Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Ndo maana yake, kama partners wote wanakubali na wanaenjoy tatizo liko wapi?
inaonyesha wewe ni mmojawapo wana halalisha Tendo la Tigo ahhh? mimi nilifikiri utachangia kukataza kumbe na wewe unaunga mkono mkuu Kang? kumbe muko wengi mnaopenda huo ugonjwa sugu??????
 
Last edited by a moderator:
inaonyesha wewe ni mmojawapo wana halalisha Tendo la Tigo ahhh? mimi nilifikiri utachangia kukataza kumbe na wewe unaunga mkono mkuu Kang? kumbe muko wengi mnaopenda huo ugonjwa sugu??????

Sio tatizo la kupenda au kutopenda kama wapendanao wanataka kufanya NI RUKSA!!
 
Bahati mbaya wachangiaji wengi wa hii mada hapa jamvini naona ni wanaume, nilitamani nione experience ya kina dada wengi na mtazamo wao kuhusu "0713......" ingawa kumekuwa na imani ya kipumbavu hasa kwa kina dada/mama kuwa mwanaume ukimpa nyuma basi unakuwa umemkamata (hatoki), sina hakika huo upumbavu wanafundishana wapi. Yes kuna madhara makubwa kwa kufanya ngono ya nyuma. Ingawa pia wapo wanaume wengi ambao wanapenda zaidi ngono ya nyuma, kwa bahati mbaya tamaduni za maeneo mengi ni kuwa mwanaume ndiye mwenye maamuzi katika aina ya ngono ambayo wanahitaji kufanya. Ni kama ilivyo matumizi ya condom, mara nyingi uamuzi wa utumiaji wa condom uko upande wa mwanaume zaidi, mwanaume akisema NO condom... hakika condom haitatumika, pia mwanaume akisema YES for condom... basi condom itatumika. Naamini hata wewe ambaye unasoma hii unaungana nami kwa hilo. Kwahiyo, pia kuna sababu nyingi zinazopelekea watu kufanya ngono ya nyuma, zikiwemo;
-ignorance (kutotambua madhala/athari zake)
-addiction (Unakuta mtu alishafanya/kufanyiwa kisha anashindwa kuacha kwani tayari anaona utamu
-Kukosa maamuzi (kufanya ngono ya nyuma pasipo ridhaa), huchangiwa na umaskini.
-Biashara -Kuna ambao wanafanya ili walipwe
-Kuokoa mahusiano yao- hii inatokea mwanamke anafanya ngono ya nyuma kwa kuamini asitoke nje kwa kudhani pengine kama anatoka nje basi huenda anapewa tigo huko nje
-Kutunza bikra ya mbele... wapo ambao wanafanya hivyo ili wasifanye ngono ya mbele, ili wabaki na bikra zao
-kuamini (kwa wanaume) kuwa nyuma kuko tight kuliko mbele
-pamoja na sababu zingine nyingi...

Kwahiyo, hakika ngono ya nyuma ni mbaya.
 
Bahati mbaya wachangiaji wengi wa hii mada hapa jamvini naona ni wanaume, nilitamani nione experience ya kina dada wengi na mtazamo wao kuhusu "0713......" ingawa kumekuwa na imani ya kipumbavu hasa kwa kina dada/mama kuwa mwanaume ukimpa nyuma basi unakuwa umemkamata (hatoki), sina hakika huo upumbavu wanafundishana wapi. Yes kuna madhara makubwa kwa kufanya ngono ya nyuma. Ingawa pia wapo wanaume wengi ambao wanapenda zaidi ngono ya nyuma, kwa bahati mbaya tamaduni za maeneo mengi ni kuwa mwanaume ndiye mwenye maamuzi katika aina ya ngono ambayo wanahitaji kufanya. Ni kama ilivyo matumizi ya condom, mara nyingi uamuzi wa utumiaji wa condom uko upande wa mwanaume zaidi, mwanaume akisema NO condom... hakika condom haitatumika, pia mwanaume akisema YES for condom... basi condom itatumika. Naamini hata wewe ambaye unasoma hii unaungana nami kwa hilo. Kwahiyo, pia kuna sababu nyingi zinazopelekea watu kufanya ngono ya nyuma, zikiwemo;
-ignorance (kutotambua madhala/athari zake)
-addiction (Unakuta mtu alishafanya/kufanyiwa kisha anashindwa kuacha kwani tayari anaona utamu
-Kukosa maamuzi (kufanya ngono ya nyuma pasipo ridhaa), huchangiwa na umaskini.
-Biashara -Kuna ambao wanafanya ili walipwe
-Kuokoa mahusiano yao- hii inatokea mwanamke anafanya ngono ya nyuma kwa kuamini asitoke nje kwa kudhani pengine kama anatoka nje basi huenda anapewa tigo huko nje
-Kutunza bikra ya mbele... wapo ambao wanafanya hivyo ili wasifanye ngono ya mbele, ili wabaki na bikra zao
-kuamini (kwa wanaume) kuwa nyuma kuko tight kuliko mbele
-pamoja na sababu zingine nyingi...

