Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hakuna kukosea ni tabia mbaya tu ya mtu ng'ombe anapanda kwa kukuchumia hakosei itakuwa wewe binadamu?
Tena kibaya zaid kwenye romance unaanza kuchezea papuchi ila kuingiza ndo ukosee!
 
Kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??

Yawezakana mume wako ni illuminati member maana waabudu shetani yaani Lucifer mapenzi kinyume na maumbile ni moja ya nguzo au msingi wa ibaada yao na ndo maana ma-celebrity wengi wa America ni mashoga au wasagaji na ndo maana mataifa makubwa wana promote ndoa za njinsia moja.
 
Yawezakana mume wako ni illuminati member maana waabudu shetani yaani Lucifer mapenzi kinyume na maumbile ni moja ya nguzo au msingi wa ibaada yao na ndo maana ma-celebrity wengi wa America ni mashoga au wasagaji na ndo maana mataifa makubwa wana promote ndoa za njinsia moja.
mpaka kwenye marinda ni illuminat? ngachoka
 
Mume ameomba huenda ameona dalili au amesikia kuna watu wanakula hilo jambo si bure tu
 
Siku ukijaribu utataman akunyee kabisa..ila wanaotumiaga ndo wanasema ivo ila mi stumiagi
 
Watu wanao ongelea athari wengi wao wako tayari fanya hivyo...
Tujaribu angalia tu haya
Hivi Mungu alie muumba Mwanadamu alikosea kutupa akili kuwa hata huko nyuma ni sawa hadi sisi tuje vumbua hata nyuma pazuri?
Wanyama wote duniani waliumbwa kwa kutamkwa tu ila Mungu alipofika kwa Mwanadamu alisema " Na Tumfanye mtu kwa mfano wetu........... refer Genesis...."
Hivi Mungu wetu alivyo mkamilifu kweli atuumbe tufanye huo uchafu......
Mbwa na wanyama wengine wanatushinda akili linapokuja swala la kujamiiana.
Mi naona mtoaji na muonbaji wote akili zao wamezidiwa na Mbwa

Upo sahihi sana mkuu.
 
Ikifikia mahali unamwomba mwanamke yeyote umfanye nyuma maana yake ni kwamba:-

-UMESHAMCHOKA KABISA NA HUMPENDI YEYE WALA AFYA YAKE.

-PIA HUNA HOFU YA MUNGU KABISA.
 
Lakini nadhani unachokisema sicho unachokiishi! Nakuona kama ni kinara wa nyuzi zinazoshabikia ushoga, usagaji na mambo kama hayo! Waswahili walisema aisifuye mvua imemnyea! Hali kadhalika kwa mwenye Uzi Masai Dada nadhani mvua imeshamnyea (samahani kama sivyo). Biblia inasema kinywa cha mtu hunena yaliyoujaza moyo wake! Uzi wa Masai Dada wa mwaka Jana kuhusu punyeto na usagaji unaonyesha mambo yaliyoujaza moyo wako! Usinielewe vibaya sikulaumu lakini naona kama vile kuongelea uchafu huu kunahamasisha na kupromote matendo haya machafu, si unaona watu wanavyoshabikia?

Nilichokiona kwa nyuzi zako na post zako na za watu wengi ni kuwa dhambi ya ushoga na usagaji imeota mizizi kuliko wengi wanavyofikiri na vijana wanashabikia bila kujua madhara yake kwa wahusika na jamii!

Acha tuuseme ukweli bila kupaka rangi! Ukiruhusu kufirwa jiandae kujinyea baada ya misuli ya mkundu kulegezwa, wengine wanasema marinda kupigwa pasi!

Yaani baada ya muda mavi yanajitokea tu na wahusika wanakuwa wateja wa kudumu wa nepi/pumpers!

Kama ni mwanamke wakati wa kujifungua hawezi kusukuma mtoto, maana kila akifanya hivyo mavi yanamtoka maana nguvu yake yote ya kusukuma inaishia kutoa mavi, mavi yakiisha utumbo Mkubwa unatoka, ni hatari sana! Ndiyo maana huwa wanajifungua kwa operation!
Vijana na watoto msijaribu, kuna watu walishaharibikiwa tayari, na wanataka wengine waharibikiwe pia! Kama wazungu walivyoharibikiwa na wanataka uharibifu huu uenee dunia nzima!
Utakuta mtu anaongelea ufirauni huu kama kitu kizuri vile! Hivi kinyaa mnapeleka wapi? Kama si kupagawa mashetani ni nini? Dume au
Jike zima kujinyea halafu ndio unakuwa mtindo wa maisha mpaka kifo! Fikiri kabla hujajitumbukiza kwenye uchafu huu!

Suluhisho ni kuomba msamaha wa Mungu ili kama tayari umeshanaswa na uchafu huu ili uokoke
Cc Masai Dada.

