Kwanini wanawake wengi wanapendelea kunywa soda ya pepsi

Njoo uchukua my dear Friend...
tena ya kopo baridiii.kwa Uzoefu wangu wanawake wengi wanaopenda soda za PESPI TENA ZA KOPO...Ni watundu Mnoo kitandani...na "wanamadeko"wawapo 6*6 anaweza kukuambia hata mkomoe ili asiende kwa wengine...
Mmmmh
Nimeshiba, Asante
 
Mie niliichukia tangia nione siku moja dada mmoja from ZNZ tukiwa Chuo aliagiza pepsi akawa anakunywa lakini kukawa kuna kitu kigumu kigumu akadhani ni bonge la barafu labda kinywaji kimeganda, kufika mwisho mwisho kumbe ni mende tena yule mkubwa wa chooni!!!! tokea hapo sinywi wala coca wala soda yoyote yenye u brown au weusi, nakunywa sprite ili nione vyema ndani ya chupa kilichomo!!!!
 
Ukipewa hela ya cok ukanunua pepsi inabaki hela ya ugoro,ni wajanja hao
 
Hao ndio ulowaona ..nahisi wanaamin PEPs haina madhara..


Lkn nakuhakikishia ,,katika mambo yetu Yale ,,mwanamke anayejua lazima anywe Redbulls ...hapo atabaki kucheka Cheka ,,, nyege zipande ,,, mashav yawe nadimpoz hata km sio zakuzaliwa ..

Then atakuambia "" I am tired baby "" nahisi kulala[emoji23] [emoji23] [emoji8]
 
Redbull + Pepsi kitu km unga wa muhogo
 
Weeee acha nampenda kweli kuseat down na mwanamke alafu muda wote anacheka Cheka..


Huwa najihis km nmemyosheleza ,,, ujue hata nguvu yamwanamme IPO katika tabasam la mwanamke wake.
Na upate mwenye tabasamu tamu na macho km anakuita iv hajajajsjaaaaa huchoki kumla yani
 
Huku Kimara Stop Over wengi wanapenda Ngumu Kumeza, Kitu mixer Jiki, Amira, shilingi za matobo n.k

Nadhani utafiti wako ulibalance eneo moja tu kama ulivyo wangu.
 
Mie niko kinyume kabisaaa.

Yaani siku ambayo nitakunywa soda basi ujue bila Fanta passion au Fanta pinapple basi kiu cha soda hakitakwisha.

Piga savanna, unakuaje?? Kwanza kama una kiu hupaswi kukata kiu yako kwa soda,kunywa maji walau nusu lita,ndo uanze kujishindilia na hiyo misoda sasa, utakuja umwa ugonjwa wa vidonda vya tumbo bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…