MKALI W MAMBO
Senior Member
- Aug 9, 2018
- 190
- 135
Umejifunza kituNoma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejifunza kituNoma sana!
Hakika inaitaji moyo mkubwa kuwaeleza watu hili swala mpaka wakakuelewa sio kazi raisiMkuu i dont want to be a devil advocate, ila haya mambo manabii, makuhani, masheikh, mapadre na wachungaji wanayaongea sana na vijana hawasikiii, tuombe Mungu wakusikie wewe.
Sasa baada ya apo unafanya niniTatizo kuna baadhi ya wanawake wakiishika wanaipaki pale geti kwenye lingine ukiuliza anakuambia bahati mbaya
Wanajifanya kama hawaoniUkweli mtupu na Huku hawaji
Jitaidi sana usije ingua majaribuniMungu niepushe na hili balaa
Tusije kuta wewe ni mtumiaji mzuri wa hayo mambo hila unaongea hapa hilo kuwavuta dada zetuMimi ninaamini Mtu yoyote anaemuingilia MWANAMKE kinyume na Maumbile basi huyo Mtu akili zake si TIMAMU pamoja ya kuwa anaweza kujiona amekamilika.
Mbele kuna RAHA yake, unajitelezea unavyotaka.
Nyie mnaofuata Nyuma mnachokitaka ni nini?
Kuna Watu wa ajabu sana hapa ULIMWENGUNI
Umejifunza kituSomo zuri sana
Kwa niniHuu Uzi Castr lazima apite!
Ndio mkuu nimejifunzaUmejifunza kitu
Wapenda tigo utawajua tu.....HPV strains hata kwa vaginal sex inaleta cancer...cancer of the cervix by HPV 16&18,Vulva,vagina na penis....so sio only anal sex....acha tigohizo habari za mknd kutanuka kwajili ya anal sex ni habari za kusadikika na wala hazifahamiki sana kwe medical community hata wale senior gastroenterologists hawajawahi kukutana na hizo case then wakaestablish cause kuwa ni anal sex, ila moja ya madhara ambayo mtu anayeingiliwa nyuma anaweza kuyapata ni kansa ya anus(anal cancer) ambayo ni mbaya sana nayo si kwamba inahusiana moja kwa moja na tendo lenyew bali ni kuwa kuna risk kubwa ya kuambukizwa virusi vya HPV ambavyo husababisha cancer hiyo, so ni vema hizo habari za kutanuka ukaweka pemben maana inaweza isitokee kabisa hata ukifny kwa miaka kumi lakini risk ya kupata maambukizi ya HPV itayokupelekea kupata cancer ya huko ndo yakuiogopa zaidi
😀😀😀😀😀.Tusije kuta wewe ni mtumiaji mzuri wa hayo mambo hila unaongea hapa hilo kuwavuta dada zetu
mada hapa ni madhara ya anal sex ndio maana nkamention hatari ya kupata anal cancer sasa ww mkuu unaleta strains za HPV zinazosababisha cervical cancer zinahusikaje hapa banah ww? au mada inasemaje mzee?Wapenda tigo utawajua tu.....HPV strains hata kwa vaginal sex inaleta cancer...cancer of the cervix by HPV 16&18,Vulva,vagina na penis....so sio only anal sex....acha tigo
Kwa statement hii imedhihirisha uliyeleta hili bandiko ni mnafki unataka kuwavuta dada zetu.Tusije kuta wewe ni mtumiaji mzuri wa hayo mambo hila unaongea hapa hilo kuwavuta dada zetu
Na mie utani tagi DeviNdefu sana, aliesoma anipe summary