Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Pole sana ila nikwambie tu siku zote usipojithamini hakuna ambaye atakuthamini.

Ikiwa umeshaona kujaribu jaribu ni tabia yako hapo inabidi ujitahidi kuiacha na pia nikushauri tu acha kabisa huo mchezo sababu unaweza jiona unapata raha ila kuna madhara makubwa ambayo utakuja kuyapata huko baadae.
Nimebaki tu kumshangaa kwa kweli
 
Ukweli mchungu ni kuwa ameshakuharibu na hatokuoa.

Na usifikiri alifanya kwa bahati mbaya kwa sababu alikuwa amelewa,hiyo ndiyo tabia yake,alitumia udhaifu wa pombe kama kianzio cha kukufanyia huo uchafu.

Wa kubadilika sasa ni wewe. Sisi hata tuseme vipi kama hujataka kubadilika hutobadilika.

Nakushauri kwanza achana na huyo mtu kisha weka niya ya kucha huo mchezo. Tafuta wanasaikolojia watakusaidia but uwe tayari umeshaacha kufanya hicho kitendo.

Kuendelea kiwa na huyo anayekufanyia huo mchezo inamaanisha kuwa bado unaupenda.

Pole sana
Lah! huu ushauri bora kabisa,[emoji106] [emoji122] ,kwanza yafaa kuachana na huyo mtendaji kwa maana huyo hakupendi kwa hiyo hana future nawe anakuharibu kisha atakudamp.
Lakini pia kumbuka hilo ni tendo lililolaaniwa na muumba, kwa hiyo kulitenda ni kujiingiza kwenye laana ya muumba na hii ni hatari kubwa zaidi kwako.
Ushauri wangu ni kwanza acha na umshauri mwenza wako kuhusu jambo hilo kama hakuelewi mwache kabla hajakuacha.
Pili tubia kwa kosa ulilofanya,na elewa kuwa hakuna kosa lisilosameheka kwa yeyote mbele ya muumba pindi akitubia kikweli.
Tatu tafuta wataalam wa ushauri watakao kushauri namna bora za kuliepuka janga hilo.
Mwisho namuomba muumba akuokoe na janga hilo
 
Pole sana ila nikwambie tu siku zote usipojithamini hakuna ambaye atakuthamini.

Ikiwa umeshaona kujaribu jaribu ni tabia yako hapo inabidi ujitahidi kuiacha na pia nikushauri tu acha kabisa huo mchezo sababu unaweza jiona unapata raha ila kuna madhara makubwa ambayo utakuja kuyapata huko baadae.
Kweli kabisa, "usipojithamini hakuna ambaye atakuthamini".
 
Kama sijaelewa vizuri unasema alipitia bahati mbaya akiwa amelewa na wewe ilikuwa Mara ya kwanza iliingiaje yote bila wewe kushituka?? Na mkaendeleza libeneke basi wewe ni mzoefu
Kaka Daud, iwe vyovyote vile lakini sasa nafsi yake inamsuta kwa kuwa si tendo jema, kikubwa kwa sisi ni kumshauri njia za kuliepuka jambo hilo.
 
Mmmm iliingia tu bahati mbaya? Shemeji atakuwa na kibamia nini? Mana kama ndio Mara ya kwanza iliingia tu bahatimbaya na ukafurahia inamanisha rinda zilikuwa wazi tiari kwa mchezo husika.... Ila Pole Sana... Hakuna dhambi isiyo samehewa... Pia kama kijana lazima kunamambo kama hayo unapitia... Ila Kama roho inakusuta basi yakupasa uachane na huumchezo na kama jamaa anatishia kukuacha kisa humpi [emoji108]jua hakupendi na hanamalengo nawewe bali anakutumia kwa starehe zake.... Pole Sana ndugu yangu.
Fuata ushauri huu ni mzuri
 
Iyo ni roho ishakuvamia ...kwanza uwe tayari kuachwa (kwasababu hana future na wew zaidi ya kujistarehesha na kukutumia), pili mueleze nia yako (na uwena msimamo) alafu ingia kwenye maombi (ata kwa kufunga na kuomba) ...Madhara yapo mengi pamoja na kulegea kwa Anus muscles ambazo zitakufanya ushindwe kujifungua kwa push mtoto (kila utakapo push utaachia haja kubwa)
 
Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?
Amini! hakuna dhambi isiyo samehewa, bali msamaha una sharti zake, mojawapo ni kuacha dhambi hiyo na pili kujutia kwa yale uliyoyatenda na mwisho tubia, amini utasamehewa, jithamini na muumba atakuthamini ukijitupa basi naye atakuacha.
Kubwa na la msingi sana ambalo wengi wamekushauri nami pia naungana nao kwamba achana na huyo jamaa kwanza kama kweli unataka kuacha, kinyume cha hapo unajidanganya, japo unahisi ni vigumu kuachana na huyo jamaa lakini kumbuka anakuangamiza.
 
Kwa jinsi navyoelewa hiyo michezo alikuanza kwa kukutia vidole wakati mnatumia njia kuu na wewe ulikua unasikia raha na ukakubali aendelee alivyoona umezoea vidole akaamua akusukumie nondo kabsa......
Ukitaka kuacha
1. Ongea na mwenza wako kuwa hutaki huo mchezo maana una madhara sana.(usiombee ukajifungulie hospital ya goverment utajuta, ukipush hewa inatoka tu mpaka usukumiwe matambara).
2. Akikataa kuacha wewe ndio muache. Itauma ila haizidi madhara unayopata. Tundu kuwa wazi sio jambo zuri... Kuna muda unaweza kukaa ukakuta matako yameloa tu...
3. Badili marafiki, I am sure una marafiki wanakusupport.
4. Mrudie Mungu wako na fanya toba. Jiapize hutarudia tena na unachukia tendo hilo. (Hii yaweza kuwa hatua ya kwanza).
5. Jipe likizo ya uzinzi (yes uzinzi kwa kuwa unafanya nje ya ndoa). Kaa hata miezi 6 hufanyi mapenzi, muda huo utakua unajitafakari na kujipa muda wa kubadilika na utafute anayekufaa....

Wish you the best of all...
Heri ya siku ya mwanamke...
Ushauri murua huu usiuache.
 
Endelea kutulia tu umekuwa mzoefu kama mwenzie kalewa ww hujalea inamanisha ulipenda kufirwa sasa endelea hivyohivyo

Huko ndio kwenye starehe Na raha
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Jambo la kwanza kutatua tatizo ni kulitambua na kulichukia na hatua ya pili ni kukinai na kuamua kuacha kabisa.
Mimi naamini kabisa Dada yangu Brigit86 unaweza kuacha huu mchezo na kwakuwa umeongea basi moyo wako umechukua uamuzi na sasa ni akili yako kuanza kutendea kazi.
Mungu wetu ni wa Rehema atatusamehe na dhambi haijalishi ni dhambi ya aina gani. Ukitubu kwa dhati utakuwa umesamehewa kabisa.
Pole ila hongera kwa kuchukua hatua. Wote sisi ni watenda dhambi lakini ni neema tu ya msahama ndio maana tu hai hadi sasa.
Never give up!!
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.

Uo mchezo ukishauanza hauachiki. Kukorogwa karo la choo simasihara utam wake.
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Hakuna dhambi isiyosameheka!
 
Samahani sijui kama wewe ni mwamnake au mwanamme,ila hiyo sehemu mpaka uume ipite sio kazi rahisi iwe kibamia au Tanga pori tofauti utaisikia,ukipata haja kubwa na ngumu una jishauri,sasa hiyo ya kujikuta umetulia mpaka anaingia full bila kushtuka inakuwaje?
Au mara ya kwanza umefanya ndio ukakoleaaaa? huyo mwanamme hakupendi wala haipendi nafsi yake,mwanamme kweli hawezi kumfanyia mpenzi wake huo uchafu,mie naomba unisamehe sitokufariji ila chakufanya nikuachana na huyo jamaa akisha kulegeze marinda ujue ataishi zake wewe tena akuwache mashuzi yanakupita kujizuwia huwezi,achana tabia hii..
Good boy.
 
Back
Top Bottom