Kwahiyo, hakika ngono ya nyuma ni mbaya.
Hongera Mkuu webondo umezungumza maneno yako ni ya Point na pia kuna ambao huangalia picha zaVideo pia zinachangia sana suala hili la ngono ya nyuma Tigo Ningeomba pia Serikali iwaelimishe watu Madhara yake kwa kila hali itakuwa ni jambo zuri sana suala hili kulichukulia umuhimu wake asante sana mkuu webondo ubarikiwe mbinguni amen.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu hujaelewa maana yangu na kama umeelewa nimemtukana Janjaweed niwie radhi tafadhali. Mimi nimemuuliza kama anafirwa kutokana na yeye kutetea uliwaji wa Tigo. Janjaweed sijakutukana, naomba msamaha tafadhali, nimekuuliza tu.

Unaona sasa, ukiwa unafirwa basi unadhani kila mtu anafirwa........... mimi nimezungumzia matumizi ya njia mbadala za kufanya ngono, TIGO ikiwa moja wapo

KWANINI USISEME NATETEA KULA TIGO???

Aftrall i gave the answer already and dogo you must udnerstand, the purpose of this thread was very good, ila baadhi yenu mnaharibu a very good discussions ili tu kulinda facts zinazotakiwa hapa

anyway, we differ in understanding things
 
MziziMkavu naomba leta hata madhara kwa wanaume maana nje ya hapo wanaume wanafikiria kuna madhara kwa wanawake tu kume pia hata kwa wanaume
 
MziziMkavu naomba leta hata madhara kwa wanaume maana nje ya hapo wanaume wanafikiria kuna madhara kwa wanawake tu kume pia hata kwa wanaume
Mkuu Mwanaweja
Ulawiti

Je bibilia yasema nini kuhusu mapenzi ya namna hii? Imeandikwa, Warumi 1:26-27 "Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tama zao za aidu hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasio ya asili wanaume nao vivyo hivyo, waliyaacha mtumizi ya mke, ya asili wakawakiana tama wanaume wakayatenda yasiyopasa wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao."

Je! mapenzi ya namna hii ni dhambi? Imeandikwa, Mambo ya walawi 18:22 "Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke ni machukizo."

Je anayefanya mapenzi ya namna hii atauridhi uzima? Imeandikwa, 1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."

Kama watenda dhambi wengine wanao fanya mapenzi ya namna hii wameitwa kutubu dhambi zao. Imeandikwa, 1Timotheo 1:10-11 "Na wazinzi, na wafiraji, na waibao watu, na waongo nao waapao kwa uongo; na likiwapo neno lo lote linginelo lisilopatana mafundisho yenye uzima, kama vile ilivyo nenwa katika habari njema ya utukufu wa Mungu ahidimiwaye, niliyowekewa amana."


Dhambi ya aina yo yote itupiliwe mbali na tuombe msamaha kwa Mungu. Imeandikwa, 1 Wakorintho 6:11 "Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii, lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo na katika Roho wa Mungu wetu."


Kuna tumaini kwa wao watendao mapenzi ya namna hii. Imeandikwa, 1Wakorintho 10:13 "Jaribu halikuwapata ninyi isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu ila Mungu ni mwaminifu ambay hatawaachamjaribiwe kupita mwezavyo lakini paoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ilimweze kustahimili."


