Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kupenda kuna maana ya kuchukua madhaifu ya mwenzako na kuyafanya tyako,apaswa kuzungumza nae kwa busara na kumshawishi ili aweze kukubali kuacha

Kama ataamua kutokuacha hili nitaliamua kulingana na msimamo wangu kuhusu jambo lenyewe maana hii ni tabia kama zingine ambazo watu wameamua kuendelea kuwa nazo na bado watu wapo kwenye ndoa

Kusema tu nitavunja ndoa naweza nikadanganya au nikisema sitavunja ndoa naweza kudanganya pia kwasababu ndoa ni taasisi ambayo kuichukulia rahisi rahisi sio jambo jema

Kimsingi ninaamini kama nimekuoa na nikakukuta unafanya mchezo huo sitashindwa kukushawishi uache,hicho ndicho ninachoamini...

Kuvunja ndoa sio jambo jema kabisa......

mda mingine unaongeaga point ee
 
masai dada, naomba nianze kwa kumnukuu mchangiaji mmoja aliyesema tuna tatizo la kuweka vipaumbele katika tabia mbaya za wenza wetu

Nianze pia kwa illustration moja ambapo sheikh flani alimsamehe mwanae wa kiume aiyetembea na mamake mdogo *mke mdogo wa babake* tena kwenye kitanda cha babake...na siku nyingi baadae akamfukuza na kuacha kumtambua kama mwanae kijana wake mwingine wa kiume aiyegundulika kuwa ni mtafunaji mzuri wa kitimoto

Tumejenga sana mentality ya kufanya baadhi ya makosa kuwa ight na mengine tunayaona mazito

Back to the point ni kwamba kufanya ndoa ikome kwa sababu tu mwenza kataka kufanya mapenzi kwa njia hiyo uiyoisema sio jambo la busara kwa maana watu wawili hamuwezi shindwa kuongelea tatizo kama hili na kulitatua

Na katika mapenzi ukiangalia kwa makini ni mambo mengi tunafanya kinyume cha maumbie..kwa tafsiri yangu binafsi kinyume cha maumbile ni kutumia kiungo flani cha mwili tofauti na matumizi ambayo kiliumbiwa kwayo

for instance angalia suala zima la kunyonyana!!! we all know kwamba wanaume hatukupewa dicks ili zinyonywe..kimaumbile kazi yake ni kukojoa chooni na kudownload wazungu kwenye vipoch manyoya ili kutengeneza watoto..so how come zifanywe koni? hii ni kinyume na maumbie

again angalia tunavyotumia midomo na ndimi zetu....mara tumezama uvinza, mara tunaramba makwapa na nyayo..hii sio kazi halali ya midomo

maziwa ya mwanamke yapo kwa ajili ya hoteli ya watoto baaaas!!! akini tunakwenda kinyume cha maumbile na kuyanyonya watu wazima

mifano ipo mingi so tunaweza kukemea suala la tigo taking into consideration ya madhara kiafya but for the case of kinyume na maumbile hiyo ni just a single part of it!!!

tukija kwa wanandoa na tendo zima la kujamiiana nadhani twaweza kusema haitakiwi kuwa na aina yoyote ya kulazimishana kufanya jambo lolote la kimapenzi...be it tigo, sucking the crit. , the mike, breasts, kwapa au whatever...ni raha pale wapenzi wanapofanya jambo ambalo wote wanalifurahia na kuridhia

kwa hiyo basi kama mmoja atataka tigo na mwenza hataki basi hilo jambo automatically lisifanyike kwa msingi wa mutual enjoyment policy niliyoitaja hapo juu. na kwa maana hiyo hakutakuwa na mgogoro na karaha y kuyumba kwa ndoa

kama wakikubaliana wote..then it is them....mimi na wife hatupendi but who am I kuingilia actions za wengine katika mapenzi? live and let live
my dear mimi ni muumini sana wa kuweka mbele tabia za mpenzi wangu ikiwemo tu kumpa raha na kama sitapata matatizo.mimi sio lazima nni enyoy ila kama yeye ata enjoy na mimi sitadhurika basi nafanya kati ya kila kitu hapo nimeona tigo ndo nadhurika ufirauni mwingine wote naufanya hahha😂😂😂
 
Last edited by a moderator:
narudia tena kama kina madhara kwamk usifanye sidhani kama ni busara kujiumiza au kupata madhara kwa ajili tu ya kumfuraisha mwenzako
 
kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??

jibu la kwanza na ni sahihi kabisa ni ndio....na jibu la pili na nisahihi kama la kwanza ni hapana....ila hapa inategemeana na mazingira ya penzi lenu lilikoanzia.....pia inategemeana na ntu na ntu.

