Ngunichile
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 356
- 522
Dah ndugu anapajua hadi kwako..??
Nguvu za kiume za nini wakati unahongwa hela? Upate vyote viwili we nani?Wanaume sio kuishiwa nguvu tu za kiume, siku hizi hata akili na moyo wa kiume hatuna tena.
Nipe mimi huyu mkuu
Mkuu hiyo ni alert nyekundu, ukiona anawaka hivyo bado ajapata mtoto utambue kuwa ukimzalisha atataka na sehemu ya mali yako kabda ujafa, zinduka anakupeleka pabaya wewe na familia yako, inaenda kuingia kwenye migogoro, sasa fanya hivi siku jifanye mpole chukua simu yake futa picha zako kama uliwai kupiga nae, futa sms, ingia kwa email yake futa google drive yake yote, futa kila ushaidi unaohisi utakutia matatani kisha tafuta rikizo job safiri mkoani, ukifika huko unamchunia mwezi mzima, ukirudi unaendelea na maisha na mke wako , usimjibu sms wala usipokee call yake, kisha muone kama atapata hizo nguvu za kuja kwako kufanya fujo, hiyo ndo imetoka ndo dawa ya wanawake ving'ang'anizi.Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.
Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu. Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4. Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5. Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana. Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.
Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs. Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania. Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??
Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili. Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)
Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.) Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza. Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.
Naombeni ushauri wanajamvi
Asanteni sana.
Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.
Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu. Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4. Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5. Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana. Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.
Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs. Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania. Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??
Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili. Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)
Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.) Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza. Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.
Naombeni ushauri wanajamvi
Asanteni sana.
Mkuu hiyo ni alert nyekundu, ukiona anawaka hivyo bado ajapata mtoto utambue kuwa ukimzalisha atataka na sehemu ya mali yako kabda ujafa, zinduka anakupeleka pabaya wewe na familia yako, inaenda kuingia kwenye migogoro, sasa fanya hivi siku jifanye mpole chukua simu yake futa picha zako kama uliwai kupiga nae, futa sms, ingia kwa email yake futa google drive yake yote, futa kila ushaidi unaohisi utakutia matatani kisha tafuta rikizo job safiri mkoani, ukifika huko unamchunia mwezi mzima, ukirudi unaendelea na maisha na mke wako , usimjibu sms wala usipokee call yake, kisha muone kama atapata hizo nguvu za kuja kwako kufanya fujo, hiyo ndo imetoka ndo dawa ya wanawake ving'ang'anizi.
Na kwa kuongezea mkuu ni kwamba ukiona tu notifications ya sms, unafuta kabda ujasoma sije akakutumia sms ekakuteka emotional ukajikuta unajibu iwe kwa huruma au kwa hasira, yaani ni mwendo wa kudelete tu, usithubutu kusoma wala kujua anaongelea nini... Ni ngumu mwanzon ila baadae inakuwa kama unacheza game, ... One notification ,next delete.. Imeisha hiyoAsante mkuu, hii imekaa vizuri
Ha ha ha.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niljua tu lazima utetee
Piga pataWanaume sio kuishiwa nguvu tu za kiume, siku hizi hata akili na moyo wa kiume hatuna tena.
Mmmmh, Wewe ni noma sana.Binafsi natumia njia 4 kuzuia kumpa mimba.
1. Nacheza vizur na Kalenda yake.
-Siku za hatari, simwagi ndani.
2. Nacheza na Ute ute wake wa chini,
Kuna Ute flani ukiwa kwenye foreplay anautoa akiwa na nyege, nikajua uko ktk Hali ya hatar. Simwagi ndani.
3. Nacheza DELAY TACTIC
Yaani ile unasex nae MDA mrefu mpk anachoka mwenyewe anakwambia imetosha. Afu unaondoka ujakojoa bao.
Hii naitumia Sana kumkwepa Kama siku iyo sina uhakika sana usalama wa njia Namba 1 na Namba 2
4. Nacheza na vidonge vya P2 na soda ya bitterlemon.
Hii nikijua nmemwaga ndani,
ndani ya Masaa 48 nahakikisha anapata bia za kutosha mpk anapata HANG OVER.
Kisha namshawishi anywe soda ya crest bitterlemon kuondoa uchovu.
NB: Hii soda ya crest bitterlemon au Everest hata uchanganye pakt nzima ya P2 ladha yake haibadiliki kabisa.
Kwaiyo yeye hajui kwamba kamezeshwa vidonge vya kuzuia mimba bila hiari yake.[emoji4]
Cc: witnessj
Ntafanyaje Sasa mkuu,Mmmmh, Wewe ni noma sana.
Hivi kuna mwanaume aliyepo kwenye ndoa na hana mchepuko????Ntafanyaje Sasa mkuu,
na kuzaa na pasua kichwa Sitaki[emoji4]
Kwa hiyo mwingine Kuna vitu vyake akipata inatosha ,kupendwa atapendwa na mama yake au sio?Ha ha ha.....
Tatizo vijana wanajipa uhakimu wa mapenz hawajui sio kila anaechepuka ana haja ya kupendwa[emoji4]
Dah Hapo kwenye Crest umeua mkuu!Binafsi natumia njia 4 kuzuia kumpa mimba.
1. Nacheza vizur na Kalenda yake.
-Siku za hatari, simwagi ndani.
2. Nacheza na Ute ute wake wa chini,
Kuna Ute flani ukiwa kwenye foreplay anautoa akiwa na nyege, nikajua uko ktk Hali ya hatar. Simwagi ndani.
3. Nacheza DELAY TACTIC
Yaani ile unasex nae MDA mrefu mpk anachoka mwenyewe anakwambia imetosha. Afu unaondoka ujakojoa bao.
Hii naitumia Sana kumkwepa Kama siku iyo sina uhakika sana usalama wa njia Namba 1 na Namba 2
4. Nacheza na vidonge vya P2 na soda ya bitterlemon.
Hii nikijua nmemwaga ndani,
ndani ya Masaa 48 nahakikisha anapata bia za kutosha mpk anapata HANG OVER.
Kisha namshawishi anywe soda ya crest bitterlemon kuondoa uchovu.
NB: Hii soda ya crest bitterlemon au Everest hata uchanganye pakt nzima ya P2 ladha yake haibadiliki kabisa.
Kwaiyo yeye hajui kwamba kamezeshwa vidonge vya kuzuia mimba bila hiari yake.[emoji4]
Cc: witnessj