Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Sababu nyingine ni kuanza kujitegemea mapema kwa mabinti kutokana na ugumu wa maisha au kuibuka kwa
nafasi za ajira kwa mabinti kutokana na elimu zao au mabadiliko ya kiuchumi mf kazi za ukondakta wa mabasi kwa mabinti, salooni, kuuza bar (zamani wauza bar wengi walikuwa wamama watu wazima walioshindikana) siku hizi ni mabinti.
Sasa binti anaishi pekeyake kapanga so wanakuwa huru na kujiachia sana kimapenzi kiasi cha kustukia kupata mimba.
Zamani enzi zetu hata binti akipata kazi na bado hajaolewa alikuwa anaishi nyumbani kwa wazazi sasahivi anahama tena kwa kulazimisha ili awe huru.
Pia mmomonyoko wa maadili hususani kwa vijana hawa bodaboda wamekuwa tatizo jingine kubwa kwa kuwapa mimba wanafunzi na mahouse girl na kisha kuwatelekeza.
Ila wamekuwa wengi sana aisee awa masingle maza hapo baadae hiki kizazi sijui kitakuwaje kuna mmoja hapa kitaa ana katoto kake ka kiume full kukiremba kama kabinti mara kukasuka sasa kunasiku alimvalisha hereni tukamkomalia kwanini kamvalisa hereni mtoto wa kiume akataka kutupandishia eti mnanisaidia kulea nusu tumchape vibao huyo binti tukampa onyo tukamwambia tukimuona tena huyo mtoto wake na hereni tunamvua
 
Sina data ambazo zinathibitisha kutoka mamlaka husika lakini kwa tathmini kutoka mitaani tunakoishi, maofisini tunakofanya kazi, makanisani na misikitini hali inaonekana dhahiri shahiri kuwa idadi ya single mothers inakua kwa kasi kubwa sana.

Turudi nyuma kidogo miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikuwa binti akizalia nyumbani akiwa anaishi na wazazi wake au kijana kumzalisha binti wakati kijana huyo akiwa anaishi kwa wazazi wake ilikuwa ni mwiko (taboo). Lakini kwa sasa kuna kitu hakipo sawa. Inaonekana ni jambo la kawaida sana na mpaka limepewa jina la kizungu “Single Mother”

Tujadili pamoja ongezeko hili tatizo ni mmomonyoko wa maadili au ni ukosefu wa wanaume wenye uthubutu wa kuoa? Ama wanaume ni wachache? Au ni fasheni na mfumo mpya wa maisha?

Tufahamu kuwa Familia ndio kiini na chimbuko la Taifa lolote, hofu yangu ni kwamba kama idadi ya familia za single mother zitaendelea kutakuwa na walakini katika Taifa katika miaka kadhaa ijayo, tunaweza kuona ni kitu cha kawaida tu lakini athari zake tutakuja kuziona miaka ijayo.

Karibuni kuchangia mada.
umeongea ukweli kuhusu future ya jamii zetu na ya taifa in generla. issue ya single mamas; bila kuhusisha data kama uliyo sema, kwa mtazamo wa kawaida tu ninaweza sema inaanzia katika jamii zetu wenyewe.
1. inaanzia katika malezi ya zama hizi tulizo nazo, how? Technically Single mama huwa wanaishi kwa kujihami "najilisha, najivalisha" mtoto anae lelewa na single mama hukuwa ktk imani hii na hata yeye atakuwa akiamini kuwa akishakuwa na access ya mbili tatu basi mwanaume sio issue tena kwake, anaweza zaa mtoto na kulea nk. hivyo stream ya single moms inazidi kuongezeka kwasababu hyo.
2. Wanaume nao wanaona vile single mamas wanavyo ishi, ikitokea akawa na mahusiano na mtto wa single mama basi always ataishi kwa tahadhali ya kudhalauliwa, hvyo ataishi akiamini mtoto huyo ana mindset kama ya mama ake, so ni suala la muda tu before hawaja achana. Kwa mentality hii relationships kama hizo huwa hazifiki mbali, tayari anakuwa anaandaliwa single mama mwingine.
3. Wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake wenye sifa zenye kufanana na mama zao, angalau kidogo. Wanaume hao hao wamezaliwa 90's. Inamaana mama zao ni old model, mabinti wa leo wana lifestyles nyingine kabisa hawapo katika angle za waoaji...so mahusiano mengi yanakuwa short term, hata ikitokea mimba basi wanaweza kulea tu, ila si kigezo cha kuishi wote.

Naomba nisinukuliwe vibaya tafadhali...usipo elewa ukae tu kimya, ukielewa pia kaa kimya.
 
