Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Kaikana kambi😁😁Yaani wewe basi tu !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaikana kambi😁😁Yaani wewe basi tu !!!
Thanks mate for a nice reply.Feminist ambao ndoa zimewashinda ndo wamekuwa role model wa dada zetu hivyo kutumia harakati za kudai haki kuharibu akili na misimamo ya wengine kwa kuwaaminisha kuwa ndoa sio kitu muhimu, ila wengi wakifika age ya 35.......ndo huja kutambua nini maana ya ndoa ila wa miaka 18...….25 hawaelewi.
Eti muache kutuonjesha eti ndiyo tutawaoa..Kwahiyo unataka kusemaje sasa?
😂😂😂Eti muache kutuonjesha eti ndiyo tutawaoa..
Mwanamke gani atataka umuoe vila kuwa na Ajira maalumu?Nimekuelewa mkuu, lakini mbona wazee wetu walioa na bila kuwa na ajira maalum?
Mwanaume kuw na tabia za like haipendezi, inakuhusu
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Mwanaume kuwa na tabia za kike haipendezi.Mwanaume kuw na tabia za like haipendezi, inakuhusu
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Kwa zamani iliwezekana, lakini kwa sasa nichangamoto.Mwanamke gani atataka umuoe vila kuwa na Ajira maalumu?
Wanaume tumetofautiana sivizuri kugeneralize, wengine kwa maduka wengine kwa supermarket.mbona mimi nimeolewa
We wasemaHello WanaJf
Bibi: Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?
Mimi: Hapana Bibi
Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba".
Mimi: Inamaana gani bibi?
Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa wanaume wa kizazi cha sasa wanayapata kabla ya kwenye ndoa . Kama vile kufuliwa, kupikiwa na mambo mengine ya ndani ya ndoa, huku mkiwa bado hamjafunga pingu za maisha. Hii inapelekea kwa kiasi kikubwa kupoteza hamu ya ndoa na zana nzima ya ndoa kati ya wahusika hao wawili na kusababisha kushiba kwa wanaume kunakotokana na kuonja onja na kupelekea kushiba.
HUU NI MTAZAMO WA BIBI YANGU, JE WEWE UNAMTAZAMO GANI KUHUSIANA NA HILI?
Umenena vyemaFeminist ambao ndoa zimewashinda ndo wamekuwa role model wa dada zetu hivyo kutumia harakati za kudai haki kuharibu akili na misimamo ya wengine kwa kuwaaminisha kuwa ndoa sio kitu muhimu, ila wengi wakifika age ya 35.......ndo huja kutambua nini maana ya ndoa ila wa miaka 18...….25 hawaelewi.
Bibi RukiaWe wasema
DuuuhHawaolewi sababu karibu 90% wanaume wa sasa wamekimbilia udada.(mashoga)
???????????Ujuaji mwingi
Kama kuna ukweli vile .......Points ni zile zile
1.Hawaolewi kwasababu wanaume hawataki majukumu ya ndoa
2.Uhaba wa wanaume huku jinsia ya kiume na wavulana kuwa nyingi
3.Kujirahisisha na uhuni wa wanawake ambao unapelekea kuogopesha waowaji
4.Uhuni wa wanaume unaopelekea kupenda kuchovya chovya kuliko kuamua kutulia na ndoa
5.Kutishana,waliopo ndoani wanatisha sana ambao bado hawajaingia ndoani...usaliti
Nimesahau udomo zege....teh!