Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
With age sitoshangaa mkirudiana kwa mbwembweAsante dear!
Hivi sasa nasonga mbele, siko tayari kuumizwa naye tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
With age sitoshangaa mkirudiana kwa mbwembweAsante dear!
Hivi sasa nasonga mbele, siko tayari kuumizwa naye tena
"Nisamehe kipenzi changu Thad kwa kutokujulisha ile ni sinema tu tuliyokua tukicheza na iko mbioni kutoka.
Nakuomba unipe nafasi nyingine nikuoneshe ni namna gani navyokupenda.
Kumbuka (Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa ndio kosa). "
Haya maneno nilimsikia jamaa mmoja akimwambia Dada mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajua fika kuwa mie sio mpenzi wa movie, hivyo hiyo movie utaangalia na uliyeicheza naye!"Nisamehe kipenzi changu Thad kwa kutokujulisha ile ni sinema tu tuliyokua tukicheza na iko mbioni kutoka.
Nakuomba unipe nafasi nyingine nikuoneshe ni namna gani navyokupenda.
Kumbuka (Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa ndio kosa). "
Haya maneno nilimsikia jamaa mmoja akimwambia Dada mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo wimbo nilikuwa nikiusikia nalia..ila sasa yameshaisha
Pole sana mama. Umenikumbusha mbali. Ni vile tumeumbiwa kusahau.Huo wimbo nilikuwa nikiusikia nalia..ila sasa yameshaisha
Asante kwa kunisaidia kumtusi my dear!Ila hivi vitu hivi.. basi tu moyo wa mtu kichaka. Na hamna feeling nzurii kama uone mtu kama huyo anakulilia wakati wewe ushamove on. Apambane na huba lake. Nimemsindikiza na tusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante. Na bila hivyo maisha yasingesonga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe hebu niache!Kumbe ndio maana unaniogopa....Mimi sio huyo jamaa.
Anajua unampenda ndo maana kajirudisha.Asante kwa kunisaidia kumtusi my dear!
Ilibidi nimwulize yaani kweli umepata ujasiri wa kunifata baada ya yote uliyonitenda? Kuna watu waajabu hapa duniani, naye ni mmoja wapo
Wanawake mlioumizwa mna tabu sana. At least nimejua tatizo nini...😎[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe hebu niache!
Hunijui... najijua mwenyewe nilivyo
Ana wazimu kweli, yaani baada ya yote hayo bado niendelee kumpenda. Nitakuwa chizi labda
Acha tu tuwe na tabu maana dunia hadaa, ulimwengu shujaa!Wanawake mlioumizwa mna tabu sana. At least nimejua tatizo nini...😎
Ndo azoe uchafu wake aende zake
Huo wazimu kabisa. Ukisikia adui muombee njaa ndo kama huyo sasa.Ana wazimu kweli, yaani baada ya yote hayo bado niendelee kumpenda. Nitakuwa chizi labda
Na ukigusa tena maumivu 2.0! Sijui utakufa na utamu wako?🙂🙂😉Acha tu tuwe na tabu maana dunia hadaa, ulimwengu shujaa!