Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mdada aliolewa na mzungu sasa sijui wanaishi hapa dar au ulaya
huu ujinga..kuwa mwanamke hlf kukashifu mwanamkeSasa kwenye vimodo wanatafuta nini maana naskia wakaka vibonge wanabamia wadada wembamba wana shimo la kuzimu
Phina kwan ana Wowowo? !
Smart911 mahondaw 50thebe Money Talk Rebeca 83 Mama Sabrina Kichwa Kichafu Bujibuji
Sawa nishapewa taarifa zoteYa mtu flan,ila tuyaache yameshapita ntachezea ban mkuu...
Kweli kabisahuu ujinga..kuwa mwanamke hlf kukashifu mwanamke
Umempata kumbeYaani nikiwa kwa kitanda nimepanua mpk miguu inanyenyemea
Karibu supu
Thanks my dear ila alikuwaga na sauti nzuri sana ingawa mungu hakupi kila kituHuyo mdada aliolewa na mzungu sasa sijui wanaishi hapa dar au ulaya
Sijampata bado natafuta we jana ulinivunjia ndoa yangu sikupendiUmempata kumbe
Wakiitwa wanaume na nyie mtatoka??? MxiiiiiieeeeewSawa nishapewa taarifa zote
Sijaelewa Kapeace?Wakiitwa wanaume na nyie mtatoka??? Mxiiiiiieeeeew
Umbea tuachieni sisi vipochi manyoyaSijaelewa Kapeace?
Mimi ni mwanaume?Umbea tuachieni sisi vipochi manyoya
Hio ndoa ilikuwa na mihimili ya mabua!Sijampata bado natafuta we jana ulinivunjia ndoa yangu sikupendi
Aliyekupa taarifa ni mwanaumeMimi ni mwanaume?
Ni kweli ni mwanaume we ndio kiranja hapa ?Aliyekupa taarifa ni mwanaume
Km wewe ni ke una haki japo timbwili limeisha tuache kuchokonoa mambo ya watu
Sawa baby najitathmini(kukuita baby ndo sababu) nipo hivyo aiseeHio ndoa ilikuwa na mihimili ya mabua!
Kama huyo mtu kakumwaga kwa simply kwa ishu ile basi jitathimini!