Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Ni maisha yao binafsi ndio maana wanafanya kwa Siri. Hata ngono ya mke na mme ni siri yao, haituhusu. Hata mme na mke wakilana Tigo or anything, ni uamuzi wao, kama hao gays la lesbian. Misimamo yetu ya kupinga or kutokupenda hayo ya kinyume cha maumbile, tusishinikize kwa wengine. Ni maisha yao waliochagua wao. Kama ni dhambi, Mungu ndio wakuwahukumu. Ila kama ni hukumu, ewe mzinzi unayevunja amri ya sita utakutana nao jehanam kwenye moto wa degree sawa.
In the meantime, it is their civil liberty!
 
Ni maisha yao binafsi ndio maana wanafanya kwa Siri. Hata ngono ya mke na mme ni siri yao, haituhusu. Hata mme na mke wakilana Tigo or anything, ni uamuzi wao, kama hao gays la lesbian. Misimamo yetu ya kupinga or kutokupenda hayo ya kinyume cha maumbile, tusishinikize kwa wengine. Ni maisha yao waliochagua wao. Kama ni dhambi, Mungu ndio wakuwahukumu. Ila kama ni hukumu, ewe mzinzi unayevunja amri ya sita utakutana nao jehanam kwenye moto wa degree sawa.
In the meantime, it is their civil liberty!

Yes! ni maisha yao na mambo yao ya siri. Wafanyapo wao binafsi huko sirini kusikoonwa na wengine ni siri yao. Lakini je, mafunzo na picha ziwekavyo hadharani kufunza mfumo wa ngono kinyume cha maumbile bila kunyooshewa kidole imekaaje? Ninachoongelea mie ni yale ambayo siku hizi yamehalalishwa hata mitandao ya kijamii kuwekwa hadharani na kufunza wengine hadharani inatoa taswira gani kwa jamii yetu yenye utamaduni kinyume cha mambo hayo?
 
Mi naona ni haohao hakuna tofauti,jamii imebadilika sana ukitaka kujua pita kwenye mitandao huko,wanawake kwa wanaume wanataka kuingiliwa kinyume wanatoa hadi contact,kifupi ni kwamba tunaishi nyakati za mwisho.
 
Mfanyaji na mfanyiwa ni MASHOGA, mwanaume yoyote yule anaekula Tigo ni SHOGA!
 
Mi huwa najiuliza kwa mwanaume ambaye si riziki, halafu akaamua kuwa analiwa tigo (wenyewe wanaita ******), huyu tunamjadilije?
 
Mi naona ni haohao hakuna tofauti,jamii imebadilika sana ukitaka kujua pita kwenye mitandao huko,wanawake kwa wanaume wanataka kuingiliwa kinyume wanatoa hadi contact,kifupi ni kwamba tunaishi nyakati za mwisho.

Uko sahihi dada, maana kinachofanyika ni kile kile, lakini hawa lesbians/gays ambao wanajipambanua kwa uwazi tunawakemea kwa ukali sana, lakini hawa wengine wanaoonyesha na kufunza videndo hivyo kwenye mitandao mbalimbali hatuwanyooshei vidole wala kuwakemea wakati wanachofanya ni kile kile.

Masuala ya kuelimishana mbinu na kupeana mawaidha kuhusu mapenzi ni jambo zuri kwa vile wapo wengi wasio na ujuzi wala namna ya kuishi na wake au waume zao. Lakini wanapopitiliza kushauri, kufunza na kuhamasisha ngono kinyume cha maumbile naona tunaipeleka jamii kubaya.

Hapa JF mtu akileta mada ambayo haina maudhui mazuri kwa jamii inaondolewa mara moja na pengine hata kufungiwa, lakini jukwaa la wakubwa wanaleta picha na mambo ambayo ni aibu kuyatamka yafanywayo na mashoga na wasagaji lakini Uongozi wa JF na moderators hawachukua hatua yo yote, hapa inabidi Invisible kuwa na mtazamo mpana.

 
Ee Mungu wangu nakuomba uniepushie janga hili, nisije nikala tigo ya kike wala ya kiume, natamani mbinguni kuliko maisha haya ya duniani, niepushe na sodoma na gomora za nyakati hizi za mwisho, maana mwili hutamani ukishindana na Roho, raha ya milele unipe Ee Bwana na mwanga wa milele uniangazie nipumzike kwa Amani.
 
Mie swali langu kama lako ila in a different angle. Mwanaume anaetumia mtandao wa kuruka ukuta na mwanamke, nae aitwe gay!

Nawaamkua all gays in here...
 
Mie swali langu kama lako ila in a different angle. Mwanaume anaetumia mtandao wa kuruka ukuta na mwanamke, nae aitwe gay!

Nawaamkua all gays in here...

Mpira unaochezwa ni ule ule ambao simba ikicheza hawanyooshewi kidole, lakini mchezo huo ikicheza Azam watashushuliwa.
 
Mpira unaochezwa ni ule ule ambao simba ikicheza hawanyooshewi kidole, lakini mchezo huo ikicheza Azam watashushuliwa.

This is good one, umewashika pabaya.
Kuna basha na ms.enge wake, wanaume wengi hupenda kujisifia ubasha (ufi.raji) kuliko ufiruaji.Sijui kwenye gay relationship, huwa wanabadilishana roles? Yaani kila mtu anamwingilia mwenzie?
Lkn kwenye man/woman relationship, mume haingiliwi kwenye kishimo chake cha solid waste; hivyo sidhani kama anajiona gay. Ila ninahisi akikutana na ms.enge anaweza kula mzigo.

I real hope watakuja kutupa mwanga; Boflo we need ur views here!
 
Last edited by a moderator:
Kuna dhana ambayo imejengeka katika mawazo ya mwanadamu, ya kuwa kutiW@ ni kitendo cha kudharaulika, embu angalia matusi yote katika dunia hii katika tamaduni zote matusi yote hupewa Mtiw@.
Sasa swala la kufanya mapenzi kunyume na maumbile nalo kwa kiasi kukubwa linaangalia mtiw@ ni nani, na ndio huyo jamii inamcondemn, sasa ikiwa mwanamke ndie anafanyiwaa kinyume na maumbile basi watu huona ni kawaida kwakuwa eti yeye ni mtiW@, ambaye watu wamezoea, ila sasa akibadilika mtiW@ ndio kosa, hata hao, lesbian, yule anayeti@ watu huonekana shujaa., Katika hili la mashoga basha ni mti@, yeye huonekana shujaa, ila sasa ms3ng3, yeye ni mtiwQ, basi watu huona ni kosa.
 
:A S tongue:
This is good one, umewashika pabaya.
Kuna basha na ms.enge wake, wanaume wengi hupenda kujisifia ubasha (ufi.raji) kuliko ufiruaji.Sijui kwenye gay relationship, huwa wanabadilishana roles? Yaani kila mtu anamwingilia mwenzie?
Lkn kwenye man/woman relationship, mume haingiliwi kwenye kishimo chake cha solid waste; hivyo sidhani kama anajiona gay. Ila ninahisi akikutana na ms.enge anaweza kula mzigo.

I real hope watakuja kutupa mwanga; Boflo we need ur views here!
A%20S%20confused.gif
A%20S%20confused.gif
A%20S%20confused.gif

 
hivi mwanaume anayekula tigo ya mwanamke na anayekula tigi ya mwanaume wamatofauti gani???? Wote si mashoga/mabasha????
 
hivi mwanaume anayekula tigo ya mwanamke na anayekula tigi ya mwanaume wamatofauti gani???? Wote si mashoga/mabasha????

Labda huyo mwanamke awe na filimbi na kengele mbili kaning'iniza vinginevyo ni tofauti kubwa sana.
 
This is good one, umewashika pabaya.
Kuna basha na ms.enge wake, wanaume wengi hupenda kujisifia ubasha (ufi.raji) kuliko ufiruaji.Sijui kwenye gay relationship, huwa wanabadilishana roles? Yaani kila mtu anamwingilia mwenzie?
Lkn kwenye man/woman relationship, mume haingiliwi kwenye kishimo chake cha solid waste; hivyo sidhani kama anajiona gay. Ila ninahisi akikutana na ms.enge anaweza kula mzigo.

I real hope watakuja kutupa mwanga; Boflo we need ur views here!
.
Kaunga kama unataka mwanga kutoka kwake ... msome ameelezea vizuri tu kwenye thread aliyoifungua...

https://www.jamiiforums.com/mahusia...re-the-problem-not-straights.html#post4110350
.
 
Uko sahihi dada, maana kinachofanyika ni kile kile, lakini hawa lesbians/gays ambao wanajipambanua kwa uwazi tunawakemea kwa ukali sana, lakini hawa wengine wanaoonyesha na kufunza videndo hivyo kwenye mitandao mbalimbali hatuwanyooshei vidole wala kuwakemea wakati wanachofanya ni kile kile.

Masuala ya kuelimishana mbinu na kupeana mawaidha kuhusu mapenzi ni jambo zuri kwa vile wapo wengi wasio na ujuzi wala namna ya kuishi na wake au waume zao. Lakini wanapopitiliza kushauri, kufunza na kuhamasisha ngono kinyume cha maumbile naona tunaipeleka jamii kubaya.

Hapa JF mtu akileta mada ambayo haina maudhui mazuri kwa jamii inaondolewa mara moja na pengine hata kufungiwa, lakini jukwaa la wakubwa wanaleta picha na mambo ambayo ni aibu kuyatamka yafanywayo na mashoga na
wasagaji lakini Uongozi wa JF na moderators hawachukua hatua yo yote, hapa inabidi Invisible kuwa na mtazamo mpana.


Ndugu yangu,
Hapo pekundu ni kweli moderators wa JF wanawajibika kwa kiasi kikubwa sana kuhamasisha huu upuuzi. Wanatumiakigezo cha kuomba ID separately, lkn je ni kwanini JF iwe sehemu ya kuhamasisha huu upuuzi, mimi naamini moderators wa JF wanapaswa kuchukua hatua katika jambo hili, otherwise tuamini kwamba wao wanaufurahia huu upuuzi.

Kwa kifupi ni kwamba,
Anayefirwa na anayefira wote kwangu mimi ni MASHOGA. Huyu anayemfira mwanamke asikudanganye mtu kwamba akikutana na mk...du wa mwanaume ataacha kusimam....ha. Kwani Mku... ni ule ule na kazi yake ni ile ile bila kujali jinsia.
 
hivi mwanaume anayekula tigo ya mwanamke na anayekula tigi ya mwanaume wamatofauti gani???? Wote si mashoga/mabasha????

Kwa nini hawa wanaofanya wafanyayo mashoga mbona hawabezwi kama mashoga? Mambo ya blow job na haja kubwa imekaaje? Maana hata mashaga ndio njia zao kuu za kujamihiana.
 
This is good one, umewashika pabaya.
Kuna basha na ms.enge wake, wanaume wengi hupenda kujisifia ubasha (ufi.raji) kuliko ufiruaji.Sijui kwenye gay relationship, huwa wanabadilishana roles? Yaani kila mtu anamwingilia mwenzie?
Lkn kwenye man/woman relationship, mume haingiliwi kwenye kishimo chake cha solid waste; hivyo sidhani kama anajiona gay. Ila ninahisi akikutana na ms.enge anaweza kula mzigo.

I real hope watakuja kutupa mwanga; Boflo we need ur views here!

Kaunga,
Uko sahihi kabisa huyo aje atetee hii hoja, kwani kila kukicha yeye ndiye anahamasisha ushoga hapa JF. Fuatilia posts zake humu huyo jamaa, utakuta asilimia 95 zote zinahamasisha au kuongelea Ushoga humu na katika jamii yetu. Mimi ni kati ya watu ambao nilishaapa kutofungua kabisa posts za Boflo humu, kwasababu ya aina ya post zake. Na sasa yapata miezi 3 toka niachane kabisa na posts zake.
 
Ndugu yangu,
Hapo pekundu ni kweli moderators wa JF wanawajibika kwa kiasi kikubwa sana kuhamasisha huu upuuzi. Wanatumiakigezo cha kuomba ID separately, lkn je ni kwanini JF iwe sehemu ya kuhamasisha huu upuuzi, mimi naamini moderators wa JF wanapaswa kuchukua hatua katika jambo hili, otherwise tuamini kwamba wao wanaufurahia huu upuuzi.

Kwa kifupi ni kwamba,
Anayefirwa na anayefira wote kwangu mimi ni MASHOGA. Huyu anayemfira mwanamke asikudanganye mtu kwamba akikutana na mk...du wa mwanaume ataacha kusimam....ha. Kwani Mku... ni ule ule na kazi yake ni ile ile bila kujali jinsia.

Bora ndugu yangu umeliona hilo, maana msukumo wangu kuanzisha mada hii ni kutokana na jinsi jukwaa la wakubwa lilivyopoteza maana kamili ya kinachotazamiwa na kubaki kama maonyesho ya ushoga na usagaji. Picha zinazowekwa hapo kwa wastaarabu wanakimbia haraka kwani tunachotazamia pale ni kubadilishana mawazo juu ya maisha ya ndoa au mahusiano ya ngono kwa kufuata mila na desturi za utamaduni wetu. Lakini kinachoendelea ni kuelimisha jamii ibadilike na kufanya yafanywayo na lesbians/gays.

Pamoja na kwamba kuna special ID ya kuingia huko, hii isiwe ndio kigezo cha kuwa na uhuru unaopitiliza. Huku tunasema ushoga mbaya na papo hapa huko jukwaa jingine tunawafunda watu namna ya kufanya ushoga kwa maneno na picha. Hii haija kaa sawa. Haya haya ndiyo tuliyoyalalamikia Ze-utamu yamerudi kwa mlango wa nyuma kwenye JF yetu.
 
Back
Top Bottom