dimatteo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 868
- 932
Huyu hataki kusikia mabaya yaokwa nn ukazie kwa mwenzako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hataki kusikia mabaya yaokwa nn ukazie kwa mwenzako.
😂😂😂😂Huyu hataki kusikia mabaya yao
Acha kutukana ,unakuwa Kama zuzuHawaolewi sababu karibu 90% wanaume wa sasa wamekimbilia udada.(mashoga)
Nashukuru kama huwaoni.Acha kutukana ,unakuwa Kama zuzu
Yes ni mtizamo tu wake,swala la kuoa wengine wakionjeshwa onjeshwa ndio wanaoa haraka ukimzungusha anasepa.Hello WanaJf
Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?
Mimi: Hapana Bibi
Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba".
Mimi: Inamaana gani bibi?
Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa wanaume wa kizazi cha sasa wanayapata kabla ya kwenye ndoa . Kama vile kufuliwa, kupikiwa na mambo mengine ya ndani ya ndoa, huku mkiwa bado hamjafunga pingu za maisha. Hii inapelekea kwa kiasi kikubwa kupoteza hamu ya ndoa na zana nzima ya ndoa kati ya wahusika hao wawili na kusababisha kushiba kwa wanaume kunakotokana na kuonja onja na kupelekea kushiba.
HUU NI MTAZAMO WA BIBI YANGU, JE WEWE UNAMTAZAMO GANI KUHUSIANA NA HILI?
100% correctPoints ni zile zile
1.Hawaolewi kwasababu wanaume hawataki majukumu ya ndoa
2.Uhaba wa wanaume huku jinsia ya kiume na wavulana kuwa nyingi
3.Kujirahisisha na uhuni wa wanawake ambao unapelekea kuogopesha waowaji
4.Uhuni wa wanaume unaopelekea kupenda kuchovya chovya kuliko kuamua kutulia na ndoa
5.Kutishana,waliopo ndoani wanatisha sana ambao bado hawajaingia ndoani...usaliti
Nimesahau udomo zege....teh!
Simple like that?Wanawake hawaolewi kwasababu wanaume hawaoi.
Hakuna kiumbe asiyejali uhai wake.Wanaume tunaogopa ukimwi ndio maana hatutaki kuoa
Nimefanyaje?🙄Yaani wewe basi tu !!!
Feminists wanataka haki sawa kwa wote kati ya wanaume na wanawake. Kuondoa kabisa mfumo dume katika kila sekta zinazooperate dunia hii.
Do you wish to complicate?Simple like that?
I don't want complication-----break it down into some reasons?Do you wish to complicate?
Bibi yako hajui kuuliza swali ilitakiwa ukauulize unajua Kwa nn mjukuu wangu huoi ? Sisi tushaona na tunampango wa kuozesha na watoto wetu sasaHello WanaJf
Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?
Mimi: Hapana Bibi
Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba".
Mimi: Inamaana gani bibi?
Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa wanaume wa kizazi cha sasa wanayapata kabla ya kwenye ndoa . Kama vile kufuliwa, kupikiwa na mambo mengine ya ndani ya ndoa. Hii inapelekea kwa kiasi kikubwa kupoteza hamu ya ndoa na zana nzima ya ndoa kati ya wahusika hao wawili na kusababisha kushiba kwa wanaume kunakotokana na kuonja onja na kupelekea kushiba.
HUU NI MTAZAMO WA BIBI YANGU, JE WEWE UNAMTAZAMO GANI KUHUSIANA NA HILI?
Tena msimfokeeee huyu to yeyeHawaolewi sababu karibu 90% wanaume wa sasa wamekimbilia udada.(mashoga)
Hahahahah kwa hio point zote umeelekeza lawama kwa Wanaume 😅😅😅! Kweli show kali!!!Points ni zile zile
1.Hawaolewi kwasababu wanaume hawataki majukumu ya ndoa
2.Uhaba wa wanaume huku jinsia ya kiume na wavulana kuwa nyingi
3.Kujirahisisha na uhuni wa wanawake ambao unapelekea kuogopesha waowaji
4.Uhuni wa wanaume unaopelekea kupenda kuchovya chovya kuliko kuamua kutulia na ndoa
5.Kutishana,waliopo ndoani wanatisha sana ambao bado hawajaingia ndoani...usaliti
Nimesahau udomo zege....teh!
ObrigadosMy experience,, women are granted more rights than men.
Boys have seen this done to their fathers and brothers, women benfit from what they never contributed.
And the percentage of cheating wives increases always.
Boys are then afraid of getting married to such women who will claim what they never brought home, women who will cheat with other men while are in marriage.
I think I have tried ,,
my english does not concern you. [emoji28]
Zote??hujasoma zoteHahahahah kwa hio point zote umeelekeza lawama kwa Wanaume 😅😅😅! Kweli show kali!!!