Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mkuu i dont want to be a devil advocate, ila haya mambo manabii, makuhani, masheikh, mapadre na wachungaji wanayaongea sana na vijana hawasikiii, tuombe Mungu wakusikie wewe.
Hakika inaitaji moyo mkubwa kuwaeleza watu hili swala mpaka wakakuelewa sio kazi raisi
 
Tusije kuta wewe ni mtumiaji mzuri wa hayo mambo hila unaongea hapa hilo kuwavuta dada zetu
 
Wapenda tigo utawajua tu.....HPV strains hata kwa vaginal sex inaleta cancer...cancer of the cervix by HPV 16&18,Vulva,vagina na penis....so sio only anal sex....acha tigo
 
Wapenda tigo utawajua tu.....HPV strains hata kwa vaginal sex inaleta cancer...cancer of the cervix by HPV 16&18,Vulva,vagina na penis....so sio only anal sex....acha tigo
mada hapa ni madhara ya anal sex ndio maana nkamention hatari ya kupata anal cancer sasa ww mkuu unaleta strains za HPV zinazosababisha cervical cancer zinahusikaje hapa banah ww? au mada inasemaje mzee?
 
ASANTE SANA !
WASIO YAELEWA ULIONDIIKA WAACHE WAFE TU KWA LAANA KUU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…