Kwani watoto wa single mothers wana kasoro gani ukilinganisha wale wa wazazi wawili?
Kwenye maadili ya ndoa wanapwaya Sana sababu wanakuwa wamesharithi zile roho labda tu apate neema tu ya kuyafuta yote ya nyuma.
Lakini wengi uishia kuwa kama wazazi wao.
 
umeongea ukweli kuhusu future ya jamii zetu na ya taifa in generla. issue ya single mamas; bila kuhusisha data kama uliyo sema, kwa mtazamo wa kawaida tu ninaweza sema inaanzia katika jamii zetu wenyewe.
1. inaanzia katika malezi ya zama hizi tulizo nazo, how? Technically Single mama huwa wanaishi kwa kujihami "najilisha, najivalisha" mtoto anae lelewa na single mama hukuwa ktk imani hii na hata yeye atakuwa akiamini kuwa akishakuwa na access ya mbili tatu basi mwanaume sio issue tena kwake, anaweza zaa mtoto na kulea nk. hivyo stream ya single moms inazidi kuongezeka kwasababu hyo.
2. Wanaume nao wanaona vile single mamas wanavyo ishi, ikitokea akawa na mahusiano na mtto wa single mama basi always ataishi kwa tahadhali ya kudhalauliwa, hvyo ataishi akiamini mtoto huyo ana mindset kama ya mama ake, so ni suala la muda tu before hawaja achana. Kwa mentality hii relationships kama hizo huwa hazifiki mbali, tayari anakuwa anaandaliwa single mama mwingine.
3. Wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake wenye sifa zenye kufanana na mama zao, angalau kidogo. Wanaume hao hao wamezaliwa 90's. Inamaana mama zao ni old model, mabinti wa leo wana lifestyles nyingine kabisa hawapo katika angle za waoaji...so mahusiano mengi yanakuwa short term, hata ikitokea mimba basi wanaweza kulea tu, ila si kigezo cha kuishi wote.

Naomba nisinukuliwe vibaya tafadhali...usipo elewa ukae tu kimya, ukielewa pia kaa kimya.
Umeeleweka vizur sana [emoji1666][emoji1666]
 
Binti urithi tabia za mama labda tu kama ameamua kujiself made kuelekea perfection baada ya kupata bahati ya elimu ya utambuzi. But sio Kazi rahisi kuishinda roho
 
feminine

tatizo hao wanawake wenyewe, sikuhizi wanatiana ujinga sana wengi hawataki kuolewa wanataka wazalishwe tu na kulea wenyewe

alafu wanajipigia kampeni zako za kijinga sijui mwanamke kinara, malakia wa nguvu fikra za kudhani anaweza kuendesha maisha yake na mtoto bila mwanaume.

kama wewe ni ke.. ujumbe wako huu hapa MWANZO 3:16
 
Sina data ambazo zinathibitisha kutoka mamlaka husika lakini kwa tathmini kutoka mitaani tunakoishi, maofisini tunakofanya kazi, makanisani na misikitini hali inaonekana dhahiri shahiri kuwa idadi ya single mothers inakua kwa kasi kubwa sana.

Turudi nyuma kidogo miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikuwa binti akizalia nyumbani akiwa anaishi na wazazi wake au kijana kumzalisha binti wakati kijana huyo akiwa anaishi kwa wazazi wake ilikuwa ni mwiko (taboo). Lakini kwa sasa kuna kitu hakipo sawa. Inaonekana ni jambo la kawaida sana na mpaka limepewa jina la kizungu “Single Mother”

Tujadili pamoja ongezeko hili tatizo ni mmomonyoko wa maadili au ni ukosefu wa wanaume wenye uthubutu wa kuoa? Ama wanaume ni wachache? Au ni fasheni na mfumo mpya wa maisha?

Tufahamu kuwa Familia ndio kiini na chimbuko la Taifa lolote, hofu yangu ni kwamba kama idadi ya familia za single mother zitaendelea kutakuwa na walakini katika Taifa katika miaka kadhaa ijayo, tunaweza kuona ni kitu cha kawaida tu lakini athari zake tutakuja kuziona miaka ijayo.

Karibuni kuchangia mada.
Miaka ijayo ipi? Athari zipo dhairi na zinatokana na mahamasisho ya haki sawa bila kuzingatia wajibu wanawake wanajiona wanaume na kutaka kutawakala Kila kitu na bado.
 
HV Kati ya Africa na ulaya na marekani wapi Kuna masingke mamaz wengi Zaid
 
Wanawake ni wengi,na vijana Sasa huoa mke mmoja hivyo single mothers lazima waongezeke.
 
Kwani watoto wa single mothers wana kasoro gani ukilinganisha wale wa wazazi wawili?
Kasoro nyingi tu kuto kumjua Baba Yake mzazi kuto kuishinae, kutokuwajua Babu na Bibi zake Baba zake wakubwa na wadogo mashangaz zake kutopata nafasi ya kujidai na Baba yake mbele ya watoto wenzake anakuwa hana Baba wakumpokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom