blance86
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,138
- 5,632
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!!!!!!Watu wanaongelea hili kama kitu cha kawaida, tunaiga tu kila kitu lakini kwa mujibu wa Ripoti za kitabibu wenzetu walioanzisha haya wako vizuri sana katika ku maintain usafi na kwa hali ya juu kabisa hospitali zao zimejaa madawa ya kutibu magonjwa yanayotokana na athari za tendo lenyewe. Kibaya zaidi nyuma kuna nerves nyingi ambazo zinampa mtu raha ya ajabu lakini pia kuna mamilioni ya bacteria na athari zake ni kubwa mno. Rafiki yangu mmoja daktari aliwahi kuniambia hakuna kisichotibika ila matibabu yake sasa gharama kubwa mnona alinipa stori za jinsi watu na hasa wadada wanavyokwenda Muhimbili na vilio, wanapata maumivu na wengine wanashindwa hata kukaa, na wengi tayari dalili za kansa zimeanza kuonekane. Tunatakiwa tuwatahadharishe sana mabinti zetu ndugu jamaa na marafiki juu ya mchezo huu umeingia kwa kasi na sasa hauzuiliki tena
Aisee!!Kagua chupi zake, maana nasikia wanatumia pumpus bila hivyo kinyesi kinatoka chenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijijin ndo balaa kabisa kunadada mmoja jiran anahuo mchezo hataki watu wazima wenzie yeye anataka vijana wadogoo ili wamkune vizuri sasa wale vijana anawaharibu kwani nao wakienda kwa mabinti wadogowadogo wanataka wapewe tigo kwahyo hili janga hakuna penye afazalikaoe kijijini mkuu hilo ndo suluhusho
Hatari 18th ??Mi nlimpataga mmoja mtoto wa miaka 18 akaniambia niandae mafuta anataka nimle nyuma
Ila hii haina mahusiano na watoto utakaozaa.. Na kwa jinsi hali ilivyo ukimpata mzima ni nadra sana na kamwe hawezi kukwambiaHapo vip!!
Kiukweli kwa nyakati hizi wanaume ambao tunania Ya kuoa tunawakati mgumu na changamoto kubwa sana.
Naamini kwa mwanaume mwenye maadali na mwenye hofu Ya Mungu, akimuoa mwanamke mwenye tabia ya kutoa kinyume na maumbile Mungu aliyohalalisha, itakuwa ni fedheha kubwa na laana hata katika watoto mtakao wazaa.
Kwa siku hizi, hii tabia inaonekana ni kwenda na wakati au ujanja fulani Kwa msichana au mwanaume kufanya hivyo..
Hii tabia haitaacha, hii new generation salama,kwasababu inaenea kwa kasi kama Moto wa petroli.
Inasikitisha sana, tena sana... Imaging umemuoa mtu mwenye tabia kama hizi..nawanasema kama alishazoeshwa lazima atamtafuta mwanaume mwenye kutumia kule ili awezekuridhika,sasa hii ndoa itakuwa salama kweli ,anyway kwa baadhi Ya wanaume mnaependa kutumia kule kwenu sawa tu..
Sasa ilikuepuka kuingia kwenye ndoa na mwanamke mwenye tabia kama hizi utafanyaje uweze kugundua mapema..?
Jamani muwe mnaongea Point. Sio kila kitu mnasingizia tu kusema Ni LAANA. acheni huu upumbavu jamani.Laanaa hiyo!!! unakubali Dada yako au shangazi yako au mama yako kufanyiwa tendo hilo?? Kama hupendi acha mchezo huo mara moja, kumbuka kuwa muosha huoshwa pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Alinogewa atakuwa anatafuna aiseekuna jamaa yangu tulienda kiwanja fulani tukaopoa mademu kila mtu na wake. asubuhi tunatoka lodge ana nipa story kapakua sana kisanvu. sasa jamaa ikafika hatua akamuoa yule demu.ambaye ni shemeji yangu kwa sasa na wana watoto wawili huwa nikiwa tembelea lile jambo alilo niambia halija wahi toka kichwani
Ohooooo!!!!kuna jamaa yangu tulienda kiwanja fulani tukaopoa mademu kila mtu na wake. asubuhi tunatoka lodge ana nipa story kapakua sana kisanvu. sasa jamaa ikafika hatua akamuoa yule demu.ambaye ni shemeji yangu kwa sasa na wana watoto wawili huwa nikiwa tembelea lile jambo alilo niambia halija wahi toka kichwani