masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
big no ni uzalilishaji mbaya sana na athari zake ni kubwa pia - kataa kwa kumaanisha
sure!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
big no ni uzalilishaji mbaya sana na athari zake ni kubwa pia - kataa kwa kumaanisha
Kwanini ampe tigo?? Raha kamili ipo mbele bob
You sound like....yaani ni sawa mwanaume hasiye mumeo kuomba 'unyumba kinyume na maumbile', lakini ni jambo la kushangaza ikiwa mumeo atakuomba the same! Unaamanisha ni okey kwa mke kutoa unyumba kinyume na maumbile kwa mwanaume mwingine ila si mumewe, na mume kupata the same kwa mwanamke mwingine na si mkewe!? Nieleweshe tafadhali...
ampe mi ma.vi,kwanza dushe lenyewe sijui linaanzaje kusimama.
kabisaaa hata nyaau anatambua hiloo..
sometime huwa bahati mbaya kula tgo.
kweli mume wako anaeza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa????
You sound like....yaani ni sawa mwanaume hasiye mumeo kuomba 'unyumba kinyume na maumbile', lakini ni jambo la kushangaza ikiwa mumeo atakuomba the same! Unaamanisha ni okey kwa mke kutoa unyumba kinyume na maumbile kwa mwanaume mwingine ila si mumewe, na mume kupata the same kwa mwanamke mwingine na si mkewe!? Nieleweshe tafadhali...
kama inafikia hatua mtu anaomba kwa mke wake basi ni wazi nje anachakaza sana hizo maeneo jambo ambalo ni alert mbaya sana kwa afya zenu wote wawili
By the way wanaofanya hii makitu wengi ni wanandoa na wengine wnafanya na wanandoa wao wengine wanaogopa kuomba ndani wanakwenda kupata nje .....
Kama mume anapata nje na mke nae anapata nje kwanini waoneane aibu kuombana ndani?
Si bora tu wapate ndani humo kwa humo kwa kujevia tu?
Huyo hafai mkuu..ulitakiwa baada ya kumaliza unamlima talaka faster
yaani wewe unaonekana ni mfiraji gaidi,haiwezekani mfanyane hadi umalize ndio umpe talaka
nahisi mtu akikuomba tigo amekudhalilisha sana
haswa mume wako
Mwanamke anaeingiliwa kinyume na maumbile...hafai kabisa kuishi nae
kwahiyo wewe unavyofanya unamfiler halafu unampa talaka
Nimeshasikia confession nyingi kwenye mitandao ya kijamii hasa kwa wanawake kuwa 'anapenda kinyume na maumbile' lakini hawezi mpa mumewe...na wanaume wengi nao wanapenda lakini hawathubutu kuwaomba wake zao. Hii inapelekea watu baki (michepuko) kuenjoy hiyo starehe. Kama umeamua hiyo ndo starehe yako...why not kwa mkeo au mumeo!?