Uwongo mtupu!
Mavi yanawezaje kuziba njia ya mkojo? Hayo ni maneno ya vijiweni.
Mwanamke kuzaa kwa shida pengine na haja ikatoka wakati Wa kuzaa ni kawaida saaana, haina uhusiano na kuliwa tigo. Asilimia 99 ya wanawake wanakunya wakizaa!! Nenda kamuulize mkeo vizuri au mama yako atakuambia. Kwa hiyo unataka kusema Mwanamke ambaye haliwi tigo hatumii nguvu kwenye kuzaa eeh?
Hata Quran imeandika WAKE ZENU NI MASHAMBA YENU WAENDEENI MTAKAVYO.
cna maana hiyo kiongozi coz mchezo huo ni hatari mno hasa kwa kuongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi na matatizo ya kujifungua kwa kina mama pamoja na kuathirika kisaikolojia kwa watumiaji wa mchezo huo but kuwaambia watu watumie condom dat is an altenative way hasa kwa wale wasiotaka kusikia but am not here to advice sm1 to do dat since i know how bad this is, yaan ni sawa kumwambia m2 a2mie condom kama hawezi jizuia kufanya zinaa. that is ma point.Mkuu Black ma colour Wewe unawashauri watu watumie Mpira inaonyesha wewe unatumia hii kitu? au sio? na kama hautumii hii kitu kwanini unawapa watu mawazo yako ya Pumba?
mzee mbona siasa nyingi afu defence mechanism kubwaa binafsi mimi sishabikii wala si muumini wa tigo! lakini sikufurahishwa na majibu yako hapa! ebu jenga hoja za kitaalamu uweze kujibu through hoja si kutaka watu waamini yale unayoyasema pasipo kukuuliza maswaliMkuu Boflo ukibisha wewe bisha tu kwani Walevi ndio wengi lakini wanakufa kwa ajali ya ulevi ni wachache tu,Wavuta sigara ni wengi tu lakini wanaopata
maradhi ya kansa ya mapavu kwa ajili ya kuvuta sigara ni wachache tu, Wezi ni wengi lakini wanaokamatwa kwa Wizi ni wachache
tu . wachawi ni wengi tu lakini wanaokamatwa kwa uchawi ni wachache tu,Mafisadi ni wengi tu lakini wanaokamatwa
kwa ufisadi na kufungwa ni wachache tu. Waswahili wamesema Za Mwizi ni siku zake 40 ikifa siku 40 mwizi ndio
anapokamatwa shauri yako ikiwa na wewe unafanya haka kijimchezo siku yako ya 40 itafika tu ukitaka usitake.
Mkuu zema21 Toa mawazo acha kuleta majibu yako ya Pumba hapa unapendelea huu uchafu uendelee nini?mzee mbona siasa nyingi afu defence mechanism kubwaa binafsi mimi sishabikii wala si muumini wa tigo! lakini sikufurahishwa na majibu yako hapa! ebu jenga hoja za kitaalamu uweze kujibu through hoja si kutaka watu waamini yale unayoyasema pasipo kukuuliza maswali
Pumba mbona unazo wewe mkuu kwanza jaribu kuwa rational! Mimi nimesema sishabikii wala kusupport tigo! Nimeona kuna jamaa amekuuliza swali wewe badala ya kumpa maelezo unahamaki na kujibu hovyo! sasa umejitolea kuwa mwalimu fundisha darasa lieleweke!Mkuu zema21 Toa mawazo acha kuleta majibu yako ya Pumba hapa unapendelea huu uchafu uendelee nini?
Sababu zako mbili ulizotoa...
1. Kuziba kwa njia ya kupitisha mkojo: Ukitumia kondom itaziba pia????
2-Kupanuka kwa njia ya haja kubwa: Mbona watu kila siku wanajisaidia mashonde makubwa,manene na magumu kuliko mtalimbo mbona hawatanuki???, ije kutanuka kwa nyama laini + Ky jelly???
Kufanya na kutofanya ni maamuzi ya mtu binafsi......
Issue hapa hukujibu maswali niliyokuuliza???
Sigara na Ulevi vinaeleweka na madhara yake yako wazi kabisa...
MziziMkavu siku hizi anataka kugeuka Babu wa Loliondo
Kuziba hata watoto wadogo wa miaka 9 inatokea, na kwa wanawake kunya wakati wa kuzaa inatokea sana, sio lazima wawe
wametoa tigo
Kaniuliza Maswali ya Pumba kama unavyoeleza wewe ndio maana nikamjibu hivyo kama wewe zema21 ungeliuzakwanini nimemjibu hivyo ningelikueleza lakini wewe unalaumu pasipo na kuona maswali aliyoyauliza huyo niliyemjibu usilaumu kitu pasipo kwanza kusoma ni kitu gani alichoniuliza angalia hapo juu maswali yake.Pumba mbona unazo wewe mkuu kwanza jaribu kuwa rational! Mimi nimesema sishabikii wala kusupport tigo! Nimeona kuna jamaa amekuuliza swali wewe badala ya kumpa maelezo unahamaki na kujibu hovyo! sasa umejitolea kuwa mwalimu fundisha darasa lieleweke!
ukiulizwa maswali jibu kwa ufasaha si kukejeli watu na kusema wana pumba wakati wewe mwenyewe hujaeleweka
Wachangiaji ni wengi na hi inaonyesha ukubwa wa tatizo.ATHARI ZA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE ( TIGO)
napenda nizungumzie athari 2 kubwa zinazotokana na kufanya mapenzi katika njia ya haja kubwa .
