaja achana. Kwa mentality hii relationships kama hizo huwa hazifiki mbali, tayari anakuwa anaandaliwa single mama mwingine.
3. Wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake wenye sifa zenye kufanana na mama zao, angalau kidogo. Wanaume hao hao wamezaliwa 90's. Inamaana mama zao ni old model, mabinti wa leo wana lifestyles nyingine kabisa hawapo katika angle za waoaji...so mahusiano mengi yanakuwa short term, hata ikitokea mimba basi wanaweza kulea tu, ila si kigezo cha kuishi wote.
Naomba nisinukuliwe vibaya tafadhali...usipo elewa ukae tu kimya, ukielewa pia kaa kimya.
Umeona like yangu huko???Wanawake wanapenda starehe sana kwa gharama za wanaume wanaishia kupewa mimba, wengine wana maringo saana ujanani jua likianza kuchwa wanakimbilia kuzaa tu
Kwa watoto wa kike wengi wao pia huishia kuwa single motherKwani watoto wa single mothers wana kasoro gani ukilinganisha wale wa wazazi wawili?