Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Salaam! Kama ilivyo ada natumai ni wazima wote. Ngoja niende direct kwenye swali, ni kwa nini wasichana wengi siku hizi ni single mothers?

Je, kwa kuwa wanawake wengi hawataki kutoka kimapenzi na wanaume wasio na mbwembwe, majivuno, waongo, masharobaro, wale wa show offs n.k? Nafikiri tunafahamu kuwa wanaume wengi wa hivi ni waongo.

Na je, kwa nini wasichana wengi wakati wakiwa bado 'moto' huwakataa na kuwakejeli hawa wanaume wastaarabu, wapole, wanaojiheshimu n.k, na kuwakubali hao kundi la kwanza, halafu wakishazalishwa huanza kuwasumbua bila huruma na kuwaletea mizigo ya watoto wasio wao ili walelewe?

Je, hii inaweza kuwa sababu?

Nini kifanyike?

Nawasilisha!
Mwanamke ndio anaeibeba mimba anajua machungu, maumivu na balaa alopitia wakati wa ujauzito, na mambo mengi yanausianishwa na wanaume kukataa mimba na kukataa kumhudumia mtoto ake.......hapo sasa ndo mwanamke anajipa cheo lasmi Cha usingo mama...na kuingia mitaani na kuanza kupambana kwa ajil ya mtoto......Hili idadi ya masingle maza kupungua mitaani kwanza wanaume wajifunze kulea na kukubali mimba za wanawake wanaotinduana nao.......kitu kingine wanawake wajitunze na waseme ukweli kua mimba alobeba ni ya mwanaume yupi........kitu kingine wanaume na wanawake wapunguze tamaa na wajishughulishe kutafuta sarafu!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke ndio anaeibeba mimba anajua machungu, maumivu na balaa alopitia wakati wa ujauzito, na mambo mengi yanausianishwa na wanaume kukataa mimba na kukataa kumhudumia mtoto ake.......hapo sasa ndo mwanamke anajipa cheo lasmi Cha usingo mama...na kuingia mitaani na kuanza kupambana kwa ajil ya mtoto......Hili idadi ya masingle maza kupungua mitaani kwanza wanaume wajifunze kulea na kukubali mimba za wanawake wanaotinduana nao.......kitu kingine wanawake wajitunze na waseme ukweli kua mimba alobeba ni ya mwanaume yupi........kitu kingine wanaume na wanawake wapunguze tamaa na wajishughulishe kutafuta sarafu!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kikubwa ni watu waache uzinzi.
Ila msijali mzungu kashapata kidonge kwa ajili ya wwanaume kumeza ili wasiwatie mimba wanawake....sasa ni mnyamduano kwa kwenda mbele....tunamwaga tuu ndani
 
Kikubwa ni watu waache uzinzi.
Ila msijali mzungu kashapata kidonge kwa ajili ya wwanaume kumeza ili wasiwatie mimba wanawake....sasa ni mnyamduano kwa kwenda mbele....tunamwaga tuu ndani
[emoji28]Mhhhh tena hyo ni njema sana......sema sishauri sana kutumia vidonge vya kwa ajil ya kuzuia wasitubebeshe......sana nashauri muwe mnamwaga tu nje au we unasemaje bwana shemeji

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
[emoji28]Mhhhh tena hyo ni njema sana......sema sishauri sana kutumia vidonge vya kwa ajil ya kuzuia wasitubebeshe......sana nashauri muwe mnamwaga tu nje au we unasemaje bwana shemeji

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kumwaga nje hakuma raha kwa mwanaume na mwanamke....utamu wa tendo upungua kwa 30%....kwani u adhani nyie wananwake mnakubaligi kavu kwa sababu gani....mnaenjoy zaidi kidume akikojolea kuta za mbususu.
 
Kumwaga nje hakuma raha kwa mwanaume na mwanamke....utamu wa tendo upungua kwa 30%....kwani u adhani nyie wananwake mnakubaligi kavu kwa sababu gani....mnaenjoy zaidi kidume akikojolea kuta za mbususu.
Ooh haya sawa kama ni hvo basi Kuna ulazima sana wa kutumia hzo dawa za kuzuia.....sema KUENI MAKINI na hzo madawa[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ooh haya sawa kama ni hvo basi Kuna ulazima sana wa kutumia hzo dawa za kuzuia.....sema KUENI MAKINI na hzo madawa[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mbona kila leo kwa hospital tunatumia dawa zao...hii tunameza tuu ili tupate burudani pendwa ya kukojolea mbususu
 