Ukitaka ufafanuzi zaidi wa majibu yangu njoo pm.
 
masai dada, naomba nianze kwa kumnukuu mchangiaji mmoja aliyesema tuna tatizo la kuweka vipaumbele katika tabia mbaya za wenza wetu

nianze pia kwa illustration moja ambapo sheikh flani alimsamehe mwanae wa kiume aiyetembea na mamake mdogo *mke mdogo wa babake* tena kwenye kitanda cha babake...na siku nyingi baadae akamfukuza na kuacha kumtambua kama mwanae kijana wake mwingine wa kiume aiyegundulika kuwa ni mtafunaji mzuri wa kitimoto

tumejenga sana mentality ya kufanya baadhi ya makosa kuwa ight na mengine tunayaona mazito

back to the point ni kwamba kufanya ndoa ikome kwa sababu tu mwenza kataka kufanya mapenzi kwa njia hiyo uiyoisema sio jambo la busara kwa maana watu wawili hamuwezi shindwa kuongelea tatizo kama hili na kulitatua

na katika mapenzi ukiangalia kwa makini ni mambo mengi tunafanya kinyume cha maumbie..kwa tafsiri yangu binafsi kinyume cha maumbile ni kutumia kiungo flani cha mwili tofauti na matumizi ambayo kiliumbiwa kwayo

for instance angalia suala zima la kunyonyana!!! We all know kwamba wanaume hatukupewa dicks ili zinyonywe..kimaumbile kazi yake ni kukojoa chooni na kudownload wazungu kwenye vipoch manyoya ili kutengeneza watoto..so how come zifanywe koni? Hii ni kinyume na maumbie

again angalia tunavyotumia midomo na ndimi zetu....mara tumezama uvinza, mara tunaramba makwapa na nyayo..hii sio kazi halali ya midomo

maziwa ya mwanamke yapo kwa ajili ya hoteli ya watoto baaaas!!! Akini tunakwenda kinyume cha maumbile na kuyanyonya watu wazima

mifano ipo mingi so tunaweza kukemea suala la tigo taking into consideration ya madhara kiafya but for the case of kinyume na maumbile hiyo ni just a single part of it!!!

Tukija kwa wanandoa na tendo zima la kujamiiana nadhani twaweza kusema haitakiwi kuwa na aina yoyote ya kulazimishana kufanya jambo lolote la kimapenzi...be it tigo, sucking the crit. , the mike, breasts, kwapa au whatever...ni raha pale wapenzi wanapofanya jambo ambalo wote wanalifurahia na kuridhia

kwa hiyo basi kama mmoja atataka tigo na mwenza hataki basi hilo jambo automatically lisifanyike kwa msingi wa mutual enjoyment policy niliyoitaja hapo juu. Na kwa maana hiyo hakutakuwa na mgogoro na karaha y kuyumba kwa ndoa

kama wakikubaliana wote..then it is them....mimi na wife hatupendi but who am i kuingilia actions za wengine katika mapenzi? Live and let live

imeandikwa....mke hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mmewe..vivyo hivyo mume hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mkewe...
Pia imeandikwa musinyimane bali peaneni kwa nafasi......
 
kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??

kweli nimeamini wewe ni queen of controversies .....una mada tata sana zenye kuhitaji high inteligent quotient...for this am falling to like you......big tyme.
 
Kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??

