Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Wazee wa battle ndio wengi humu! Mahusiano yamefanywa kama sehemu ya kuoneshana nani zaidi!

Kikubwa ambacho mwanamke alitakiwa kufanya ni ku neutralize misuguano ila wao wanaona kufanya hivyo kama ni kutufanyia favour😁😁😁 tabu itaendelea tu!
 
Kwasababu hatuwezi ikimbia asili yetu. Kuoana ni vitu viliwekwa kwa sababu fulani tu
 
Thanks so much for your wonderful content and God be upon you mate.
 
Wanawake wengi kuliko wanaume
 
Very smart and wise contribution......Only the wise one can accept that.
 
Wanawake wengi kuliko wanaume
Kibaiolojia ni kweli possibility ya kupatikana mtoto wa kike ni kubwa kuliko mtoto wa kiume = Automatically Wanawake ni wengi kuliko wanaume duniani. Je, kwa nini hawaolewi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…