Kwanini wanawake wengi wanabweteka kwenye mahusiano akishakuzoea

Yaani Mimi mademu wananiambiaga sipo Romantic mara Niko busy ila hawaishi kunitafuta , na wakija nawacare vibaya mnoo,....ila sibembelezi sana ,ukinidengulia Huwa nakupima sikutafuti for a maximum of three months net! baada ya hapo hata uwe nani na hata ufanye nini ukinitafuta hatutarudiana....hiyo inakuwa imeenda[emoji23]
 
Yaani three months.....mnakuwa hamuongei kabisa au unasubiri yeye aanzishe convo
 
Then unapoteza sana pesa zako ili kuwaonyesha wanawake haujali kumbe unajali indirectly.

Kwann usitafute pisi ya kwenda usettle nayo.
 
Then unapoteza sana pesa zako ili kuwaonyesha wanawake haujali kumbe unajali indirectly.

Kwann usitafute pisi ya kwenda usettle nayo.
NO Mimi napenda nifanye nice kwa upande wangu kama mwanaume sitaki kuwa harsh ili ukisepa ukose Cha kuniongelea vibaya, ila ukilinga ujue Mimi sijali kabisaa, mwanamke ukimdekeza dekeza hovyo ndo utapoteza ela na muda
 
Kwa wakati huo alikuwa anadengua tangu bro aache kumpa attention mzigo akawa anatoa bila hata kuomba ila now day ni wana ndoa wana mwaka mmoja wa ndoa yao
Kama ni hivyo, basi walikua wapo kwenye tuisheni na maandalizi ya kuingia kwenye mtihani wa ndoa..🤨
 
Sasa hivi wapo kwenye ndoa wana mwaka mmoja wa ndo

mwanamke bila mchamchaka haendi vizuri mwanaume ukitambua thamani yako hakuna mwanamke atakayekuendesha hii kitu niliwahi kumwambia bro wangu nimeona imemsaidia
nanukuu
 
akizoea nyuchi haoshi kabithaa inatema haswa
 
BInti kiziwi uli mpata?
 
ndo walivyo wanawake drama ni sehemu ya maisha yao....mwanamke anaweza kukuomba msamaha kwanza halafu ndo akosee.

12:00: samahani kwa kuchelewa kujibu
12:02: sawa, usifanye hivyo tena
17:00: sitofanya tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…