Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.

Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu. Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4. Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5. Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana. Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.

Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs. Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania. Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??

Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili. Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)

Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.) Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza. Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.

Naombeni ushauri wanajamvi

Asanteni sana.
Dawa ya Moto ni Moto
 
Unachipotia ni sawa na nnachopitia Mimi.

Mchepuko Wangu niko nae mwaka wa 3 Sasa.

Binafsi siko tayari kuzaa nae na kwa Sasa mpaka changamoto zake za kitabia zitakaporekebika.

Nina Watoto 3 , yeye Hana hata mmoja.

Anataka kabla hajafikisha 30 awe keshapata mtoto.


Ila chenga nnazompiga kuhusu kuzaa nae
Hata yeye mwenyewe haelewi hili picha nalichezaje.

Kategesha Sana ila mimba hapati ng'oo.
Afu mimi Ndio wa kwanza kumlaumu kwanini hataki kunizalia. Basi ananung'unika anataka mpaka kwenda hospitali kupima.[emoji4]

Cc: Joannah Interlacustrine E
Unampotezea muda wifi yetu mama J,Ulisikia wapi tabia inabadilika?we Kama unampenda fanya umpe zawadi ya watoto.
 
Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.

Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu. Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4. Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5. Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana. Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.

Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs. Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania. Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??

Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili. Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)

Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.) Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza. Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.

Naombeni ushauri wanajamvi

Asanteni sana.
Kauli mbiu muhimu ukiwa mlevi na muatamiaji sharti ukubali kuitwa mwakuliwa na uendelee kuliwa na kula na usigutuke wakati kugutuka huwezi na hujui maana yake, K ikikukaa kichwani design yako hawashauriki mpaka K ichuje may be na asijiboost.

La haula la kwata unabutua
 
Unampotezea muda wifi yetu mama J,Ulisikia wapi tabia inabadilika?we Kama unampenda fanya umpe zawadi ya watoto.
Kwa mwendo anaokwenda nao,
Hata ungelikua mwanaume nikasema namkupa bure, usingemkubali.

Kumzalisha na tabia mbovu hizi, Ni kujichumia janga kusudi kabisa
 
Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.

Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu. Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4. Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5. Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana. Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.

Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs. Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania. Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??

Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili. Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)

Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.) Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza. Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.

Naombeni ushauri wanajamvi

Asanteni sana.

Single Mothers wanaongezeka Tanzania kwa speed SGR.​

 
Wanawake wengi sasa hawana akili ni wajinga mno,

Zisingekuwa nyege hakika nisingethubutu hata kuwagusa

Wanawake wa hv ndo wanatufanya tuone kuwa ni heri kununua malaya
Ukahaba hautakuja kuisha kwa aina za wanawake wa leo.
Sote tuna makosa wanawake na wanaume pia haswa sisi wa kizazi hiki.

Wazee wetu walikua hawachezi mbali na kichapo kwa wake zao, iwe kosa kwa baba au mama, mama anachezea kichapo cha haja.

Hii ilileta heshima na vitu kama hivi vilikuwa ni nadra sana kuvisikia, eti mwanaume anateswa na mapenzi!

Siku hizi huko kwenye ndoa hakuna tena mapenzi ,hakuna heshima wala hio ndoa yenyewe, badala yake ni stress mahangaiko huzuni na mengi yasio na furaha, huko kwenye ndoa kitu kilichobaki ni kuvumiliana tu.

Bahati nzuri unakutana na mtu mnakua kwenye mahusiano mnapunguza stress na mahangaiko ya hapa na pale , baada ya muda unakuja kugundua hakuna ulichokimbia, mwisho wa siku malaya na kahaba nafasi yao inaoneka ya muhimu.
 
Back
Top Bottom