Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hakuna mahali katika biblia pametaja sex positions zipi zitumike when it comes to sex

Lakini linapokuja swala la ngono kupitia njia ya haja kubwa hiyo no strictly forbidden mkuu

Na ndo maana hata katika karne hii

Ngono kupitia haja kubwa imepeea majina mengi ambayo yanaconlude kwamba ngono hiyo si sawa

Jiulize kwa nini inaitwa mapenzi kinyume na maumbile?

Kwa nini mwanamke anapata madhara kwa sababu ya ngono kwa mtindo huo?

Kwa nini wanaume wengine wanafanyiwa ushafishaji wa mirija maeneno ya huko,just kwa sababu ya sex ya aina hiyo?

Kwa nini wanaofanya normal sex hawakutwi na madhara hayo?

Hata normal sex ina harufu yake right mkuu?nikirefer kwa quote yako Fulani huko juu ukimjibu bi Dada mmoja hivi

Mbona sijawahi kusikia kuna mtu hataaki sex kwa sababu ya ile smell? Lakini nimesikia a lot of complains kuwa kuna wengine wameacha sex hiyo just kwa sababu ya harufu inayotokana nayo ukiwemo na were??
Tendo la ndoa hilo hilo unaloongelea ndio lililoleta dhana ya LILITH. Au nikuulize ni lini na kifungu kipi kinasema Missionary position (kifo cha mende) ndio maalum kidini?..
Maana ndio tunasikia ilisababisha Adam akakosana na Lilith na kulala chini mwanaume ni dhana upo chini ya mwanamke kimamlaka!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me Mkristo tena MKATOLIKI kuna uzi nimetoka mwambia mtu flani kuwa wakatoliki tuna mpaka Mtakatifu wa pombe anaitwa SAINT ARNOLD OF SOISSONS na kuna Mtakatifu wa Bartenders anaitwa SAINT AMAND leo iweje niseme POMBE HARAMU!?..
Yuda 1:7
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata
uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.
Jinsi moja ni nini?

Tendo la ndoa ni takatifu na si uasherati, soma hayo ya red vzr ndo majibu
 
1 wakorintho 6:9 mkuu inakataza inasema wala waasherati,wazinzi,wafiraji,wala walawiti hawataurithi ufalme wa Mungu
Sasa mkuu unaweza kunipa maana ya kila meno kati ya hayo maneno manne tajwa kwenye hilo andiko?
Tafsiri ya hill andiko ni kwamba asipatikane binti kahaba wala mwanaume hanithi Israel mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Wakorinto 6:9-10
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

Sasa kuna atakayepona duniani!?.. Lakini tuulizane kwenye ndoa kuna uzinzi?. Maana pana ya wafiraji na walawiti ni ipi?. je mimi na mke wangu tukiamua yeye ashike mike me nile tigo je tutakuwa tumefanya dhambi?. wapi somo la staili za wanandoa limeelekezwa hata WIMBO ULIO BORA ILISAHAU jambo kama hili?.
Simply kwenye ndoa ni sawa nje ya ndoa ni dhambi!.
 
Tendo la ndoa ni takatifu na si uasherati, soma hayo ya red vzr ndo majibu
Sasa umekubaliana na mie kwamba kwenye ndoa hakuna staili itaacha tumika!.😀☺
Nje ya ndoa tu ni uasherati na machukizo!.
 
Hakuna mahali katika biblia pametaja sex positions zipi zitumike when it comes to sex
Nashukuru umekubaliana nami!.☺
Lakini linapokuja swala la ngono kupitia njia ya haja kubwa hiyo no strictly forbidden mkuu
Na ndo maana hata katika karne hii
Ngono kupitia haja kubwa imepeea majina mengi ambayo yanaconlude kwamba ngono hiyo si sawa
Jiulize kwa nini inaitwa mapenzi kinyume na maumbile?
Unajua wagiriki enzi za ukubwa wao walikuwa wanamiliki vijana wadogo pembeni yao ambao walikuwa wanawafi.a ilikuwa ni fahari kumiliki kakijana kadogo. Kuna uzi wa zitto junior wa Mfalme Mehmet tulijadiri hili!.
Kwa nini mwanamke anapata madhara kwa sababu ya ngono kwa mtindo huo?
Kwa nini wanaume wengine wanafanyiwa ushafishaji wa mirija maeneno ya huko,just kwa sababu ya sex ya aina hiyo?
Kwa nini wanaofanya normal sex hawakutwi na madhara hayo?
Ulaji wa Pombe kuna watu wanaukataa kwamba ni chukizo, ulaji wa nguruwe wenzetu wanaupinga, kuombea marehemu kwa baadhi ya imani ni kosa!. Je vimekomeshwa duniani?. Tafiti ngapi zimeonyesha nguruwe na bia ni hatari kwa afya je ukristo umezuia?
Hata normal sex ina harufu yake right mkuu?nikirefer kwa quote yako Fulani huko juu ukimjibu bi Dada mmoja hivi
Mbona sijawahi kusikia kuna mtu hataaki sex kwa sababu ya ile smell? Lakini nimesikia a lot of complains kuwa kuna wengine wameacha sex hiyo just kwa sababu ya harufu inayotokana nayo ukiwemo na were??
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme hujasikia mkuu kuna watu hawapendi kufanya mapenzi sababu ya kuona tu dudu!. Mapenzi ni starehe unawaambiaje wazama chumvini? tunaambiwa kuna wadudu kiasi gani kule chini?
Kifupi hivi vyote ni PERCEPTION n' mind you kuna mtu kanambia ukimuandaa vizuri hakuna harufu yoyote utasikia!.
 
