Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Yani hao wadada waliokua wana taka niwazibue,ukiwaona hutaamini
Unajua heshima ya mwanamke anaipoteza mwenyewe kwa kujirahisi
Km mwanamke unajiheshimu hongera sana
Bora ulikimbia mi mwanaume akisema hicho kitendo namwacha maana nawaza lazima atakuwa anapewa na mashoga wakiume huko na wengine, so namwona mchafu. Hao wadada wasio........ Huko huwa kuna.......
 
Ni mwanamke ila anajiuza
Ila nawaombeni dada zangu msiwe mnavaa nguo za kulalia barabarani aisee,mana kuna cku nilikua niko na mama some whr wakapita wadada wamevaa vinguo hvoo changu anaigaa,nilijickia vbaya mana nilikua na b mkubwa
 
Ila nawaombeni dada zangu msiwe mnavaa nguo za kulalia barabarani aisee,mana kuna cku nilikua niko na mama some whr wakapita wadada wamevaa vinguo hvoo changu anaigaa,nilijickia vbaya mana nilikua na b mkubwa
Mkuu wataachaje sasa maana maumbile tu mtu kavaa normal ndo hali inakuwa hivo
 
Hizi thread za hivi naona nazo zinahamasisha tu huu mchezo mchafu... Mods hebu mliangalie hili swala!
Maana coment zingine hadi zinatia kinyaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…