Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mungu ajalie jamaa asiwe mchaga name asiwe na bastola mana naanza kusikia harufu ya mauaji
 
mkuu,renegade,katika maisha kuna matatizo ambayo huwa yanahitaji mtu wa tatu aingilie kati,kuna emergency nyingi tu katika maisha ambazo huitaji msaidizi,kuna kulazwa kwa ugonjwa,kuna kutindikiwa matumizi etc etc,na mimi huwa naitembelea familia yake once ni two weeks kujua maendeleo yao tu.sio maendeleo ya unyumba

Sasa inakuaje sasa ushirikishwe mambo ya unyumba?
 
ila wewe unahusika na hiyo tabia ya mke wa mshikaji wako maana wewe ndio ulipewa jukumu la kumsaidia anapotindikiwa:A S-confused1:

mkuu,nadhani hata wewe unajua huwa mtu hakabidhiwi kuangalia unyumba,just wellfare ya familia.pia sina tabia hiyo
 
Anapokuwa amepata safari za kikazi huwa ananiomba nimuangalizie familia yake kama itatindikiwa na kitu,na mimi hufanya hivyo pia.
Sasa mkuu, ulikuwa unamuangalizia kivipi sasa? Hukuhisi mkewe ana mpango mwingine tena wa watu fulani wanaopenda 0715?
Hizi habari za kuangalizia watu wake hukawii kuja kupigwa risasi na wewe
 
Sasa inakuaje sasa ushirikishwe mambo ya unyumba?

wakati mwingine mtu hutingwa hata ukifika hatua ya kuomba ushauri kuhusu mambo yako ya ndani kwa mtu ambaye unaona anaweza kukushauri.hilo wazo la mimi kutembea na shemeji yangu liondoe kabisa ukiachilia mbali wazo la kula 0713.ushauri wako nadhani utakuwa muhimu sana kuliko stori unayotaka kui cook up
 
nipatie namba ya huyo mwanamke mkuu naweza nikafanya kitu kumsaidia huyo jamaa yako....dini yetu inasema "wamebarikiwa wale wawezao kuzuia ndoa za majirani zao kuvunjika"....

#Kunjani kuti
 
Sasa mkuu, ulikuwa unamuangalizia kivipi sasa? Hukuhisi mkewe ana mpango mwingine tena wa watu fulani wanaopenda 0715?
Hizi habari za kuangalizia watu wake hukawii kuja kupigwa risasi na wewe

mkuu,mi niko hapa dar,familia yake iko pwani,nilikuwa nikienda mara moja kwa wiki mbili,just kuwaangalia wanaendeleaje na sio kufuatilia maisha binafsi ya shemeji yangu.
 
Kaka naomba ufafanuzi kati ya mume na mke wanamaelewano vizuri???Je huyo ndugu yako amekaa India muda Gani
??? Hakika usishangae kuwa anayetaka kuvunja ndoa ni mke..Kumbuka India ndio vinara wa kufanya kinyume na maumbile hivyo mwanamke anataka kujua kama Mumewe alipokuwa huko alijishughulish na huduma hiyo sasa akidiriki tu kukubali imekula kwake....
Au Mwanamke amedanganywa na mwanaume mwingine ambaye anaamini ndiye aliyekuwa akimridhisha kipindi mumewe alipokuwa hayupo sasa maadamu amerudi anatafuta jinsi ya kuendelea na mahusiano hayo inashindikana hivyo natafuta kutengeza mtafaruku ndani ili atolewe balu aendelee kula habari ya mjini.

Kwangu namshauri huyo mwanaume aichukue uamzi wowte kwa kuwa yuko ndani ya mtego ambao umetegwa kiakili nyingi sana atulie atulize akili amuombe mungu na amwambie mkewe nimekusahamehe hakika taona mke atakavyofunguka..
 
yani hata siji nikushauri nini? ila kama anaona kuna umuhimu wa kuwa nae ampe somo tu,,,, yawezekana hata ajaanza huo mchezo ila anasikia kwa mashoga zake akaamua kuonja utamu na yeye...... wasi wasi wa ninii? si amchunglie huko aone kama marinda amna kama amna hajue ameshaliwa....
 