Je! kama wanfanya mapenzi ya namna hii ufanye je?. Kwanza kubali dhambi zako. Imeandikwa, Zaburi 51:2-4 "Unioshe kabisa na uovu wangu unitakase dhmbi zangu... maana nimeyajua mimi makosa yangu "


Pili omba msamaha kwa Mungu. Imeandikwa, Zaburi 51:7-12 "Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, unioshe nami nitakuwa mweupe kuliko theluji unifanye kusikia furaha na shangwe mifupa uliyoiponda ifurahi. Usitiri uso wako usitazame dhambi zangu; uzifute hatia zangu zote. Ee Mungu

uniumbie moyo safi, uifanye upia roho iliyotulia ndani yangu. Usinitenge na uso wako wala Roho yako mtakatifu usiniondolee. Unirudishie furaha ya wokovu wako unitegemeze kwa roho ya usafi."


Tatu kubali yakuwa Mungu amekusamehe dhambi zako. Imeandikwa Zaburi 32:1-6 "Heri aliyesamehewa dhambi, na kusitiriwa makosa yake. Heri Bwana asiyemhesabia upotovu,, ambaye rohoni mwake hamna hila. Niliponyamaza mifupa yangu ilichakaa kwa kuugua kwangu mchana kutwa kwa

maana mchana na usiku mkono wako ulinilemea. jasho langu likakauka hata nikawa kama nchi kavu wakati wa kaskazi. Nalikujulisha dhambi yangu wala sikuufisha upotovu wangu nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu. Kwa hiyo kila mtu mtauwa akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu ya furikapo hayatamfikia yeye."
 
Last edited by a moderator:
Imani yangu umeleweka mukubwa Akili kwa kichwa atakeona tamu hbaaaaac aendelee." Km ulivyo sema unaheshim maamuzi ya mutu!
 
Kuna Best yangu anasumbuliwa na tatizho la kutokwa na manii pindi anapokwenda aja kubwa hata ndogo." Tatizho nini na kipi chakufanya ili kukomesha ali hiyo?
 
Kuna Best yangu anasumbuliwa na tatizho la kutokwa na manii pindi anapokwenda aja kubwa hata ndogo." Tatizho nini na kipi chakufanya ili kukomesha ali hiyo?
 
Unaona sasa, ukiwa unafirwa basi unadhani kila mtu anafirwa........... mimi nimezungumzia matumizi ya njia mbadala za kufanya ngono, TIGO ikiwa moja wapo

KWANINI USISEME NATETEA KULA TIGO???

Aftrall i gave the answer already and dogo you must udnerstand, the purpose of this thread was very good, ila baadhi yenu mnaharibu a very good discussions ili tu kulinda facts zinazotakiwa hapa

anyway, we differ in understanding things


Wa.se.nge bwana kwa kuji-confuse? Kwa nini kila kukicha mnakuwa na hasira na watu? All I did was ask you a very simple question baada ya kusoma thread yako ya kutetea kufirwa ama kusifia kuliwa TIGO. Pale jibu ambalo ulitakiwa kujibu ni ndiyo unaliwa TIGO ama hapana, basi. Kama unaliwa TIGO ungetoa point ama hoja zako ili wenzio (wanaotarajia kuliwa kama wewe) wapate kujua kuna raha gani unapata. Hii ndiyo JF, elimisha wenzako ili nao wapate faida usiwe mchoyo. After all, ni starehe yako mwenyewe na faida yako usiwe na hasira na mimi kwani wanaokushikisha mwembe usiku ni wengine mimi sihusiki. Sasa nakushangaa unakuja na hasira kama mbogo aliyejeruhiwa kwa kuulizwa kitu simple tu, je majirani zako wakikumulika tochi usiku wakati unashikishwa mwembe na wale watoto wa baba mwenye nyumba yako si utawaua kwa hasira zako za kijinga? Siku nyingine, jaribu kujibu swali unaloulizwa na si kutoa tu hasira zako baada ya kubainika starehe yako ni nini. MziziMkavu, huyu kijana wako ametaka mwenyewe kujidhalilisha, nimemuuliza swali tu kwa wema yeye akaja na hasira zake, nakuomba usituite nyumbani kwako kutusuluhisha tutayamaliza hapa hapa kwa vijembe.
 
