Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Huwekwa humo mpaka mambo yatakapoharibika.. Ukiingia huko ni mawili..! Kifo au uchiziSwala jingine, huwa inasemwa mtu aliyetolewa kuwekwa au kufichwa kwenye chumba kimojawapo. Je, huwekwa kwa muda gani? na kuna madhara gani humpata mtu atakayeingia kwenye hicho chumba ambaye hajui chochote kuhusu hilo swala?
Sent using Jamii Forums mobile app