Mbona kila leo kwa hospital tunatumia dawa zao...hii tunameza tuu ili tupate burudani pendwa ya kukojolea mbususu
Oooh kweli lkn madhara yake si yatakua sio tofauti sana na madhara ya dawa ya kuzuia mimba kwa wanawake au hyo inakaaje mkuu?!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Oooh kweli lkn madhara yake si yatakua sio tofauti sana na madhara ya dawa ya kuzuia mimba kwa wanawake au hyo inakaaje mkuu?!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hamna dawa isyokuwa na madhara cha msingi tunaangalia madhara kwa kiasi gani.....mie bwana hiyo ikiingia mtaani naweka box zima ndani ili nigegede vizuri kwa kumwagia ndani
 
Salaam! Kama ilivyo ada natumai ni wazima wote. Ngoja niende direct kwenye swali, ni kwa nini wasichana wengi siku hizi ni single mothers?

Je, kwa kuwa wanawake wengi hawataki kutoka kimapenzi na wanaume wasio na mbwembwe, majivuno, waongo, masharobaro, wale wa show offs n.k? Nafikiri tunafahamu kuwa wanaume wengi wa hivi ni waongo.

Na je, kwa nini wasichana wengi wakati wakiwa bado 'moto' huwakataa na kuwakejeli hawa wanaume wastaarabu, wapole, wanaojiheshimu n.k, na kuwakubali hao kundi la kwanza, halafu wakishazalishwa huanza kuwasumbua bila huruma na kuwaletea mizigo ya watoto wasio wao ili walelewe?

Je, hii inaweza kuwa sababu?

Nini kifanyike?

Nawasilisha!
Wanawake wengi wanatafuta siku hizi, sio kama zamani, weng sio tegemezi ka zamani. Ndoa/ mahusiano yalizingua, rahisi kuachana nao. Wanasema usiwe kwenye ndoa/ mahusiano kufwata mapenzi tuu, lazima kuwe na vitu vingine, urafiki hobbies biashara hela nk
 
Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.

Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu.

Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4.

Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5.

Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana.

Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.

Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs.

Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania.

Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??

Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye

Na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili.

Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)

Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.)

Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza.

Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.

Naombeni ushauri wanajamvi

Asanteni sana.
Yani mwanamke hadi anafika hatua ya kukwambia eti atafute mtu wa dating kwenye mitandao na wewe upo tu unatumbua macho kumsikikiza utumbo huo, be a man. Na yeye ameshakupima akaona kichwani mwako yaliyomo yamo.
 
Salaam! Kama ilivyo ada natumai ni wazima wote. Ngoja niende direct kwenye swali, ni kwa nini wasichana wengi siku hizi ni single mothers?

Je, kwa kuwa wanawake wengi hawataki kutoka kimapenzi na wanaume wasio na mbwembwe, majivuno, waongo, masharobaro, wale wa show offs n.k? Nafikiri tunafahamu kuwa wanaume wengi wa hivi ni waongo.

Na je, kwa nini wasichana wengi wakati wakiwa bado 'moto' huwakataa na kuwakejeli hawa wanaume wastaarabu, wapole, wanaojiheshimu n.k, na kuwakubali hao kundi la kwanza, halafu wakishazalishwa huanza kuwasumbua bila huruma na kuwaletea mizigo ya watoto wasio wao ili walelewe?

Je, hii inaweza kuwa sababu?

Nini kifanyike?

Nawasilisha!
Asante naomba kulijibu swali Hilo Kama ifuatavo wasichana wengi wanakosa misimamo kutokana na kipato Cha mwanaume MSICHANA anaweza kuwa na mwanaume ambaye Ni mtulivu kabisa na mwelewa pale anapokutana na mwanaume mwenye vishawishi zaidi asipokuwa na msimamo anabadilisha mawazo nakupelekea sehemu ambayo anafikili anaweza kupata kila kitu bila kujua Nia ya mtu huyo baada yakumzalisha anamuacha nakubaki kukumbuka aliyemuona anafaa hivo basi anakuwa kashachelewa
Katika swali lako linguine wasichana wakiwa katika umri Fulani wanapenda Mambo ya Raha zaidi kutoka out,kuvaa vitu vile vzr sio Mambo ya future kutokana na Hilo lazima akubaliane na mwenye tabia izo. Matumaini utakuwa umepata kitu Asante
 
Wanawake wengi 75% wana tabia chafu, mdomo mchafu, uvivu, ujuaji, uchafu nk. Hawaoleweki
 
Back
Top Bottom