Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Feminist ambao ndoa zimewashinda ndo wamekuwa role model wa dada zetu hivyo kutumia harakati za kudai haki kuharibu akili na misimamo ya wengine kwa kuwaaminisha kuwa ndoa sio kitu muhimu, ila wengi wakifika age ya 35.......ndo huja kutambua nini maana ya ndoa ila wa miaka 18...….25 hawaelewi.
 
Thanks mate for a nice reply.
 
We wasema
 
Umenena vyema
 
Kama kuna ukweli vile .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…