Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu sana kwakweli kwakuwa kuna mstari mwembamba sana unaozitenga hizo kaliba mbiliMshana Jr naomba msaada wako, vipi mtu anaweza akawa ni mganga wa kienyeji na asiwe na uchawi?
Uliskia wapi?!Halafu nasikia wako serious sana na kazi yao,hawana muda wa kupoteza
Sawa Shukurani kwa majibu, vipi ktk huo ugumu kwa hiyo huwezi kuwa mganga lazima na uchawi uwe nao.Ni ngumu sana kwakweli kwakuwa kuna mstari mwembamba sana unaozitenga hizo kaliba mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingine boss wangu Mshana Jr vipi inawezekana kuwa mchawi na ukawa na cheo pasipo kutoa kafara za kuua watu wa karibu?Ni ngumu sana kwakweli kwakuwa kuna mstari mwembamba sana unaozitenga hizo kaliba mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa mganga bila kuwa mchawi.. Ni suala tu la uamuzi binafsi sio kwamba haiwezekaniSawa Shukurani kwa majibu, vipi ktk huo ugumu kwa hiyo huwezi kuwa mganga lazima na uchawi uwe nao.
Inategemea na nguvu ya damu uliyotumia kwenye kafara husika na pia nguvu ya wengine wanaokiwania cheo husika...!!!Kingine boss wangu Mshana Jr vipi inawezekana kuwa mchawi na ukawa na cheo pasipo kutoa kafara za kuua watu wa karibu?
Jichawi
Sawa, asante sana Mkuu.Unaweza kuwa mganga bila kuwa mchawi.. Ni suala tu la uamuzi binafsi sio kwamba haiwezekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah, Mshana Jr una vitu vingi natamami sana nizidi kukuuliza maswali ila kwa leo inatosha nisikuchoshe sana mkuuInategemea na nguvu ya damu uliyotumia kwenye kafara husika na pia nguvu ya wengine wanaokiwania cheo husika...!!!
Kuna vyeo vya juu huwa na makafara makubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo huku uniulize tani yakoDaaaah, Mshana Jr una vitu vingi natamami sana nizidi kukuuliza maswali ila kwa leo inatosha nisikuchoshe sana mkuu
Ushirikiano mwingine nimeushuhudia kwa wavuta sigara ya kawaida, ile kubwa sijui.....Hata sisi wanywa pombe tunashirikiana sana.
Mwanga ni mtoto mdogo kazi zake nyingi anategemea apewe matirio na mchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwa anamiliki misukule, majini, tunguli , mkoba wa mizimu ya kichawi nk,,
Mwanga ni kama saidia fundi,
Anaweza akawa anajua jua kazi
Lakini hana Toolbox , bisi bisi, wala miko na konobao,
hao nimefundisha kwa mtindo wa nursery school..
Mshana ni dalili gani wanaonyesha wazazi waliotoa kafara mmoja wa watoto kwa wale wengine waliobaki hai. Je, wanakuwa wanajishtukia au wanaendelea tu kutaka ukaribu kana kwamba hakuna kilichotokea?Inategemea na nguvu ya damu uliyotumia kwenye kafara husika na pia nguvu ya wengine wanaokiwania cheo husika...!!!
Kuna vyeo vya juu huwa na makafara makubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa wanaweka masharti fulani ndani ya nyumba ambayo hayana maelezo ya kuelewekaMshana ni dalili gani wanaonyesha wazazi waliotoa kafara mmoja wa watoto kwa wale wengine waliobaki hai. Je, wanakuwa wanajishtukia au wanaendelea tu kutaka ukaribu kana kwamba hakuna kilichotokea?
Swala jingine, huwa inasemwa mtu aliyetolewa kuwekwa au kufichwa kwenye chumba kimojawapo. Je, huwekwa kwa muda gani? na kuna madhara gani humpata mtu atakayeingia kwenye hicho chumba ambaye hajui chochote kuhusu hilo swala?Huwa wanaweka masharti fulani ndani ya nyumba ambayo hayana maelezo ya kueleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama CCM tu kwenye wizi wa Kura! Wanakuaga na umoja wa ajabu kabisaNimeona kutumia hawa watu ambao wanga na wachawi kwa jinsi walivo na ushirikiano wa hali ya juu kabisa.
Maana mikasa mingi inayosimuliwa kuhusu hawa watu unaweza kubaki mdomo wazi.
Ila tuje kwenye mada iliyonileta sio sehemu yangu huko labda kaka @Mshana Jr anaweza kunieleza kuhusu kichwa cha habari hapo juu.
Kwa nchi yetu swala la ushirikiano ni dogo sana hata umoja ni mdogo sana umebaki na unafiki mkubwa.
Uwezi kupewa ushirikiano hata kama unasababu au kitu fulani ilimradi tu chuki zao binafsi.
Ila ukije usiku wa giza mbona hawa wanaushirikiano kuliko sisi tuliopo mchana kweupe tukiwa tuna nguo zetu.