Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mwanamme je?
 
Pande nne za chumba zinaficha mengi sana, kuna wengine hapa ndio ugonjwa wao huo!
 
Can this be efforts to make justification of the act or is the mere truth?
 
Mpaka hapa naona mnampango wa kuharalisha hili jambo. Hii ni dhambi ya pili kwa ukubwa. 1. Ni kumkufuru Roho takatifu.
2. Kugeuza makusudi ya MUNGU
aliyo yafanya.


ILA NAOMBA MUNGU JEHOVA ATUOKOE NA HILI JANGA. Maana siku hiyo itakuwa bora Sodoma na Gomola kuliko sisi tuliyo letewa habari njema natukajua baya na jema.
 
kwa kweli nakupongeza sana mleta uzi kwa kupotosha jamii ili munaopenda huo mchezo mchafu na wa kulaaniwa uendelee kwa kujenga hoja ambazo hazina maana inafaa unapojenga mawazo sahihi unatakiwa kuleta ushahidi wa kutosha na siyo kukaa tu wewe mwenyewe na kutunga story ya kupotosha
 
Mkuu sikuwa na maana hiyo, Haya ni baadhi ya majibu mbalimbali kutoka kwa wataalam na watafiti, but haihalalishi kuyafanya haya.
 
Suala hili lina utata mkubwa sana, kitu cha kwanza tukubali kuwa kuta nne za chumba zinaficha mengi.Sijapata kuona kusikia kuwa yule bwana fulani anamla tigo mkewe au yule fulani anamla tigo demu wake.Cha kushangaza tunasikia tuu kila siku kuwa tatizo linazidi kuwa kubwa, basi kama ni kweli wahanga wakubwa ni wenye ndoa au mademu kwa kujaribu mnato kisha wananata hukohuko tigoni.
Ila kwani kisichojulikana ni nini si kila dini imekataza mchezo huo.MIMI NAHISI KUENDEKEZA TIGO NI MTAZAMO WA KISHETANI TUU.
 

tuondoleeni hizi threads za ngono kinyume na maumbile tafadhali........hatuzitaki na tumezichoka. Zimekuwa nyingi mno!!! Kuanzia mwaka 2011 hadi leo hii ukihesabu kwa harakaharaka unaweza kupata threads zaidi ya mia tatu zote ni za ngono kinyume na maumbile!!! Ingawa zinakuja na title tofautitofauti. Mods tafadhali mjaribu kuzipunguza kama siyo kuzifuta kabisa maana zinaondoa maadili.........
Kisayansi, ukiona mtu anapenda ngono kinyume na maumbile basi kama ni mwanaume atakuwa amewahi kuingiliwa katika maisha yake. Au atakuwa anapenda kutiwa vidole na mwanamke anayefanya nae mapenzi. Huwezi kupenda kufanya kitu fulani bila ya kwanza wewe kuwahi kufanyiwa.....
Tumechoka kusikia huu uchafu kila siku. Bila kujali madhara yake ama hakuna madhara mijadala ya ngono kinyume na maumbile inapaswa kukoma ili kuondoa temptation ya watu ambao hawajawahi kufanya kujaribu kutaka kufanya.
Sina maneno mengine ninayoweza kuyasema zaidi ya kutaka mijadala ya aina hii isiwepo maana inadhalilisha mtoa mada mwenyewe kwamba yawezekana ameshawahi kuingiliwa kinyume na maumbile na ndo maana anataka kuungwa mkono.
 
ha ha ha. hii ya kutokuoa nadhani inaukweli, japo mwanamke anaweza kuolewa pengine. pia ningependa ufuatilie utafiti wa wale wanaokwenda chumvini na wanaolamba koni. utuambie madhara yake pia. me like that
 
Mkuu. , mbona umepaniki sana, au wew ndo wale wapenda tigo huku ukiubili madhala pekeyake.. pole sana mkuulengo si kuwafanya watu watende ngono knyume namaumbile, haya nimajibu ya wataalam . na hapa jamvini hakuna mtu aliyeshikiwa akili, nikiamin kuwa kila mtu anamisimamo yake kwenye maisha, so haimfanyi mtu abadilike na kuanza kufanya hvyo.Kikwazo kikuu ni laana aliyoitoa Mungu juu ya watu wa namna hii, so yatupasa kumuogopa Mungu tu maana amelikataza tendo hili si vinginevyo. . . Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…