Kaka naomba ufafanuzi kati ya mume na mke wanamaelewano vizuri???Je huyo ndugu yako amekaa India muda Gani
??? Hakika usishangae kuwa anayetaka kuvunja ndoa ni mke..Kumbuka India ndio vinara wa kufanya kinyume na maumbile hivyo mwanamke anataka kujua kama Mumewe alipokuwa huko alijishughulish na huduma hiyo sasa akidiriki tu kukubali imekula kwake....
Au Mwanamke amedanganywa na mwanaume mwingine ambaye anaamini ndiye aliyekuwa akimridhisha kipindi mumewe alipokuwa hayupo sasa maadamu amerudi anatafuta jinsi ya kuendelea na mahusiano hayo inashindikana hivyo natafuta kutengeza mtafaruku ndani ili atolewe balu aendelee kula habari ya mjini.

Kwangu namshauri huyo mwanaume aichukue uamzi wowte kwa kuwa yuko ndani ya mtego ambao umetegwa kiakili nyingi sana atulie atulize akili amuombe mungu na amwambie mkewe nimekusahamehe hakika taona mke atakavyofunguka..
 
Wadau naamini mko poa,

Nina mshikaji wangu ambae tumekuwa mtaani pamoja na ukubwani tumekuwa tukiwasiliana sana japokuwa tunaishi mbali mbali kidogo,yeye yuko nje kidogo ya Dar.

Anapokuwa amepata safari za kikazi huwa ananiomba nimuangalizie familia yake kama itatindikiwa na kitu,na mimi hufanya hivyo pia.

Ana mke na watoto wawili na walifunga ndoa tangu 2006.

Ni siku kama 10 hivi tangu arejee kutoka India kuchukua masters yake,amekuta nyumbani kwake kila kitu shwari.

Jana kanipigia kuwa ana mazungumzo na mimi,kitu alichoniambia hata sikuamini,anasema tangu amerudi mkewe anamlazimisha amuingilie kinyume na maumbile,anashindwa na haelewi mkewe amepatwa na nini.

Kaniomba nimshauri afanyeje kwani kwake yeye kwa mawazo ya haraka anafikiria kumrudisha kwao,na anasema huo ni ushahidi tosha kuwa mkewe amekuwa akifanya uchafu huo wakati yeye hayupo.

Wadau,naombeni mwenye ushauri unaofaa wa kumsaidia mshkaji wangu kwani mimi akili imestak.

Kaka naomba ufafanuzi kati ya mume na mke wanamaelewano vizuri???Je huyo ndugu yako amekaa India muda Gani
??? Hakika usishangae kuwa anayetaka kuvunja ndoa ni mke..Kumbuka India ndio vinara wa kufanya kinyume na maumbile hivyo mwanamke anataka kujua kama Mumewe alipokuwa huko alijishughulish na huduma hiyo sasa akidiriki tu kukubali imekula kwake....
Au Mwanamke amedanganywa na mwanaume mwingine ambaye anaamini ndiye aliyekuwa akimridhisha kipindi mumewe alipokuwa hayupo sasa maadamu amerudi anatafuta jinsi ya kuendelea na mahusiano hayo inashindikana hivyo natafuta kutengeza mtafaruku ndani ili atolewe balu aendelee kula habari ya mjini.

Kwangu namshauri huyo mwanaume aichukue uamzi wowte kwa kuwa yuko ndani ya mtego ambao umetegwa kiakili nyingi sana atulie atulize akili amuombe mungu na amwambie mkewe nimekusahamehe hakika taona mke atakavyofunguka..
 
Back
Top Bottom