Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
inaonyesha wewe ni mmojawapo wana halalisha Tendo la Tigo ahhh? mimi nilifikiri utachangia kukataza kumbe na wewe unaunga mkono mkuu Kang? kumbe muko wengi mnaopenda huo ugonjwa sugu??????Ndo maana yake, kama partners wote wanakubali na wanaenjoy tatizo liko wapi?
inaonyesha wewe ni mmojawapo wana halalisha Tendo la Tigo ahhh? mimi nilifikiri utachangia kukataza kumbe na wewe unaunga mkono mkuu Kang? kumbe muko wengi mnaopenda huo ugonjwa sugu??????
Ahh umekuwa Wewe ni Mzee wa Ruksa? ninakuacha mkuu Kang it's you chooseSio tatizo la kupenda au kutopenda kama wapendanao wanataka kufanya NI RUKSA!!
Hongera Mkuu webondo umezungumza maneno yako ni ya Point na pia kuna ambao huangalia picha zaVideo pia zinachangia sana suala hili la ngono ya nyuma Tigo Ningeomba pia Serikali iwaelimishe watu Madhara yake kwa kila hali itakuwa ni jambo zuri sana suala hili kulichukulia umuhimu wake asante sana mkuu webondo ubarikiwe mbinguni amen.Bahati mbaya wachangiaji wengi wa hii mada hapa jamvini naona ni wanaume, nilitamani nione experience ya kina dada wengi na mtazamo wao kuhusu "0713......" ingawa kumekuwa na imani ya kipumbavu hasa kwa kina dada/mama kuwa mwanaume ukimpa nyuma basi unakuwa umemkamata (hatoki), sina hakika huo upumbavu wanafundishana wapi. Yes kuna madhara makubwa kwa kufanya ngono ya nyuma. Ingawa pia wapo wanaume wengi ambao wanapenda zaidi ngono ya nyuma, kwa bahati mbaya tamaduni za maeneo mengi ni kuwa mwanaume ndiye mwenye maamuzi katika aina ya ngono ambayo wanahitaji kufanya. Ni kama ilivyo matumizi ya condom, mara nyingi uamuzi wa utumiaji wa condom uko upande wa mwanaume zaidi, mwanaume akisema NO condom... hakika condom haitatumika, pia mwanaume akisema YES for condom... basi condom itatumika. Naamini hata wewe ambaye unasoma hii unaungana nami kwa hilo. Kwahiyo, pia kuna sababu nyingi zinazopelekea watu kufanya ngono ya nyuma, zikiwemo;
-ignorance (kutotambua madhala/athari zake)
-addiction (Unakuta mtu alishafanya/kufanyiwa kisha anashindwa kuacha kwani tayari anaona utamu
-Kukosa maamuzi (kufanya ngono ya nyuma pasipo ridhaa), huchangiwa na umaskini.
-Biashara -Kuna ambao wanafanya ili walipwe
-Kuokoa mahusiano yao- hii inatokea mwanamke anafanya ngono ya nyuma kwa kuamini asitoke nje kwa kudhani pengine kama anatoka nje basi huenda anapewa tigo huko nje
-Kutunza bikra ya mbele... wapo ambao wanafanya hivyo ili wasifanye ngono ya mbele, ili wabaki na bikra zao
-kuamini (kwa wanaume) kuwa nyuma kuko tight kuliko mbele
-pamoja na sababu zingine nyingi...
Kwahiyo, hakika ngono ya nyuma ni mbaya.
Mkuu Mkereketwa_Huyu Usimtukane Mkuu.@Janjaweed Mfahamishe nini Madhara ya kula Tigo sio kumtukana tafadhali jiheshimu usiniharibie Thread yangu mkuu.
MziziMkavu hujaelewa maana yangu na kama umeelewa nimemtukana Janjaweed niwie radhi tafadhali. Mimi nimemuuliza kama anafirwa kutokana na yeye kutetea uliwaji wa Tigo. Janjaweed sijakutukana, naomba msamaha tafadhali, nimekuuliza tu.
