Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hio sentesi yako ya kwanza siiungi mkono mheshimiwa mwandishi wa huu uzi, si wanaume tu ndo wanaopenda kuruka ukuta, hata wadada wapo, tena wengi, halafu wao kwa wao ndo wanashikana maskio "eti ukitaka kumkamata bwana wako asichepuke we mpe nukta tu (nimetumia neno nukta kupunguza ukali wa maneno)"..... Halafu wanaume wasioruka ukuta tunaitwa washamba... Nlishapigwa kibuti na mwanamke kisa nimegoma kumcheki oil

Mengine, hayo madhara nayaunga mkono mheshimiwa mwandishi
 
Naongezea ,madhara mengine ni kwamba ukishazoea kula au kuliwa kisoda hutoridhika tena na mapenzi kwa njia ya kawaida iwe ni mwanaume au mwanamke,hapo sasa ndo utaonekana kituko kwa sababu utalazimisha hata kwa kilio au madau ya pesa kiwango kikubwa
 
Usipomruka ukuta mwanamke wa Dar atakusema kwamba huwezi kazi. Mara nyingi wenyewe humchangamkia abdala kichwa wazi wakishamtoa mdomoni vile vile amelowa mate mzee wa watu wansmtumbukiza kusikojulikana. Mwanamme unajikuta unapata raha maradufu.
 
Mbona umewawekea na hamasa,yaani huwez Amini kwa hyo picha tuu kuna wanaowazibua vyoo wenzao muda huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…