Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Wanyakiusa wanafaa sana kuoa
 
Tunapoelekea ni kubaya zaidi tunatoka kwenye Bad tunaelekea kwenye Worse.
 
No 2 ungedadavua vema dea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawaolewi sababu karibu 90% wanaume wa sasa wamekimbilia udada.(mashoga)
Mada inahusu wanawake kutoolewa, lawama zinaenda kwa mashoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi ya ajabu hii lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…