Nimebaki tu kumshangaa kwa kweliPole sana ila nikwambie tu siku zote usipojithamini hakuna ambaye atakuthamini.
Ikiwa umeshaona kujaribu jaribu ni tabia yako hapo inabidi ujitahidi kuiacha na pia nikushauri tu acha kabisa huo mchezo sababu unaweza jiona unapata raha ila kuna madhara makubwa ambayo utakuja kuyapata huko baadae.
hahaha aka swiiiiHahahaha kwahiyo unadai jamaa alilewa then akajikuta ameingia huko afu na wewe ukatulia tu........ Basi sawaaaa
Yaani. Na anashangaza kweli bestNimebaki tu kumshangaa kwa kweli
Lah! huu ushauri bora kabisa,[emoji106] [emoji122] ,kwanza yafaa kuachana na huyo mtendaji kwa maana huyo hakupendi kwa hiyo hana future nawe anakuharibu kisha atakudamp.Ukweli mchungu ni kuwa ameshakuharibu na hatokuoa.
Na usifikiri alifanya kwa bahati mbaya kwa sababu alikuwa amelewa,hiyo ndiyo tabia yake,alitumia udhaifu wa pombe kama kianzio cha kukufanyia huo uchafu.
Wa kubadilika sasa ni wewe. Sisi hata tuseme vipi kama hujataka kubadilika hutobadilika.
Nakushauri kwanza achana na huyo mtu kisha weka niya ya kucha huo mchezo. Tafuta wanasaikolojia watakusaidia but uwe tayari umeshaacha kufanya hicho kitendo.
Kuendelea kiwa na huyo anayekufanyia huo mchezo inamaanisha kuwa bado unaupenda.
Pole sana
Kweli kabisa, "usipojithamini hakuna ambaye atakuthamini".Pole sana ila nikwambie tu siku zote usipojithamini hakuna ambaye atakuthamini.
Ikiwa umeshaona kujaribu jaribu ni tabia yako hapo inabidi ujitahidi kuiacha na pia nikushauri tu acha kabisa huo mchezo sababu unaweza jiona unapata raha ila kuna madhara makubwa ambayo utakuja kuyapata huko baadae.
Kaka Daud, iwe vyovyote vile lakini sasa nafsi yake inamsuta kwa kuwa si tendo jema, kikubwa kwa sisi ni kumshauri njia za kuliepuka jambo hilo.Kama sijaelewa vizuri unasema alipitia bahati mbaya akiwa amelewa na wewe ilikuwa Mara ya kwanza iliingiaje yote bila wewe kushituka?? Na mkaendeleza libeneke basi wewe ni mzoefu
Fuata ushauri huu ni mzuriMmmm iliingia tu bahati mbaya? Shemeji atakuwa na kibamia nini? Mana kama ndio Mara ya kwanza iliingia tu bahatimbaya na ukafurahia inamanisha rinda zilikuwa wazi tiari kwa mchezo husika.... Ila Pole Sana... Hakuna dhambi isiyo samehewa... Pia kama kijana lazima kunamambo kama hayo unapitia... Ila Kama roho inakusuta basi yakupasa uachane na huumchezo na kama jamaa anatishia kukuacha kisa humpi [emoji108]jua hakupendi na hanamalengo nawewe bali anakutumia kwa starehe zake.... Pole Sana ndugu yangu.
Amini! hakuna dhambi isiyo samehewa, bali msamaha una sharti zake, mojawapo ni kuacha dhambi hiyo na pili kujutia kwa yale uliyoyatenda na mwisho tubia, amini utasamehewa, jithamini na muumba atakuthamini ukijitupa basi naye atakuacha.Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?
Ushauri murua huu usiuache.Kwa jinsi navyoelewa hiyo michezo alikuanza kwa kukutia vidole wakati mnatumia njia kuu na wewe ulikua unasikia raha na ukakubali aendelee alivyoona umezoea vidole akaamua akusukumie nondo kabsa......
Ukitaka kuacha
1. Ongea na mwenza wako kuwa hutaki huo mchezo maana una madhara sana.(usiombee ukajifungulie hospital ya goverment utajuta, ukipush hewa inatoka tu mpaka usukumiwe matambara).
2. Akikataa kuacha wewe ndio muache. Itauma ila haizidi madhara unayopata. Tundu kuwa wazi sio jambo zuri... Kuna muda unaweza kukaa ukakuta matako yameloa tu...
3. Badili marafiki, I am sure una marafiki wanakusupport.
4. Mrudie Mungu wako na fanya toba. Jiapize hutarudia tena na unachukia tendo hilo. (Hii yaweza kuwa hatua ya kwanza).
5. Jipe likizo ya uzinzi (yes uzinzi kwa kuwa unafanya nje ya ndoa). Kaa hata miezi 6 hufanyi mapenzi, muda huo utakua unajitafakari na kujipa muda wa kubadilika na utafute anayekufaa....
Wish you the best of all...
Heri ya siku ya mwanamke...
Jambo la kwanza kutatua tatizo ni kulitambua na kulichukia na hatua ya pili ni kukinai na kuamua kuacha kabisa.Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.
Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.
Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Samahani lakini hivi huko tigo ukiweka lini wakati wa kuitoa huwa hamkuti tope?
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.
Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.
Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
KhaaaMimi Nina dawa, ila inabidi nipite huko kwanza na ndiyo itakuwa Mara ya mwisho.
Hakuna dhambi isiyosameheka!Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.
Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.
Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Good boy.Samahani sijui kama wewe ni mwamnake au mwanamme,ila hiyo sehemu mpaka uume ipite sio kazi rahisi iwe kibamia au Tanga pori tofauti utaisikia,ukipata haja kubwa na ngumu una jishauri,sasa hiyo ya kujikuta umetulia mpaka anaingia full bila kushtuka inakuwaje?
Au mara ya kwanza umefanya ndio ukakoleaaaa? huyo mwanamme hakupendi wala haipendi nafsi yake,mwanamme kweli hawezi kumfanyia mpenzi wake huo uchafu,mie naomba unisamehe sitokufariji ila chakufanya nikuachana na huyo jamaa akisha kulegeze marinda ujue ataishi zake wewe tena akuwache mashuzi yanakupita kujizuwia huwezi,achana tabia hii..
Qkhaaaa. Sikuwahi sikia hii. Ila ndio wakomeNdio