Wanaume waliowengi hivi sasa wamekuwa wakitamani
kuwaingilia wapenzi wao kinyume na maumbile kwa
lengo la kutaka kujiridhisha wao pasipo kujua athari zake na
katika hili athari hazimpati mwanaume tu bali hata kwa mwanamke.......
Athari zake:
Athari ya kwanza: KUZIBA KWA NJIA YA KUPITISHIA MKOJO
kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile kwa upande wa wanaume kunaweza kusababisha kuziba mrija uliopo kwenye uume unaopitisha mkojo, kwani pindi unapokuwa na mpenzi wako unatumia sehemu hii ya matakoni....
Tukumbuke kuwa sehemu hii ina chembe chembe za haja kubwa/mavi zinazokuwa zinapita kwenye lile tundu la kutolea mkojo, na endapo utakuwa unaendelea kutumia sehemu hii utajikuta zile chembe chembe zinajaa kwenye mrija hivyo itafikia kipindi mkojo utakuwa unashindwa kupita kwenye njia yake mpaka uende hospital wafanye upasuaji waweze kusafisha njia. ....AIBU..
Athari ya Pili: KUPANUKA KWA NJIA YA HAJA KUBWA NA KUSABABISHA KUTOKWA NA"MAVI" PINDI MWANAMKE ANAPOTAKA KUZAA
Athari hii hutokea kwa mwanamke ambae amezoea kuingiliwa kinyume na maumbile ...
Tatizo hutokea pindi anapotaka kuzaa, mwanamke anaeingiliwa kinyume na maumbile kwa muda mrefu ile sehemu yake ya haja kubwa hutanuka na kupelekea mishipa iliyozunguka sehemu ile kulegea hivyo inapotokea anahitaji kujifungua/kuzaa inabidi atumie nguvu nyingi katika kumsukuma mtoto ili aweze kutoka ....
Kutokana na mishipa ya ile sehemu yake ya haja kubwa kuwa imelegea,mwanamke hukosa nguvu ya kuziba eneo lile hivyo kipindi anajikema kumtoa mtoto ni rahisi mavi kutoka kwani njia itakuwa imetanuka na mishipa haifanyi kazi.
Hahahaha!!naona umenyoosha mikono na kuamua ku'surender' chap!!!pole!!ungejibu maswali hayo mawili tu aliyouliza RiwaDu! Basi naomba yaishe mkuu maana huko tunakoelekea si kuzuri.
Kufanya na kutofanya ni maamuzi ya mtu binafsi......
Issue hapa hukujibu maswali niliyokuuliza???
Sigara na Ulevi vinaeleweka na madhara yake yako wazi kabisa...
bibie imaney mimi nimeshukuru kuwa
umesema maneno ya ukweli kuwa ulijaribu lakini hukkuona raha yake ingawa unapinga niliyoyaweka hapo juu kwenye
Thread yangu ingawa wewe mwenyewe ulijaribu nakuona haina utamu wowote ule. Hebu tuzungumze kuhus mambo ya
Dini wewe utakuwa kam ni muislam au mkristo kwa vyovyote vile utakuwa ni mtu mwenye kuamini dmoja kati ya hizo dini
nilizozitaja ninakuuliza swali langu hili moja Je katika imani ya dini yako unayoamini hamjakatazwa kutumia Tigo? au imani
ya dini yako imeruhusu watu kuliwa Tigo au kula Tigo? Ninakuomba hapo unijibu.Na kama Dini yenu imekataza watu
kuliwa na kutumia Tigo wewe kwanini unanipinga kuwa hakuna madhaara ya mtu kuliwa au kula Tigo? Unapinga amri ya
Mungu alivyokataza watu Kutumia Tigo? wewe haumuogopi Mungu sio mimi?
Mkuu.@v Lazima unielewe Thread yanguMkuu Mzizimkavu dini pia zinakataza hata uko kwenye voda na sio tigo peke, usiwe bias unapotoa ufafanuzi, try kuzishinda emotions zako.
Mkuu MziziMkavu naona Inner-Man wako ameibuka baada ya kukasirishwa. Lakini ukiwa mwanaJF na hasa jukwaa lenyewe la sisi wagonjwa lazima uwe mvumilivu.Mkuu.@v Lazima unielewe Thread yangu
nimeweka nimekusudia nini usituchanganye hapa hatuzungmzi mambo ya Zinaa tunazungumzia mambo ya kula
Tigo usilete mambo yako ya Ulokole hapa usiharibu Thread yangu tafadhali kama huna cha kuzungumza bora
unyamze inatosha sana kuliko kuleta mambo ya ligi hapa tafadhali.
Sababu zako mbili ulizotoa...
1. Kuziba kwa njia ya kupitisha mkojo: Ukitumia kondom itaziba pia????
2-Kupanuka kwa njia ya haja kubwa: Mbona watu kila siku wanajisaidia mashonde makubwa,manene na magumu kuliko mtalimbo mbona hawatanuki???, ije kutanuka kwa nyama laini + Ky jelly???