Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Duh!! mkuu, siku hizi unatangaza injili?
bahati mbaya ni kwamba Mungu anavyozidi kuhubiriwa ndivyo watenda maovu wanavyozidi kuongezeka. yaani uoga wa Mungu umetuisha kabisa wanadamu.

Sio kutangaza injili...bali najaribu kuwarudisha wanakondoo waliopotea kundini....
 
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi. Yaani niache t*g* ya bure. Ningekuwa mimi ningemtendea haki tu. Kwani dhambi ninazongapi bwana...kama mbwai na iwe mbwai tu. Tumechoka sasa maana hakuna namna nyingine.
 
Hawa ndio wanadamu wa leo....wanadamu walioasi upendo wa muumba na kujinasibisha na yule mwovu kwa matendo machafu.....wanadamu wanaodhani kuwa kila linalofurahisha nafsi zao basi ni halali kwao kulitenda
Hii nimeipenda sana, upo very deep mkuu.
 
Hawa ndio wanadamu wa leo....wanadamu walioasi upendo wa muumba na kujinasibisha na yule mwovu kwa matendo machafu.....wanadamu wanaodhani kuwa kila linalofurahisha nafsi zao basi ni halali kwao kulitenda hata kama lipo kinyume na muumba wao na lina madhara kwao...imekuwa ngumu kuwatofautisha wanadamu wa leo na yule mwovu ibilisi kwa matendo yao...wamejitoa wenyewe katika utukufu wa MUNGU kwa tama za miili yao....wanatimiza kila takwa la miili yao lakini si matakwa ya aliyewaumba.....wanatumia gharama kubwa kutenda maovu makubwa....kitu walichokisahau wanadamu wa leo ni kuwa mwisho wao utakuwa wa kulia na kusaga meno.......

daaah siongezi neno
 
Ukitapewa tigo na dem, ukaikatataa kwa jeuri yako utapigwa tu maana hakuna namna nyingine sasa
 
Ungempiga makofi kama matano alafu ukaondoka

Kwa nn umpige??? una mangapi uyapendayo wew, ambayo wenzako hawayapendi. Je, utafurahi ukipenda lisikompendeza mwenzio....akupige makofi??? HESHIMU DEMOCRASIA MKUU.
 
Kwa nn umpige??? una mangapi uyapendayo wew, ambayo wenzako hawayapendi. Je, utafurahi ukipenda lisikompendeza mwenzio....akupige makofi??? HESHIMU DEMOCRASIA MKUU.

ndo kinachowaponza hiki, mnajifanya mnajua democrasia hadi kwenye upuuzi. Mwajifanya mwajua kumbe mwaungua Jua
 
Kuna viwanawake sikuizi wanavyokaa na wenzao wenye akili mchwara hudanganyana sana,eti mwanamme ukimpa Tigo hachomoi kumbe hawajua kama wanajishushia hadhi zao na kuonekana si chochote...
 
Mwanamke hawezi fanya huo uchafu mwenyewe, lazima afanye na mwanaume. Binadamu tumemuacha Mungu na kufata kile dunia ipendacho tujue mwisho Mungu haangalii wingi wa watu, alikuwa tayari kuimaliza dunia nzima kwa mara ya pili na hata ikitokea ni mtu mmoja tu basi ataiangamiza dunia nzima.
Tuache mambo mabaya kufanya hivyo tunazidiwa na wanyama maana wanyama hawafanyi kupitia njia ya nyuma
 
Kale kastory ka lara 1 sikukapata ile ya saa 5 nini kiliendelda aliyesoma ani pm kwa ufupi
 
ndo kinachowaponza hiki, mnajifanya mnajua democrasia hadi kwenye upuuzi. Mwajifanya mwajua kumbe mwaungua Jua

Kwa nin umpige Muraa??? Mtatuulia warembo wetu kwa hzo hukumu zenu za vipigo. Kwaniii, ukigaili na kumueleza unachoamini wew, tabu iko wapi??? Yey amekwambia kwa nn hutaki kuingia hukoo??? Mim napenda....ushaelewa, ukisema mm cpendi na ctaki huko atakupiga??? Unapenda awe yf material...kwani uliambiwa ukimchukua mwengne kuwa yf material utakufa???

Kwa kuwa mwanamke hajaonesha vita kwakooo, napinga moja kwa zoote vita yako kwake. Neno lako tu linatosha kubadili uelekeo. NACHUKIA SANA DUME LINALOPIGA MWANAMKE (kiumbe dhaifu lakn ni faraja ya mwanaume). Hakika nikikubamba unamdungua makofi, haijalishi ukoje/unafananaje! I shall stop you....nanunua kesi. PIGA MIM KIDUME....kama unayo sababu. Kama huna sababu ya kunipiga, nitakutengua kiuno aysee! NINA MORALI MNO.

PIGA Mwizi, kibaka, jambazi au piga anayepiga mwenzake kama wew ilhali huna haki ya kupiga. Ukimpiga mwanamke...inanijia taswira ya mama yangu/dada yangu, xo...naumia. UPENDO PEKEE UTALETA AMANI. Wapende wanawake kwa kadri ulivojaaliwa. Cheza nao kwa kadri unavoona inafaa. WAPE FURAHA YAO...NAO WATAKUPA FURAHA YAKO. Waongoze vema....DON'T HARM EM.

HIZI NDO FIKRA ZANGU...na kamwe hazibadiliki. Naziamini fikra hizi. Ukifanya vita na shori mbele yangu...nanunua kesi, na she naondoka naye, nitakwenda kum'bwaga polis post. Nitafanya yangu pale afu nitamtangazia uhuru...aishi bila hofu...maana nitamlisha elimu. Ni elimu pekee iletayo mabadiliko ya kweli na ya kudumu kupitia BONGO LAKO.

Mkuu Kilambilambila, sina ugomvi na wew, ni mgongano tu wa kifkra baina yangu mm na wew, hakuna kutoana uvimbe wala damu kumwagika. Tuko pamoja sana. MM NI MDEMOCRATIC MAN. Peace & Lov.
 
km neno ni jema yapaswa tulifuate bila ubishi wala ujeuri
mi mzima naelekea kuwajibika kutumikia mshahara wao
sijui wewe

Unakwenda kuwajibika kutumikia mshahara wako...na siyo mshahara wao...au??? Me niko xafi, ndo naamka sasa nifany maandaliz ya kwenda kuhemea. Nenda kaichape kazi ccter.
 
Back
Top Bottom