[emoji23][emoji23][emoji23]Hata Sisi wanywa pombe tunashirikiana sana
Mwanga ni mtoto mdogo kazi zake nyingi anategemea apewe matirio na mchawiSamahani, naomba utofauti kati ya MWANGA na MCHAWI nadhani ndio nitaielewa mada
Asante mkuu unaelekea unajua haya masuala naomba nikuulize "kwann Wachawi wanawatumia watoto wachanga utakuta mtoto annadhoofika kiafya ukienda kwa wataalam yaan Waganga wanakwambia mtoto anatumika usiku na Wachawi huwa wanawapa kazi gani na madhara yake ni yapi?Mwanga ni mtoto mdogo kazi zake nyingi anategemea apewe matirio na mchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwa anamiliki misukule, majini, tunguli , mkoba wa mizimu ya kichawi nk,,
Mwanga ni kama saidia fundi,
Anaweza akawa anajua jua kazi
Lakini hana Toolbox , bisi bisi, wala miko na konobao,
hao nimefundisha kwa mtindo wa nursery school..
Tuwaulize akina Mzee Mpili na Jimmy Kindoki wote wa Yanga SC watakiwa na Majibu sahihi kwani kwa Mmoja kuwa Mwanga na Mwingine Mchawi waliweza Kushirikiana na Kuifunga Simba SC tarehe 3 July, 2021.Nimeona kutumia hawa watu ambao wanga na wachawi kwa jinsi walivo na ushirikiano wa hali ya juu kabisa.
Maana mikasa mingi inayosimuliwa kuhusu hawa watu unaweza kubaki mdomo wazi.
Ila tuje kwenye mada iliyonileta sio sehemu yangu huko labda kaka @Mshana Jr anaweza kunieleza kuhusu kichwa cha habari hapo juu.
Kwa nchi yetu swala la ushirikiano ni dogo sana hata umoja ni mdogo sana umebaki na unafiki mkubwa.
Uwezi kupewa ushirikiano hata kama unasababu au kitu fulani ilimradi tu chuki zao binafsi.
Ila ukije usiku wa giza mbona hawa wanaushirikiano kuliko sisi tuliopo mchana kweupe tukiwa tuna nguo zetu.
Nimeona kutumia hawa watu ambao wanga na wachawi kwa jinsi walivo na ushirikiano wa hali ya juu kabisa.
Maana mikasa mingi inayosimuliwa kuhusu hawa watu unaweza kubaki mdomo wazi.
Ila tuje kwenye mada iliyonileta sio sehemu yangu huko labda kaka @Mshana Jr anaweza kunieleza kuhusu kichwa cha habari hapo juu.
Kwa nchi yetu swala la ushirikiano ni dogo sana hata umoja ni mdogo sana umebaki na unafiki mkubwa.
Uwezi kupewa ushirikiano hata kama unasababu au kitu fulani ilimradi tu chuki zao binafsi.
Ila ukije usiku wa giza mbona hawa wanaushirikiano kuliko sisi tuliopo mchana kweupe tukiwa tuna nguo zetu.
Nimekuwekea mada yenye majibu yote.. Si ushirokiano tuu bali hata kuheshimiana wanaheshimiana mnoNimeona kutumia hawa watu ambao wanga na wachawi kwa jinsi walivo na ushirikiano wa hali ya juu kabisa.
Maana mikasa mingi inayosimuliwa kuhusu hawa watu unaweza kubaki mdomo wazi.
Ila tuje kwenye mada iliyonileta sio sehemu yangu huko labda kaka @Mshana Jr anaweza kunieleza kuhusu kichwa cha habari hapo juu.
Kwa nchi yetu swala la ushirikiano ni dogo sana hata umoja ni mdogo sana umebaki na unafiki mkubwa.
Uwezi kupewa ushirikiano hata kama unasababu au kitu fulani ilimradi tu chuki zao binafsi.
Ila ukije usiku wa giza mbona hawa wanaushirikiano kuliko sisi tuliopo mchana kweupe tukiwa tuna nguo zetu.
Umejibu vemaMwanga ni mtoto mdogo kazi zake nyingi anategemea apewe matirio na mchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwa anamiliki misukule, majini, tunguli , mkoba wa mizimu ya kichawi nk,,
Mwanga ni kama saidia fundi,
Anaweza akawa anajua jua kazi
Lakini hana Toolbox , bisi bisi, wala miko na konobao,
hao nimefundisha kwa mtindo wa nursery school..
Ivi ntamjuaje mchawi mshana !!
SureHata sisi wanywa pombe tunashirikiana sana.
Mkuu tunashukuru kwa kudadavua ila Mimi niliwahi soma hapa jf Kuna mdau aliandika:-Mwanga ni mtoto mdogo kazi zake nyingi anategemea apewe matirio na mchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwa anamiliki misukule, majini, tunguli , mkoba wa mizimu ya kichawi nk,,
Mwanga ni kama saidia fundi,
Anaweza akawa anajua jua kazi
Lakini hana Toolbox , bisi bisi, wala miko na konobao,
hao nimefundisha kwa mtindo wa nursery school..
Kwa hiyo wewe na Mshana Jr mna ushirikiano mzuri usiku wa manane?Hii ni sekta kama sekta ya michezo
Chama cha Mpira wa miguu, waandishi wa habari za michezo, wapiga picha, vilabu, wapenzi na mashabiki
Sio tu wanga na wachawi
Changanyanya wote
Waganga, wachawi, majini, misukule, makonikoni, wanga, bila kusahau miti na mimea
Ushirikiano ni mkubwa mno,,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwa hiyo wewe na Mshana Jr mna ushirikiano mzuri usiku wa manane?