Mkuu ukinisoma vizuri kabisa naunga mkono hoja yako ya styles au positions za sex hakuna mwongoz katika biblia juu ya nini kifanyike staili zipi ndo zinafaa,japo kuna kanuni ambazo zinaweza kutumika kuona kama mambo Fulani tunayoyafanya katika sex ni sawa au si sawa

Point kuu hapa mkuu in je kosa ni ngona kati ya mwanaume na mwanaume au hats ngona kwa njia ya haja kubwa kati ya mime na mke ni kosa?

Lakini pia je ni kosa kufanya ngono kabla ya ndoa?

Kwa mujibu wa andiko letu mambo manner yametajwa yanayohusiana na maswali yetu

Nitayataja na kutaja maana zake ili tupate majibu ya maswali yetu

Uasherati kitendo cha mtu ambaye hajaoa au kuoleea kufanya ngono

Uzinzi kitendo cha mtu ambaye ana ndoa yake kufanya ngona na mtu ambaye sio mke au mume wake

Ufiraji kitendo cha mwanaume kufanya ngono na mwanamke kwa njia ya haja kubwa kubwa

So kama hajao anakuwa anafanya dhambi mbili haya uasherati na ufiraji ila kama ameoa anakuwa anafanya dhambi moja tu ufiraji

Ulawiti kitendo cha mwanaume kufanya ngono



1 Wakorinto 6:9-10
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

Sasa kuna atakayepona duniani!?.. Lakini tuulizane kwenye ndoa kuna uzinzi?. Maana pana ya wafiraji na walawiti ni ipi?. je mimi na mke wangu tukiamua yeye ashike mike me nile tigo je tutakuwa tumefanya dhambi?. wapi somo la staili za wanandoa limeelekezwa hata WIMBO ULIO BORA ILISAHAU jambo kama hili?.
Simply kwenye ndoa ni sawa nje ya ndoa ni dhambi!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kujua kama hili ni baya au zuri hatupaswi kuangalia nani alifanya nini na nini tunaanglia maandiko au vitabu gitakatifu vinasema nini mkuu

Hao wagiriki walikuwa wakikosea pia coz biblia inakataza kabisa hiyo kitu mkuu

Angalia sana hao wanaokataa sex just kwa sababu ya kuona dudu mostly ni kwa sababu ya matatizo ya kisaikolojia labda aliwahi kubakwa akajenga chuki kwa wanaume wote au jambo lolote linalompelekea kuwa na chuki na hicho kitu

Na huenda kweli kuna watu hate sex for various reasons lakini huwa ni abnormalities na ni wachache mkuu

Ila hii harufu ya sex kwa njia nyingine kuchukiwa ni kwa sababu inalazimishwa sio asili mkuu
Nashukuru umekubaliana nami!.[emoji5]

Unajua wagiriki enzi za ukubwa wao walikuwa wanamiliki vijana wadogo pembeni yao ambao walikuwa wanawafi.a ilikuwa ni fahari kumiliki kakijana kadogo. Kuna uzi wa zitto junior wa Mfalme Mehmet tulijadiri hili!.

Ulaji wa Pombe kuna watu wanaukataa kwamba ni chukizo, ulaji wa nguruwe wenzetu wanaupinga, kuombea marehemu kwa baadhi ya imani ni kosa!. Je vimekomeshwa duniani?. Tafiti ngapi zimeonyesha nguruwe na bia ni hatari kwa afya je ukristo umezuia?

Usiseme hujasikia mkuu kuna watu hawapendi kufanya mapenzi sababu ya kuona tu dudu!. Mapenzi ni starehe unawaambiaje wazama chumvini? tunaambiwa kuna wadudu kiasi gani kule chini?
Kifupi hivi vyote ni PERCEPTION n' mind you kuna mtu kanambia ukimuandaa vizuri hakuna harufu yoyote utasikia!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kujua kama hili ni baya au zuri hatupaswi kuangalia nani alifanya nini na nini tunaanglia maandiko au vitabu gitakatifu vinasema nini mkuu
Boss naomba tufunge hii mada!..☺☺
 
Yuda 1:7
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.

Jinsi moja ni nini?
mke kwa mke mume kwa mume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!!!!!
Nimeshindwa kusoma hadi mwisho.. kwa kujikuta nimeanza kusikia kichefuchefu..

Kila la kheri na yenu hayo

[emoji124]‍♀️[emoji124]‍♀️[emoji124]‍♀️[emoji124]‍♀️[emoji124]‍♀️[emoji124]‍♀️[emoji124]‍♀️[emoji124]‍♀️
umefika mpaka huku!!![emoji2][emoji2]
umevutiwa na hako kamchezo bibi.. usijaribu na uzee huo ulionao wakutoe[emoji108][emoji90][emoji90][emoji90]mmh🙄🙄

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom