Wengi tu mbona wapo, sio kila mwaNaume ana tamaa za fisiHivi kuna mwanaume aliyepo kwenye ndoa na hana mchepuko????
Tatizo ni kile kitumbua kina sensor nzuri mno😂Hakika kabisa[emoji3]
Unachipotia ni sawa na nnachopitia Mimi.
Mchepuko Wangu niko nae mwaka wa 3 Sasa.
Binafsi siko tayari kuzaa nae na kwa Sasa mpaka changamoto zake za kitabia zitakaporekebika.
Nina Watoto 3 , yeye Hana hata mmoja.
Anataka kabla hajafikisha 30 awe keshapata mtoto.
Ila chenga nnazompiga kuhusu kuzaa nae
Hata yeye mwenyewe haelewi hili picha nalichezaje.
Kategesha Sana ila mimba hapati ng'oo.
Afu mimi Ndio wa kwanza kumlaumu kwanini hataki kunizalia. Basi ananung'unika anataka mpaka kwenda hospitali kupima.[emoji4]
Cc: Joannah Interlacustrine E
Dogo, mapenzi si lelemama..Yani unajihisi unapendwa sana, ilhali mtu kashasema anachohitaji nimteremko mtu wa kumtunza.. wewe kwanini hutaki kuachana naye???
Duuuuh!..binafsi nina watoto wangu 23 kwa sasa na bado kiumbe kikijipendekeza kinakula mimba..
Hivi unajua nguvu ya mchepuko mwenye mtoto wako? Usiombe tena hasa ukiwa na mke na familia. Huyo mtoto atakuwa fimbo ya kukuchapia hasa kama unataka kutunza siri.
Duuuuh!
😂😂hahahaha unashangaa ndugu.....bado natafuta kiumbe kimoja humu JF ambaye chakalamuchakalamu naye anipe wawili kwa heshima ya Mello wa JF...
Ndo maana ake chiefhahahah we muhuni sana mzee kwahio unambugilisha p2 kisha unamlaumu mbona hashiki mimba
Imebidi nirudi tena ndio nikaiona Asante sana mkuu[emoji1303][emoji1303][emoji1303]Umeona like yangu huko???
Mada ni mama na sio mtotoKwani watoto wa single mothers wana kasoro gani ukilinganisha wale wa wazazi wawili?
😂😂
Utashindana na yule Masai wa tanzanite, Saniniu Laizer, maana naskia anamiliki umati wa watoto😊
So trueWe mdada ukitaka mambo yako yaende ndivyo sivyo jichanganye kwa hawa mabishoo wa mjini, wengi wao wako irresponsible. Wanaume wa aina hii wengi ni selfish wanajali kupendeza wao tu lkn sio familia zao, yuko radhi amiliki iPhone ya million lkn mtoto hana kiatu kizuri cha shule
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Umri huu unaogopa kufanyiwa fujo na mwanamke!?Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.