Mkuu umeelezea vizuri sana madhara yanayotokana na dhambi hii.
 
Siku zote hakuna dhambi kubwa na ndogo,ila Laana na Matokeo ya dhambi yanatofautiana. Mfano kulingana na biblia,kuna watu wengi walikuwa wakimkosea Mungu kwa namna mbalimbali.

ILA dhambi ya USHOGA,walipoifanya wanadamu kipindi kile,ghafla Mungu alishusha Gharika. Hii ilimuudhi Mungu sana kwakuwa Mwanaume ni kiumbe mfano wa Mungu.

Likely,kwa Mwanamke yeyote awe mke wa mtu au single,si vizuri na ni dhambi.
 
Haijalishi nampenda to the maximum akianza kuomba hiyo kitu tutagombana
 
nahisi mtu akikuomba tigo amekudhalilisha sana

haswa mume wako

Huwa nasikia tu sijaelewa hasa huu upande wa pili wa dunia. Amani ya bwana iwe nanyi
 

Attachments

  • 1444131997839.jpg
    1444131997839.jpg
    22.5 KB · Views: 716
Lakini nadhani unachokisema sicho unachokiishi! Nakuona kama ni kinara wa nyuzi zinazoshabikia ushoga, usagaji na mambo kama hayo! Waswahili walisema aisifuye mvua imemnyea! Hali kadhalika kwa mwenye Uzi Masai Dada nadhani mvua imeshamnyea (samahani kama sivyo). Biblia inasema kinywa cha mtu hunena yaliyoujaza moyo wake! Uzi wa Masai Dada wa mwaka Jana kuhusu punyeto na usagaji unaonyesha mambo yaliyoujaza moyo wako! Usinielewe vibaya sikulaumu lakini naona kama vile kuongelea uchafu huu kunahamasisha na kupromote matendo haya machafu, si unaona watu wanavyoshabikia?

Nilichokiona kwa nyuzi zako na post zako na za watu wengi ni kuwa dhambi ya ushoga na usagaji imeota mizizi kuliko wengi wanavyofikiri na vijana wanashabikia bila kujua madhara yake kwa wahusika na jamii!

Acha tuuseme ukweli bila kupaka rangi! Ukiruhusu kufirwa jiandae kujinyea baada ya misuli ya mkundu kulegezwa, wengine wanasema marinda kupigwa pasi!

Yaani baada ya muda mavi yanajitokea tu na wahusika wanakuwa wateja wa kudumu wa nepi/pumpers!

Kama ni mwanamke wakati wa kujifungua hawezi kusukuma mtoto, maana kila akifanya hivyo mavi yanamtoka maana nguvu yake yote ya kusukuma inaishia kutoa mavi, mavi yakiisha utumbo Mkubwa unatoka, ni hatari sana! Ndiyo maana huwa wanajifungua kwa operation!
Vijana na watoto msijaribu, kuna watu walishaharibikiwa tayari, na wanataka wengine waharibikiwe pia! Kama wazungu walivyoharibikiwa na wanataka uharibifu huu uenee dunia nzima!
Utakuta mtu anaongelea ufirauni huu kama kitu kizuri vile! Hivi kinyaa mnapeleka wapi? Kama si kupagawa mashetani ni nini? Dume au
Jike zima kujinyea halafu ndio unakuwa mtindo wa maisha mpaka kifo! Fikiri kabla hujajitumbukiza kwenye uchafu huu!

Suluhisho ni kuomba msamaha wa Mungu ili kama tayari umeshanaswa na uchafu huu ili uokoke
Cc Masai Dada.

Hii ni uongo.
Madhara makubwa ni maambukizi kirahisi ya magonjwa ya zinaa.
 
Kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??

Anaweza kukuomba. Mapenzi ni ubunifu, au kasikia kuwa wanawake wanapenda, au kasikia mahali kuwa inafurahisha zaidi nk, anataka mjaribu ikiwafaa muendelee nayo. Kama hutaki unamkatalia tu vizuri, eleza hisia zako kama umekasirika, aombe msamaha yaishe mwendelee na maisha. Kama na wewe unataka kujaribu kubalianeni kujaibu. I mean isiwe big deal saaaana ya kujadiliwa kama vile kapendekeza kukukata kiungo. Ni compromise, unataka fanyeni, hutaki acheni. Maisha ya ndoa yana mengi ya kufurahia sio ngono pekee, na ngono ina namna nyingi ya kuifurahia siyo ile uliyozoea pekee. Hata mambo ya kunyonyana ndimi, kuingia chumvini, oral sex mnazosema hizo namengine kama hayo yote pia ni kinyume na maumbile tu kama ukiamua kuamini kuwa ngono ni kuingiza tupu hii kwenye ile basi. Usikariri mambo, zungumza na mwenzio, muafaka mtakaofikia ni wenu, ndicho mtakachofanya.
 
Back
Top Bottom