Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani wewe
"Nisamehe kipenzi changu Thad kwa kutokujulisha ile ni sinema tu tuliyokua tukicheza na iko mbioni kutoka.
Nakuomba unipe nafasi nyingine nikuoneshe ni namna gani navyokupenda.
Kumbuka (Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa ndio kosa). "
Haya maneno nilimsikia jamaa mmoja akimwambia Dada mmoja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Nisamehe kipenzi changu Thad kwa kutokujulisha ile ni sinema tu tuliyokua tukicheza na iko mbioni kutoka.
Nakuomba unipe nafasi nyingine nikuoneshe ni namna gani navyokupenda.
Kumbuka (Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa ndio kosa). "
Haya maneno nilimsikia jamaa mmoja akimwambia Dada mmoja.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wajua fika kuwa mie sio mpenzi wa movie, hivyo hiyo movie utaangalia na uliyeicheza naye!
 
Ila hivi vitu hivi.. basi tu moyo wa mtu kichaka. Na hamna feeling nzurii kama uone mtu kama huyo anakulilia wakati wewe ushamove on. Apambane na huba lake. Nimemsindikiza na tusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kunisaidia kumtusi my dear!
Ilibidi nimwulize yaani kweli umepata ujasiri wa kunifata baada ya yote uliyonitenda? Kuna watu waajabu hapa duniani, naye ni mmoja wapo
 
Back
Top Bottom