Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Nimekupenda mno kwa methali yako. Shika msimamo na utafanikisha mume bora. Hakufai alikuwa anakuchanganya na huyo rafiki yako. Mahusiano yao yalikuwa ya muda mrefu mno hivyo siku uliyopigiwa simu ni hitimisho tu. Acha ateseke
 
Nimekupenda mno kwa methali yako. Shika msimamo na utafanikisha mume bora. Hakufai alikuwa anakuchanganya na huyo rafiki yako. Mahusiano yao yalikuwa ya muda mrefu mno hivyo siku uliyopigiwa simu ni hitimisho tu. Acha ateseke
Asante. Ni kweli nilikuwa nakula nao na kucheka nao nikiamini ni wema kwangu wakati walikuwa wanafiki wakubwa. Yalishapita, nilimwachia Mungu na sasa nasonga mbele katu starudi nyuma
 
Kabisa sijui kama kuna maumivu ya mapenzi yatakayonitoa chozi tena
Mara nyingi watu hulia maramoja tu kwenye mapenzi mara ya pili umejitakia mwenyewe Thad, endelea na maisha yako dada yangu

Its a very touching and sad story, having experienced it myself to a certain lady I crazily fallen in love with.

Maajabu ni kwamba mara kadhaa(sio zote) hua ina backfire kwa yule aliyemkosea mwenzie na kumuumiza, wanaita Karma
 
Asante kwa ushauri murua, hakika karma haijawahi kumuacha mtu salama ni vile tu wakati mwingine tunaona kama inawachelewesha wabaya wetu
 
Usije tu ukamtenda rafiki yangu kama mimi nilivyotendwa! Sitakusamehe ukimuumiza carbamazepine wangu

Uswahiba na carbamazepine umeanza lini? Kama ni rafiki yako sema mapema. Huyo aliekuletea figisufigisu na yeye si alikua rafiki yako?

Funguka kama carba nae ni rafiki yako tumfanyie usaili upya.



carbamazepine
 
Asante kwa ushauri murua, hakika karma haijawahi kumuacha mtu salama ni vile tu wakati mwingine tunaona kama inawachelewesha wabaya wetu
Tena mkosaji anapokuja kutambua kwamba alichokiachia kilikua ni dhahabu na hicho alichokikimbilia ni kipande cha chupa kisicho na thamani inakua too late, huku kaachia kule hajashika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…