Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mkuu kwan jamaa amekutuma uje umwombee ushauri huku au vip??
Mind ur own bsns bhanaa kwan yeye hajui kuna mitandao ya kijamii??
 
hapana mkuu sikihusudu na wala sikifikiriii kukifanya .. ninsababu ya kufanya hivi
miss chagga acha kushusha hadhi yako haoa jf japo tunatumia fake username.
Hivi ni kweli kabisa mungu hakumkamilisha mwanadamu au ni mwanadamu ndiye anakosoa kazi ya mungu? haya unayoyaandika hapa ujue hayatafutika kirahisi na yatasomwa na wana wako.
Mambo kama haya ni ya kuyakemea kabisa na hayakupaswa kujadiliwa kama ilivyo hapa.
Hii ni laana kama ile ya sodoma na gomora.
 
Last edited by a moderator:
nimekusikia mkuu
 
Wewe kama sio shoga kwanini ushabikie ushoga?

ngoja nikuulize vizuri na usipoelewa nakufundisha kilaza we:
1.unajua uzi unazungumzia nini...!!!!?
2.unajua The End.. amecommet nini...!!!!?
3.unajua wewe umecommet nini...!!!!?
jibu kwa ufasaha na akili kijana...!!!!
 
Last edited by a moderator:

hv Konda wa bodaboda mbona unaongea usiyoyajua!!!
hebu niaminishe kuwa ni kweli uliumbwa na mungu.........!!!!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lenu vijana mnataka kusifiwa kila kitu na hamtaki kukosolewa. Yaani unajisifu hapa jf kuwa umeolewa na mwanaume mwenzako!!!! pambaff kabisa wewe.

si unaona sasa kumbe hata commet yangu hukuisoma vizuri far.a we haya rudi kasome tena haraf uje ukosoe ukishindwa nakuelekeza mse.nge we......!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…