Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
humu mnafahamiana ehhh. mbona mi nikitoa mualiko haujibiwi? ngoja niongeze Na ka kidani cha che pendantKwani imetokea nini jana. Nikumbushe labda nilikua naandika kitu sikielew. Naendelea kusisitiza wewe ni age ya mamangu nakuheshimu
Sina boss mama embu usinikoseshe hela kwa kukosea heshima watu wazimaKamwulize boss wako tapeli tukinao
Umeleta mada ichangiwe usibague wachangiaji vurugu za jana itabaki kwako na huyo tukinao sie ni wapambaji tu usichukulie serious hiki unachofanya ni kuleta team zisizo na maanaAtoke kafuata nini hapa jamaa
Akaaa. Mi nafahamiana na wachache ila huyu mmama hata simjui nimeshangaa kukuita wewe nikajua labda mnajuana kiti kuhusu mimi.humu mnafahamiana ehhh. mbona mi nikitoa mualiko haujibiwi? ngoja niongeze Na ka kidani cha che pendant
Embu mwambie. Mi kwanza sina na sitaki team mavimavi. Hamna anaeniweka bundle humu kuanza kusema eti niwe team ya fulani.Umeleta mada ichangiwe usibague wachangiaji vurugu za jana itabaki kwako na huyo tukinao sie ni wapambaji tu usichukulie serious hiki unachofanya ni kuleta team zisizo na maana
Sasa ule mzigo wako VP? Huko kwenu gunia la mahindi ni shilingi ngapi?Akaaa. Mi nafahamiana na wachache ila huyu mmama hata simjui nimeshangaa kukuita wewe nikajua labda mnajuana kiti kuhusu mimi.
Relax madamEmbu mwambie. Mi kwanza sina na sitaki team mavimavi. Hamna anaeniweka bundle humu kuanza kusema eti niwe team ya fulani.
Utoto tu. Walete utoto wao mitandaoni kuwashauri waache ndo imekua tuna team.
Gunia elfu 50. Tuma basi lile lorry na wewe.Sasa ule mzigo wako VP? Huko kwenu gunia la mahindi ni shilingi ngapi?
Okay dearRelax madam
Kwani imetokea nini jana. Nikumbushe labda nilikua naandika kitu sikielew. Naendelea kusisitiza wewe ni age ya mamangu nakuheshimu
Na mimi napanda humohumo, usikondeGunia elfu 50. Tuma basi lile lorry na wewe.
Hivi phina mango yupo wapi? Cc Mama Sabrina , Shunie , Miss Natafuta , Mzigua90 , kapeacePhina njoo huku
Nimeacha mkuu.Achana nae.
Itapendeza zaidiNa mimi napanda humohumo, usikonde
Hata sijui
This is not fair Money Penny, hakuna mtu mstaarabu kama Mzigua90 hapa JF na kama mtu una visrani jaribu kuvimalizia nyumbani kwako siyo kuvileta hapa.Eh tukinao crew wamekuja huku
Makubwaa!
Kweli Money Penny Rules ahahahahaha
Tumuulize ShunieHata sijui
Nimeacha mkuu.