Ndio maana tunaambiwa tuchunguzane sana kabla hatujafikia hatua ya ndoa. Mume mwema atokae kwa bwana kamwe HAWEZI FANYA KITU HIKI! Kama wako kataka kufanya hivi, HUYO HAJATOKA KWA MUNGU. PERIOD
 
imeandikwa....mke hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mmewe..vivyo hivyo mume hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mkewe...
Pia imeandikwa musinyimane bali peaneni kwa nafasi......

umetafsiri vibaya na kiuzushi.
rekebisha maana ni dhambi kufanya hivo
 
Inawezekana
Kama aliweza kukushawishi ukakubaliana kuishi naye iweje ashindwe kukuomba kile anachohisi ni sahihi kwake?
 
hapana mkuu sikihusudu na wala sikifikiriii kukifanya .. ninsababu ya kufanya hivi

Lakini nadhani unachokisema sicho unachokiishi! Nakuona kama ni kinara wa nyuzi zinazoshabikia ushoga, usagaji na mambo kama hayo! Waswahili walisema aisifuye mvua imemnyea! Hali kadhalika kwa mwenye Uzi Masai Dada nadhani mvua imeshamnyea (samahani kama sivyo). Biblia inasema kinywa cha mtu hunena yaliyoujaza moyo wake! Uzi wa Masai Dada wa mwaka Jana kuhusu punyeto na usagaji unaonyesha mambo yaliyoujaza moyo wako! Usinielewe vibaya sikulaumu lakini naona kama vile kuongelea uchafu huu kunahamasisha na kupromote matendo haya machafu, si unaona watu wanavyoshabikia?

Nilichokiona kwa nyuzi zako na post zako na za watu wengi ni kuwa dhambi ya ushoga na usagaji imeota mizizi kuliko wengi wanavyofikiri na vijana wanashabikia bila kujua madhara yake kwa wahusika na jamii!

Acha tuuseme ukweli bila kupaka rangi! Ukiruhusu kufirwa jiandae kujinyea baada ya misuli ya mkundu kulegezwa, wengine wanasema marinda kupigwa pasi!

Yaani baada ya muda mavi yanajitokea tu na wahusika wanakuwa wateja wa kudumu wa nepi/pumpers!

Kama ni mwanamke wakati wa kujifungua hawezi kusukuma mtoto, maana kila akifanya hivyo mavi yanamtoka maana nguvu yake yote ya kusukuma inaishia kutoa mavi, mavi yakiisha utumbo Mkubwa unatoka, ni hatari sana! Ndiyo maana huwa wanajifungua kwa operation!
Vijana na watoto msijaribu, kuna watu walishaharibikiwa tayari, na wanataka wengine waharibikiwe pia! Kama wazungu walivyoharibikiwa na wanataka uharibifu huu uenee dunia nzima!
Utakuta mtu anaongelea ufirauni huu kama kitu kizuri vile! Hivi kinyaa mnapeleka wapi? Kama si kupagawa mashetani ni nini? Dume au
Jike zima kujinyea halafu ndio unakuwa mtindo wa maisha mpaka kifo! Fikiri kabla hujajitumbukiza kwenye uchafu huu!

Suluhisho ni kuomba msamaha wa Mungu ili kama tayari umeshanaswa na uchafu huu ili uokoke
Cc Masai Dada.
 
Aisee mkuu umeongea la maana sana. Ni kweli suluhisho ni kumuomba msamaha mungu
 
Lakini nadhani unachokisema sicho unachokiishi! Nakuona kama ni kinara wa nyuzi zinazoshabikia ushoga, usagaji na mambo kama hayo! Waswahili walisema aisifuye mvua imemnyea! Hali kadhalika kwa mwenye Uzi Masai Dada nadhani mvua imeshamnyea (samahani kama sivyo). Biblia inasema kinywa cha mtu hunena yaliyoujaza moyo wake! Uzi wa Masai Dada wa mwaka Jana kuhusu punyeto na usagaji unaonyesha mambo yaliyoujaza moyo wako! Usinielewe vibaya sikulaumu lakini naona kama vile kuongelea uchafu huu kunahamasisha na kupromote matendo haya machafu, si unaona watu wanavyoshabikia?

Nilichokiona kwa nyuzi zako na post zako na za watu wengi ni kuwa dhambi ya ushoga na usagaji imeota mizizi kuliko wengi wanavyofikiri na vijana wanashabikia bila kujua madhara yake kwa wahusika na jamii!

