Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Hello WanaJf

Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Mimi: Hapana Bibi

Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba".

Mimi: Inamaana gani bibi?

Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa wanaume wa kizazi cha sasa wanayapata kabla ya kwenye ndoa . Kama vile kufuliwa, kupikiwa na mambo mengine ya ndani ya ndoa, huku mkiwa bado hamjafunga pingu za maisha. Hii inapelekea kwa kiasi kikubwa kupoteza hamu ya ndoa na zana nzima ya ndoa kati ya wahusika hao wawili na kusababisha kushiba kwa wanaume kunakotokana na kuonja onja na kupelekea kushiba.

HUU NI MTAZAMO WA BIBI YANGU, JE WEWE UNAMTAZAMO GANI KUHUSIANA NA HILI?
Yes ni mtizamo tu wake,swala la kuoa wengine wakionjeshwa onjeshwa ndio wanaoa haraka ukimzungusha anasepa.
 
Points ni zile zile

1.Hawaolewi kwasababu wanaume hawataki majukumu ya ndoa
2.Uhaba wa wanaume huku jinsia ya kiume na wavulana kuwa nyingi
3.Kujirahisisha na uhuni wa wanawake ambao unapelekea kuogopesha waowaji
4.Uhuni wa wanaume unaopelekea kupenda kuchovya chovya kuliko kuamua kutulia na ndoa


5.Kutishana,waliopo ndoani wanatisha sana ambao bado hawajaingia ndoani...usaliti


Nimesahau udomo zege....teh!
100% correct
 
Hello WanaJf

Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Mimi: Hapana Bibi

Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba".

Mimi: Inamaana gani bibi?

Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa wanaume wa kizazi cha sasa wanayapata kabla ya kwenye ndoa . Kama vile kufuliwa, kupikiwa na mambo mengine ya ndani ya ndoa. Hii inapelekea kwa kiasi kikubwa kupoteza hamu ya ndoa na zana nzima ya ndoa kati ya wahusika hao wawili na kusababisha kushiba kwa wanaume kunakotokana na kuonja onja na kupelekea kushiba.

HUU NI MTAZAMO WA BIBI YANGU, JE WEWE UNAMTAZAMO GANI KUHUSIANA NA HILI?
Bibi yako hajui kuuliza swali ilitakiwa ukauulize unajua Kwa nn mjukuu wangu huoi ? Sisi tushaona na tunampango wa kuozesha na watoto wetu sasa
 
My experience,, women are granted more rights than men.
Boys have seen this done to their fathers and brothers, women benfit from what they never contributed.

And the percentage of cheating wives increases always.

Boys are then afraid of getting married to such women who will claim what they never brought home, women who will cheat with other men while are in marriage.


I think I have tried ,,

my english does not concern you. [emoji28]
 
Points ni zile zile

1.Hawaolewi kwasababu wanaume hawataki majukumu ya ndoa
2.Uhaba wa wanaume huku jinsia ya kiume na wavulana kuwa nyingi
3.Kujirahisisha na uhuni wa wanawake ambao unapelekea kuogopesha waowaji
4.Uhuni wa wanaume unaopelekea kupenda kuchovya chovya kuliko kuamua kutulia na ndoa


5.Kutishana,waliopo ndoani wanatisha sana ambao bado hawajaingia ndoani...usaliti


Nimesahau udomo zege....teh!
Hahahahah kwa hio point zote umeelekeza lawama kwa Wanaume 😅😅😅! Kweli show kali!!!
 
My experience,, women are granted more rights than men.
Boys have seen this done to their fathers and brothers, women benfit from what they never contributed.

And the percentage of cheating wives increases always.

Boys are then afraid of getting married to such women who will claim what they never brought home, women who will cheat with other men while are in marriage.


I think I have tried ,,

my english does not concern you. [emoji28]
Obrigados
 
Back
Top Bottom