Kwanini wanawake wenye Wowowo kubwa Huolewa na Wanaume Wembamba?!

Kwanini wanawake wenye Wowowo kubwa Huolewa na Wanaume Wembamba?!

Sasa mkiwa wote na mizigo mtajitofautisha vipi.[emoji44] halafu mfano mme anakuwaje mbonge? Na mara nyingi ke hunenepa wakiwa tayari kwa mme japo alipo olewa akiwa kawaida
 
Sasa kitambi cha mbele ma kitambi cha wowo vikikutana si dushe halitafika mbali. Lakn sliman anapenya tu
 
Kimachomacho tu ni kuwa mwanamke mnene au mwenye chura hufikiwa vizuri zaidi wakati wa tukio la kwichikwichi na mtu mwembamba kuliko bonge. Kingine, mwanaume kaukau atachukuaje demu kaukau?
 
Nadhani ni kwa sababu wanawake wenye makalio makubwa, mwanaume unahitaji uwe na stamina ya kuwahimili...

Mwanaume ukishakua mnene stamina nayo inapungua, kinachobaki ni kutoa toa pumzi tu kama pulizo...

Ndiyo maana kuna msemo usemao... usione wembamba wa reli...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom