Wapi, nilipokuja vibaya?[emoji6]asante...hapo unakuja vizuri
pale uliposema anaweza nigeukaWapi, nilipokuja vibaya?[emoji6]
Jamani, kweli una moyo mwepesi mno![emoji12]pale uliposema anaweza nigeuka
teh kwamba niangalie
teh love youJamani, kweli una moyo mwepesi mno![emoji12]
[emoji8] [emoji8] [emoji8]teh love you
Wow! Shukrani sana...wacha nisuuze moyo wangu
Tujikumbushe kidogo.
Umesahau sina bible nyingine zaidi ya ile ya kiebrania.Hivi wewe unasoma biblia gani lakini? Kwahiyo ukiua, ili usamehewe inabidi umfufue kwanza uliyemuua?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo ndipo maandiko yanaponishinda, maana huo wakati naona unakaribia ukingoni na sijaona la maana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Amina baba mchungaji
Yule ni mume wa mtu mpaka kifo kitakapowatenganisha. Huyo Mungu tu anakusamehe lakini mapigo unayapata vizuri tu. Mfano mtu akizini akapata UKIMWI, Mungu atamsamehe ila UKIMWI atabaki nao tuUmesahau sina bible nyingine zaidi ya ile ya kiebrania.
Sidhani kama nimeulewa mfano wako.
Hio aina yako ya msamaha ni sawa na wewe utubu dhambi zako kwa Mungu alafu akuambie nimekusamehe lakini siwezi kukupokea tena kwangu tafuta Mungu mwingine. Hivi iko hivyo kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha nisubirie wokovu tu, ila ya duniani yameshanishinda[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maandiko yanasema 'atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokoka".
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandiko yameruhusu kutoa talaka kwa "mzinzi' (mtoto katoka mwarabu).Yule ni mume wa mtu mpaka kifo kitakapowatenganisha. Huyo Mungu tu anakusamehe lakini mapigo unayapata vizuri tu. Mfano mtu akizini akapata UKIMWI, Mungu atamsamehe ila UKIMWI atabaki nao tu
[emoji23] [emoji23]Wacha nisubirie wokovu tu, ila ya duniani yameshanishinda
Natamani ningejua
Haya...weekend nyingine inakuja.
Sawa. Niko free kabisa na nimeponaHaya...weekend nyingine inakuja.