Wa.se.nge bwana kwa kuji-confuse? Kwa nini kila kukicha mnakuwa na hasira na watu? All I did was ask you a very simple question baada ya kusoma thread yako ya kutetea kufirwa ama kusifia kuliwa TIGO. Pale jibu ambalo ulitakiwa kujibu ni ndiyo unaliwa TIGO ama hapana, basi. Kama unaliwa TIGO ungetoa point ama hoja zako ili wenzio (wanaotarajia kuliwa kama wewe) wapate kujua kuna raha gani unapata. Hii ndiyo JF, elimisha wenzako ili nao wapate faida usiwe mchoyo. After all, ni starehe yako mwenyewe na faida yako usiwe na hasira na mimi kwani wanaokushikisha mwembe usiku ni wengine mimi sihusiki. Sasa nakushangaa unakuja na hasira kama mbogo aliyejeruhiwa kwa kuulizwa kitu simple tu, je majirani zako wakikumulika tochi usiku wakati unashikishwa mwembe na wale watoto wa baba mwenye nyumba yako si utawaua kwa hasira zako za kijinga? Siku nyingine, jaribu kujibu swali unaloulizwa na si kutoa tu hasira zako baada ya kubainika starehe yako ni nini. MziziMkavu, huyu kijana wako ametaka mwenyewe kujidhalilisha, nimemuuliza swali tu kwa wema yeye akaja na hasira zake, nakuomba usituite nyumbani kwako kutusuluhisha tutayamaliza hapa hapa kwa vijembe.
Haya ninawachieni Mr Mkereketwa_Huyu Musije mukapigwa BAN tu ninahofia.
 
Last edited by a moderator:
Haya ninawachieni Mr Mkereketwa_Huyu Musije mukapigwa BAN tu ninahofia.

Hakuna BAN hapo

mahangaiko tu ya walio na limited ability to kuelewa dhamira ya mada

and i didnt know kuna kumalizana, tena kwa vijembe.... nadhani maneno kama vijembe, kumalizana, majirani, au starehe yako mwenyewe clearly yanaonyesha upeo wa mleta hoja kwenye dhamira hiyo, na pia ni maneno ambayo rijali hawezi kuyatoa... unless tuna new versions za marijali

SORRY, I CANT LOWER MY STANDARDS JUST TO ARGUE.... it must be with a purpose!!!
 
Ukifanya ngono na mwanamke,hata kama ukila tigo,siyo kinyume na maumbile. If anything,ni antridote kwa ngono ambazo ni kinyume na maumbile.
 
Hakuna BAN hapo

mahangaiko tu ya walio na limited ability to kuelewa dhamira ya mada

and i didnt know kuna kumalizana, tena kwa vijembe.... nadhani maneno kama vijembe, kumalizana, majirani, au starehe yako mwenyewe clearly yanaonyesha upeo wa mleta hoja kwenye dhamira hiyo, na pia ni maneno ambayo rijali hawezi kuyatoa... unless tuna new versions za marijali

SORRY, I CAN LOWER MY STANDARDS JUST TO ARGUE.... it must be with a purpose!!!


Ngoja nikueleweshe juu ya vijembe. Vijembe ni maneno uliyoyatoa dhidi yangu badala ya kuulizwa a simple question. All you had to do was answer it how you were asked, simple as that na si kutoa maneno ya hajabu hata wewe mwenyewe huyakumbuki. This is lame and shows lack of comprehension from your side. Ok, unasema rijali hawezi kutoa hoja kama zangu nakuelewa, na je...we si rijali? Mbona hoja zako za kuropoka hazina msingi wowote?
 
Kuna Best yangu anasumbuliwa na tatizho la kutokwa na manii pindi anapokwenda aja kubwa hata ndogo." Tatizho nini na kipi chakufanya ili kukomesha ali hiyo?

Kwa haja kubwa ni kwamba inakwangua kwenye prostate yake kitu kinachosababisha stimulation kubwa, sasa kwanini inakwangua kwa staili hiyo inabidi amwone daktari inaweza ikawa prostate imevimba kwa sababu ya ugonjwa au inaweza ikawa sio tatizo la kiafya.

Ukaguzi wa prostate na daktari kwa kawaida unafanywa kwa kupigwa kidole , so awe teyari kwa hilo.
 
Back
Top Bottom