Acha tuuseme ukweli bila kupaka rangi! Ukiruhusu kufirwa jiandae kujinyea baada ya misuli ya mkundu kulegezwa, wengine wanasema marinda kupigwa pasi!

Yaani baada ya muda mavi yanajitokea tu na wahusika wanakuwa wateja wa kudumu wa nepi/pumpers!

Kama ni mwanamke wakati wa kujifungua hawezi kusukuma mtoto, maana kila akifanya hivyo mavi yanamtoka maana nguvu yake yote ya kusukuma inaishia kutoa mavi, mavi yakiisha utumbo Mkubwa unatoka, ni hatari sana! Ndiyo maana huwa wanajifungua kwa operation!
Vijana na watoto msijaribu, kuna watu walishaharibikiwa tayari, na wanataka wengine waharibikiwe pia! Kama wazungu walivyoharibikiwa na wanataka uharibifu huu uenee dunia nzima!
Utakuta mtu anaongelea ufirauni huu kama kitu kizuri vile! Hivi kinyaa mnapeleka wapi? Kama si kupagawa mashetani ni nini? Dume au
Jike zima kujinyea halafu ndio unakuwa mtindo wa maisha mpaka kifo! Fikiri kabla hujajitumbukiza kwenye uchafu huu!

Suluhisho ni kuomba msamaha wa Mungu ili kama tayari umeshanaswa na uchafu huu ili uokoke
Cc Masai Dada.
najua madhara ya tigo ndo maana nimeuliza kwa mshangao mkubwa hivi hata mume wako anaeza kukuomba
 
Lakini nadhani unachokisema sicho unachokiishi! Nakuona kama ni kinara wa nyuzi zinazoshabikia ushoga, usagaji na mambo kama hayo! Waswahili walisema aisifuye mvua imemnyea! Hali kadhalika kwa mwenye Uzi Masai Dada nadhani mvua imeshamnyea (samahani kama sivyo). Biblia inasema kinywa cha mtu hunena yaliyoujaza moyo wake! Uzi wa Masai Dada wa mwaka Jana kuhusu punyeto na usagaji unaonyesha mambo yaliyoujaza moyo wako! Usinielewe vibaya sikulaumu lakini naona kama vile kuongelea uchafu huu kunahamasisha na kupromote matendo haya machafu, si unaona watu wanavyoshabikia?

Nilichokiona kwa nyuzi zako na post zako na za watu wengi ni kuwa dhambi ya ushoga na usagaji imeota mizizi kuliko wengi wanavyofikiri na vijana wanashabikia bila kujua madhara yake kwa wahusika na jamii!

Acha tuuseme ukweli bila kupaka rangi! Ukiruhusu kufirwa jiandae kujinyea baada ya misuli ya mkundu kulegezwa, wengine wanasema marinda kupigwa pasi!

Yaani baada ya muda mavi yanajitokea tu na wahusika wanakuwa wateja wa kudumu wa nepi/pumpers!

Kama ni mwanamke wakati wa kujifungua hawezi kusukuma mtoto, maana kila akifanya hivyo mavi yanamtoka maana nguvu yake yote ya kusukuma inaishia kutoa mavi, mavi yakiisha utumbo Mkubwa unatoka, ni hatari sana! Ndiyo maana huwa wanajifungua kwa operation!
Vijana na watoto msijaribu, kuna watu walishaharibikiwa tayari, na wanataka wengine waharibikiwe pia! Kama wazungu walivyoharibikiwa na wanataka uharibifu huu uenee dunia nzima!
Utakuta mtu anaongelea ufirauni huu kama kitu kizuri vile! Hivi kinyaa mnapeleka wapi? Kama si kupagawa mashetani ni nini? Dume au
Jike zima kujinyea halafu ndio unakuwa mtindo wa maisha mpaka kifo! Fikiri kabla hujajitumbukiza kwenye uchafu huu!

Suluhisho ni kuomba msamaha wa Mungu ili kama tayari umeshanaswa na uchafu huu ili uokoke
Cc Masai Dada.
nimeweka wazi kuwa naongea hayo nikiwa na sababu maallumu.. ma si kwamba nafanya hayo makitu.. asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom