Kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??
Kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??
OMG... kweli humu kuna maneno..
mpaka kwenye marinda ni illuminat? ngachokaYawezakana mume wako ni illuminati member maana waabudu shetani yaani Lucifer mapenzi kinyume na maumbile ni moja ya nguzo au msingi wa ibaada yao na ndo maana ma-celebrity wengi wa America ni mashoga au wasagaji na ndo maana mataifa makubwa wana promote ndoa za njinsia moja.
Sidhani kama siasa inahusika kwa hili. Utandawazi, teknolojia, kufuata mkumbo na ulimbukeni tu.Tatizo ni sisiem imeleta haya yote
Mume ameomba huenda ameona dalili au amesikia kuna watu wanakula hilo jambo si bure tu
Watu wanao ongelea athari wengi wao wako tayari fanya hivyo...
Tujaribu angalia tu haya
Hivi Mungu alie muumba Mwanadamu alikosea kutupa akili kuwa hata huko nyuma ni sawa hadi sisi tuje vumbua hata nyuma pazuri?
Wanyama wote duniani waliumbwa kwa kutamkwa tu ila Mungu alipofika kwa Mwanadamu alisema " Na Tumfanye mtu kwa mfano wetu........... refer Genesis...."
Hivi Mungu wetu alivyo mkamilifu kweli atuumbe tufanye huo uchafu......
Mbwa na wanyama wengine wanatushinda akili linapokuja swala la kujamiiana.
Mi naona mtoaji na muonbaji wote akili zao wamezidiwa na Mbwa
Lakini nadhani unachokisema sicho unachokiishi! Nakuona kama ni kinara wa nyuzi zinazoshabikia ushoga, usagaji na mambo kama hayo! Waswahili walisema aisifuye mvua imemnyea! Hali kadhalika kwa mwenye Uzi Masai Dada nadhani mvua imeshamnyea (samahani kama sivyo). Biblia inasema kinywa cha mtu hunena yaliyoujaza moyo wake! Uzi wa Masai Dada wa mwaka Jana kuhusu punyeto na usagaji unaonyesha mambo yaliyoujaza moyo wako! Usinielewe vibaya sikulaumu lakini naona kama vile kuongelea uchafu huu kunahamasisha na kupromote matendo haya machafu, si unaona watu wanavyoshabikia?
Nilichokiona kwa nyuzi zako na post zako na za watu wengi ni kuwa dhambi ya ushoga na usagaji imeota mizizi kuliko wengi wanavyofikiri na vijana wanashabikia bila kujua madhara yake kwa wahusika na jamii!
Acha tuuseme ukweli bila kupaka rangi! Ukiruhusu kufirwa jiandae kujinyea baada ya misuli ya mkundu kulegezwa, wengine wanasema marinda kupigwa pasi!
Yaani baada ya muda mavi yanajitokea tu na wahusika wanakuwa wateja wa kudumu wa nepi/pumpers!
Kama ni mwanamke wakati wa kujifungua hawezi kusukuma mtoto, maana kila akifanya hivyo mavi yanamtoka maana nguvu yake yote ya kusukuma inaishia kutoa mavi, mavi yakiisha utumbo Mkubwa unatoka, ni hatari sana! Ndiyo maana huwa wanajifungua kwa operation!
Vijana na watoto msijaribu, kuna watu walishaharibikiwa tayari, na wanataka wengine waharibikiwe pia! Kama wazungu walivyoharibikiwa na wanataka uharibifu huu uenee dunia nzima!
Utakuta mtu anaongelea ufirauni huu kama kitu kizuri vile! Hivi kinyaa mnapeleka wapi? Kama si kupagawa mashetani ni nini? Dume au
Jike zima kujinyea halafu ndio unakuwa mtindo wa maisha mpaka kifo! Fikiri kabla hujajitumbukiza kwenye uchafu huu!
Suluhisho ni kuomba msamaha wa Mungu ili kama tayari umeshanaswa na uchafu huu ili uokoke
Cc Masai Dada.
nahisi mtu akikuomba tigo amekudhalilisha sana
haswa mume wako
Lakini nadhani unachokisema sicho unachokiishi! Nakuona kama ni kinara wa nyuzi zinazoshabikia ushoga, usagaji na mambo kama hayo! Waswahili walisema aisifuye mvua imemnyea! Hali kadhalika kwa mwenye Uzi Masai Dada nadhani mvua imeshamnyea (samahani kama sivyo). Biblia inasema kinywa cha mtu hunena yaliyoujaza moyo wake! Uzi wa Masai Dada wa mwaka Jana kuhusu punyeto na usagaji unaonyesha mambo yaliyoujaza moyo wako! Usinielewe vibaya sikulaumu lakini naona kama vile kuongelea uchafu huu kunahamasisha na kupromote matendo haya machafu, si unaona watu wanavyoshabikia?
Nilichokiona kwa nyuzi zako na post zako na za watu wengi ni kuwa dhambi ya ushoga na usagaji imeota mizizi kuliko wengi wanavyofikiri na vijana wanashabikia bila kujua madhara yake kwa wahusika na jamii!
Acha tuuseme ukweli bila kupaka rangi! Ukiruhusu kufirwa jiandae kujinyea baada ya misuli ya mkundu kulegezwa, wengine wanasema marinda kupigwa pasi!
Yaani baada ya muda mavi yanajitokea tu na wahusika wanakuwa wateja wa kudumu wa nepi/pumpers!
Kama ni mwanamke wakati wa kujifungua hawezi kusukuma mtoto, maana kila akifanya hivyo mavi yanamtoka maana nguvu yake yote ya kusukuma inaishia kutoa mavi, mavi yakiisha utumbo Mkubwa unatoka, ni hatari sana! Ndiyo maana huwa wanajifungua kwa operation!
Vijana na watoto msijaribu, kuna watu walishaharibikiwa tayari, na wanataka wengine waharibikiwe pia! Kama wazungu walivyoharibikiwa na wanataka uharibifu huu uenee dunia nzima!
Utakuta mtu anaongelea ufirauni huu kama kitu kizuri vile! Hivi kinyaa mnapeleka wapi? Kama si kupagawa mashetani ni nini? Dume au
Jike zima kujinyea halafu ndio unakuwa mtindo wa maisha mpaka kifo! Fikiri kabla hujajitumbukiza kwenye uchafu huu!
Suluhisho ni kuomba msamaha wa Mungu ili kama tayari umeshanaswa na uchafu huu ili uokoke
Cc Masai Dada.
Kweli mume wako anaweza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa??