Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Pole nawe kwa kukutwa. Hapa ni break niwe single nisiwe single hawezi kunipata tena ng'oo
 
Ndio maana nilimsamehe kwani nami kama binadamu nina madhambi yangu nisije nikakosa msamaha, ila siwezi kutaka kurudiana na niliyemvuruga.
Haya mama me ndio huyo niliyekukosea nanilitaka kujua tu kama kweli umedhamiria kutorudiana namimi acha nipambane nahali yangu nakutakia maisha mema ila ama hakika nimeamini ulinipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si bure huyo jamaa kama huwa
anapitia jf akafanikiwa kuiona Avatar pic yako
lazima akutoroke,ila sema mbio alizotokanazo
ndo zilimpotezea mwelekeo.
Hayo mapicha magumu magumu tuachieni wanaume.
 
Haya mama me ndio huyo niliyekukosea nanilitaka kujua tu kama kweli umedhamiria kutorudiana namimi acha nipambane nahali yangu nakutakia maisha mema ila ama hakika nimeamini ulinipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kuwa muelewa, msalimia rafiki yangu kipenzi ambaye ni mkeo kipenzi mama mwarabu wako!
 
Si bure huyo jamaa kama huwa
anapitia jf akafanikiwa kuiona Avatar pic yako
lazima akutoroke,ila sema mbio alizotokanazo
ndo zilimpotezea mwelekeo.
Hayo mapicha magumu magumu tuachieni wanaume.
Inaelekea una uzoefu wa kuwatoroka wanawake eeeh![emoji848]
 
Pole aisee kwa mkasa mzito....God is good

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…