Mkuu MwanawejaMziziMkavu naomba leta hata madhara kwa wanaume maana nje ya hapo wanaume wanafikiria kuna madhara kwa wanawake tu kume pia hata kwa wanaume
Huyo Best wako ni wa kike au wa kiume? CHUDU KHAMISKuna Best yangu anasumbuliwa na tatizho la kutokwa na manii pindi anapokwenda aja kubwa hata ndogo." Tatizho nini na kipi chakufanya ili kukomesha ali hiyo?
Unaona sasa, ukiwa unafirwa basi unadhani kila mtu anafirwa........... mimi nimezungumzia matumizi ya njia mbadala za kufanya ngono, TIGO ikiwa moja wapo
KWANINI USISEME NATETEA KULA TIGO???
Aftrall i gave the answer already and dogo you must udnerstand, the purpose of this thread was very good, ila baadhi yenu mnaharibu a very good discussions ili tu kulinda facts zinazotakiwa hapa
anyway, we differ in understanding things
Haya ninawachieni Mr Mkereketwa_Huyu Musije mukapigwa BAN tu ninahofia.Wa.se.nge bwana kwa kuji-confuse? Kwa nini kila kukicha mnakuwa na hasira na watu? All I did was ask you a very simple question baada ya kusoma thread yako ya kutetea kufirwa ama kusifia kuliwa TIGO. Pale jibu ambalo ulitakiwa kujibu ni ndiyo unaliwa TIGO ama hapana, basi. Kama unaliwa TIGO ungetoa point ama hoja zako ili wenzio (wanaotarajia kuliwa kama wewe) wapate kujua kuna raha gani unapata. Hii ndiyo JF, elimisha wenzako ili nao wapate faida usiwe mchoyo. After all, ni starehe yako mwenyewe na faida yako usiwe na hasira na mimi kwani wanaokushikisha mwembe usiku ni wengine mimi sihusiki. Sasa nakushangaa unakuja na hasira kama mbogo aliyejeruhiwa kwa kuulizwa kitu simple tu, je majirani zako wakikumulika tochi usiku wakati unashikishwa mwembe na wale watoto wa baba mwenye nyumba yako si utawaua kwa hasira zako za kijinga? Siku nyingine, jaribu kujibu swali unaloulizwa na si kutoa tu hasira zako baada ya kubainika starehe yako ni nini. MziziMkavu, huyu kijana wako ametaka mwenyewe kujidhalilisha, nimemuuliza swali tu kwa wema yeye akaja na hasira zake, nakuomba usituite nyumbani kwako kutusuluhisha tutayamaliza hapa hapa kwa vijembe.
Haya ninawachieni Mr Mkereketwa_Huyu Musije mukapigwa BAN tu ninahofia.
Mkuu Andrew Nyerere unachokizungumza lakini unakielewa?Sikutegemea jina lako na jinsi unavyosema? uliacha tena dhamira yako ya kujiuwa?Samahani kama nitakukwaza.Ukifanya ngono na mwanamke,hata kama ukila tigo,siyo kinyume na maumbile. If anything,ni antridote kwa ngono ambazo ni kinyume na maumbile.
Hakuna BAN hapo
mahangaiko tu ya walio na limited ability to kuelewa dhamira ya mada
and i didnt know kuna kumalizana, tena kwa vijembe.... nadhani maneno kama vijembe, kumalizana, majirani, au starehe yako mwenyewe clearly yanaonyesha upeo wa mleta hoja kwenye dhamira hiyo, na pia ni maneno ambayo rijali hawezi kuyatoa... unless tuna new versions za marijali
SORRY, I CAN LOWER MY STANDARDS JUST TO ARGUE.... it must be with a purpose!!!
Kuna Best yangu anasumbuliwa na tatizho la kutokwa na manii pindi anapokwenda aja kubwa hata ndogo." Tatizho nini na kipi chakufanya ili kukomesha ali hiyo?