Suala sio kuniomba msamaha bali acha kuwaumiza watoto wa wanaume wenzioThamahani nilikuwa najisemea kwa mfano,
kumbe nimenunua kesi ,nithamee bure,Thitarudia kukwambia ukweli.
Pole sana kutoka moyoni. Kumbuka success is not a good teacher. We learn a lot from failure.Haya asante!
Aisee, nilikufanyaje tena bibie?Ujue wewe na huyo jamaa yangu mtakuwa na vinasaba, juzi umenifanyaje tena?
Jumatano ilikuwa sikukuu ya nini?
Hivi huu usemi huwa una maana gani? karibia miaka kumi toka namaliza Primary ila sijajua maana yake!PEMA NI PEMA USIPOPEMA, UKIPEMA SIO PEMA TENA"!
Kiukweli mimi siyo mmoja waoSuala sio kuniomba msamaha bali acha kuwaumiza watoto wa wanaume wenzio
Aisee, hivi leo juma la ngapi vile?Jumatano ilikuwa sikukuu ya nini?
Thanks! Of course I learned a lot with this issue!Pole sana kutoka moyoni. Kumbuka success is not a good teacher. We learn a lot from failure.
Maskini ya Mungu.... Ndio hivyo haya mambo yapo sanaKiukweli mimi siyo mmoja wao
ila naomba msamaha maana nimeweka
utani sehemu isiyo yake,narudia nisamehe,
Nimejiwa na hisia Fulani ambapo kuna watu
niliwafahamu,waliishi miaka mingi bila kupata
mtoto na baadaye walipata ajali wakafa wote siku moja,
Mtu mmoja akawa anatusimulia kisa chao
kwamba kumbe yule mama alimpora mchumba rafiki yake
na hivyo ikawa laana kwake hadi umauti.
Single
Maana yake ni kwama mahali pema panabaki pema kama usipopaharibu, ukipaharibu hapawezi kubaki pema! Kama bado hujaelewa utanambiaHivi huu usemi huwa una maana gani? karibia miaka kumi toka namaliza Primary ila sijajua maana yake!
Stay blessed Thad, soon someone who apreciates you is coming your way.Single
Amen!Stay blessed Thad, soon someone who apreciates you is coming your way.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fursa hii ngoja niiwahiBado nipo nipo kwanza
Daah afadhali ata hujakosekana kwenye huu uzi
Asante kwa kujali dear, akikujibu nitagDaah afadhali ata hujakosekana kwenye huu uzi
Nakupa kazi ya kumfariji mwanafunzi wako mwezi mzima