Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Aisee!!!!!!
 
kaoe kijijini mkuu hilo ndo suluhusho
Kijijin ndo balaa kabisa kunadada mmoja jiran anahuo mchezo hataki watu wazima wenzie yeye anataka vijana wadogoo ili wamkune vizuri sasa wale vijana anawaharibu kwani nao wakienda kwa mabinti wadogowadogo wanataka wapewe tigo kwahyo hili janga hakuna penye afazali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila hii haina mahusiano na watoto utakaozaa.. Na kwa jinsi hali ilivyo ukimpata mzima ni nadra sana na kamwe hawezi kukwambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Laanaa hiyo!!! unakubali Dada yako au shangazi yako au mama yako kufanyiwa tendo hilo?? Kama hupendi acha mchezo huo mara moja, kumbuka kuwa muosha huoshwa pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani muwe mnaongea Point. Sio kila kitu mnasingizia tu kusema Ni LAANA. acheni huu upumbavu jamani.

Na ukumbuke wanawake wengine wanafurahia kufanyiwa hivi sasa mtu kama huyo wewe inakuhusu nini? Wee linda makalio yako tu hapa duniani , mengine hayakuhusu , hata kama ni ya nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna jamaa yangu tulienda kiwanja fulani tukaopoa mademu kila mtu na wake. asubuhi tunatoka lodge ana nipa story kapakua sana kisanvu. sasa jamaa ikafika hatua akamuoa yule demu.ambaye ni shemeji yangu kwa sasa na wana watoto wawili huwa nikiwa tembelea lile jambo alilo niambia halija wahi toka kichwani
 
Dunia inaenda kasi sana.Hili swala la watu kutumia 0713 soon litakuwa janga la kila mtu.
Na kweli inatia hofu sana kwenye uoaji.
Mm nashauri kabla ya kuoa ni bora uende kwa watalaam wa afya.
Assesment ya fasta tu tunajua hii imeliwa au iko intact.
Pole sana kizazi chetu hiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alinogewa atakuwa anatafuna aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohooooo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…